Maandamano ya waislamu yazuiwa

Maandamano ya waislamu yazuiwa

fikiria kabla ya kuandika,hapo kwenye nyeusi unamman watu hubeba vitu vya kuvunjika kwenda town??
WANAWEZA KUBEBA KITU CHOCHOTE cha kuvunjika au kisichovunjika.lakini kama kuna hatari ya kutokea vurumai na una vitu vinavovunyika (delicate) ni hatari.
 
MODs sioni sababu kwa nini mleta thread bado hajapigwa ban kwa kuleta habari za uongo na uchoche au siku hizi hili jukwaa limekuwa kichaka cha wavuta bangi.
 
Inabidi serikali inunue nguruwe wengi iwamwage kila kona ya maeneo wanayotaka kuandamana tuona kama wataandamana.
 
nahisi wazo lako serikali italifanyia kazi
mimi napenda sana lile disco la bwana
hua wale madem wenye wowowo napenda sana kuwabambia wale
mzuka ukinipanda sometimes nasahau had ndoa yangu nyumbani na kuanza kupapasa papasa kidogo
sasa si utamu wa yesu??katika kumsifu bwana ile ruksa tuh
mkuu nakuunga mkono 100%...
:smile: :smile:

karibu mkuu ni muda utafika utakuwa na sisi na wewe ukitingisha kwa ajili ya kumsifu yesu mkuu
m siachi kumfurahia mungu kwa miujiza yake ....

Salute n
 
mods sioni sababu kwa nini mleta thread bado hajapigwa ban kwa kuleta habari za uongo na uchoche au siku hizi hili jukwaa limekuwa kichaka cha wavuta bangi.

mkuu competent
jf ni muunganiko wa management inayojitegemea na bodi yake na aifungamani na waandamaji wala wachukia nguruwe duniani..sasa basi inapofika wakati wa kutoa ushauri ujiulize wewe wa wangapi na unaandika hicho umejibiwaje..nikusaidie tu

waachen wafu wazike wafu wao
 
Mkuu jumbe
haki ya mtu inakuja kwa kuomba mungu na kufanya juhudi zipi

1..kusoma kwanza ..najua utakuja na waliosshia la saba wana hela lakini nakwambia ukweli huu ndio tulipopotoshwa kwamba tukiishia na elimu ya chuuuuuoni maisha yataendelea na mwisho tutaiona heri

sasa basi naomba nikusaidia atuko kushindana bali kuona kila mtu ana maendeleo..ukiwa kama mpenda amani na maendeleo popote ulipo ama ukiwa msikitini ama chumban na watoto zako jitahd kuwahimiza kusoma......kusoma ndio shida inayofanya tumekata idara zote kasoro kile kiti cha kwanza pale juu ambacho tunapokezana na 2015...sasa basi bado mna muda wa kurekebisha kizazi chenu kijacho sorry sio nyie kizazi cha watoto wako peleken shule ..mnilwahi kusema ndugu zangu wa mama mdogo mna juhudi kubwa sana na ndio maana ukikuta aliesoma amekwend ashule kweli kweli na ukimkuta wa elimu yetu ile ameishika kweli kweliiiiiiiiiiii........so mkiweza kuwaonyesha watoto bila shule hayo magari mnayotumia awatakuw anayo nyumba unayoishi atoipata nakuhakikishia wakristo watageuka wakenya sasa kushinda na nyie ...

All the best si tatizo letu bali lao kutusahaulisha haya mambo
 
Wanaume mnaandama ili mkapewe mabikra 72 peponi, sawa, na WANAWAKE JE? Hupewa nin huko ahera? Au wao na kiherehere chao tu cha kumwabudu huyo Allah bila kupewa lolote? (au ndo watageuzwa mabikra huko peponi wakomeshwe kwa mitamaa ya wavaa pedo waloanza kuzisubir hizo bikra kwa maandamano duniani?
Dini zote zililetwa kurequidate african resistance, bt kwa uongo huo mlopewa wenzetu, mmmh, nina mashaka na vichwa vyenu
 
Yaani mimi nina rafiki yangu wa muda mrefu sana ni muislam yaani yuko poa sana!!! Ila nimegundua shule imemtofautisha na kina Ponda na wafuasi wake!!! Nendeni shule men, nyie Sharos za kiislam, mtaendelea kuteseka hadi mwisho!! Tumieni ujana wenu vizuri ili mkifikia uzee uwe wa furaha na si wa kulalalama kama kina Ponda wenu.
 
Wangejaribu kuandamana leo, wangepambana na nguruwe, maana polisi walikuwa wamewaandaa nguruwe wa kutosha ili wawaachie katikati ya maandamano yao!!!!!!!!!!
 
Inabidi serikali inunue nguruwe wengi iwamwage kila kona ya maeneo wanayotaka kuandamana tuona kama wataandamana.

Ha ha ha ha!! watawachangamkia na wote ghafla watavua kanzu na kibaraghashia ili wasitambulike!!! Hivi unajua mfungo unaharibu kabisa biashara za kitimoto na bia katika bar nyingi? We uliza wenye bar, hawatamani kabisa ramadhani ianze!!
 
Ndugu yangu huyo ni mgalatia mpuuze waislam wote kitu kimoja
 
Kama nilivyosema na narudia kusema nguruwe ukicheka nae anaingia na wewe..........
sasa ndicho kinachoendelea sasa njia zote huku mjini zinafungwa kwa wajili ya punguan wachache
ukiwauliza nani kawaruhusu maandamano awana jibu na hii ni kutokana na kuachwa na kuchekewa
walipoanza na sensa

Raha ya sensa umpe ee bwana na Mwanga wa Ponda umuangazie apumzike segerea kwa Amani

amin

halafu nyie vilaza mnazingua sana.chadema wakiandamana bila vibali mnawatetea ila waislam ndio hamlali....nyie twenden hizi ishu mnazoshadadia ztawacost mbelen.watu wako makin kusoma tu raman.
 
Hatuoi kwa sababu kiongozi wetu hakuoa.Kama alikuwa hajui kutongoza mnaiga ujinga
 
Jamani kwa sasa ushabiki unaohusu imani za watu tusiufanye, 7bu mambo haya kwetu ni mageni, lakini ndo yaliyoleta shida huko Nigeria, Sudan, Rwanda, Kenya (Mombasa), Uganda, na kwingineko. Dalili zote za kujitokeza hapa kwetu zimeshaanza kiasi kwamba hata kama sisi tutayaepuka, wanetu yatawatesa sana.
Ndo sababu ukifuatilia katika nchi hizo zote inasadikiwa kwamba vyombo vya mawasiliano vilisaidia kueneza chuki hasa radio nyingi zilifungiwa. Tusiwaumize zaidi wale wote wanaohisi kuonewa kupitia imani zao tukajenga uadui wa kudumu. Tanzania ni moja na watanzania hatuna budi kubakia wamoja forever!
Mi sioni shida kuishi na watu wenye imani tofauti na mimi na wala sipendi kujadili juu ya dini ya mtu kwa sababu huenda kama nami ningezaliwana wa imani ile ningekuwa kule. Ebu tufikiri zaidi juu ya neno IMANI ni nini?
Na uenda ni imani tu ndo zinatutofautisha lakini Mungu na Mitume wake ni wale wale labda tofauti zilitokana na Lugha za makabila ya kipindi kile mfano matamshi ya Kiswahili na Kingereza ni tofauti ndo maana ukifuatilia hizi dini zinaamini kwamba eti:-

YESU ndiye ISSA
JOSEPH ndiye YUSUF
ABRAHAM ndiye IBRAHIM, (2mention a few)

Tusijiingize kwenye vita, bila kukumbuka kwamba Historia inatuambia kwamba dini zilienezwa na Wamisionari ili iwe rahisi kututawala. Hapo sina uhakika kama ni kweli, maana watu wanaweza kuhisi mi Mpagani, lakini nami nina imani tena kali sana kwenye mojawapo kati ya hizo mbili kuu na ninaamini kabisa kuwa YESU KRISTU NI MFALME, NI MFALME WETU KWELI, NI MFALME MILELE.
 
Back
Top Bottom