Maandamano ya waislamu yazuiwa

Jamani mie ndo nimekereka hadi basi, nilienda kariakoo leo mchana saa ya kurudi ndo nilikiona cha moto, ilikuwa nipite dukani ili ninunue baadhi ya vitu vya week end looh!! kero kero kero!!!!
hivi hawa waanauamsho ni wakina nani hata wasababishe kero kwa wakazi wa kariakoo hivi???? kwanini serikali inawachekea tuu??? maduka yote yamefungwa kero tupu taxi hazifanyi kazi kuogopa foleni na kupigwa mabomu, taxi iliyokubali kwenda posta ilicharge elf 20 duuh!! kero zaidi kufioka posta barabara ya azikiwe imefungwa magari yote yanaishia mtaa wa haidery plaza looh!! what a kerooo yaani hapa nimefura na hawa watu hadi basi, ningekuwa na uwezo ningewadhibiti majumbani mwao as uwezo huo uko kwa serikali sina la kufanya zaidi ya kuwaombea.
Hivi hawa watu wamefikiria ni hasara kiasi gani wafanyabiashara waningiza kwa kufunga maduka yao siku ya leo??? au ndo wanataka kuhalalisha ijumaa iwe week end ili justify jumapili kwa wakristo?????
aaaaggggrrrrrrhhhh!!!:A S angry:
 
Hivi kwanini serikali inatumia nguvu kubwa ya JWTZ badala ya kuwatumia JKT kwa hawa ndugu zetu?
 
Kama nilivyosema na narudia kusema nguruwe ukicheka nae anaingia na wewe..........
sasa ndicho kinachoendelea sasa njia zote huku mjini zinafungwa kwa wajili ya punguan wachache
ukiwauliza nani kawaruhusu maandamano awana jibu na hii ni kutokana na kuachwa na kuchekewa
walipoanza na sensa

Raha ya sensa umpe ee bwana na Mwanga wa Ponda umuangazie apumzike segerea kwa Amani

amin



:mvutaji: :mvutaji: :mvutaji:
LEO UMEZITUMIA NGAPI??
MANA NAKUONA STIMU ZIMEPITILIZA SANA KIONGOZI
 
Kuna ustadh mmoja kajinyea nzi kibao wanamzunguka baada ya kupigwa bomu
 
Hivi hawa watu wamefikiria ni hasara kiasi gani wafanyabiashara waningiza kwa kufunga maduka yao siku ya leo??? au ndo wanataka kuhalalisha ijumaa iwe week end ili justify jumapili kwa wakristo?????
aaaaggggrrrrrrhhhh!!!:A S angry:[/QUOTE]hasara ni dola za kimarekani 17.25411$.cash
 
inasikitisha sasa siku maalumya kuabudu watu fulan serikali inafikiria akujaza magari mafuta ya maji ya kuwasha na vingora kisa akuogopa fujo jamani kwa nini serikali wasipige marufuku ijummaa kusali tusali woteeeee jumapili alafu tuone hiyo fujo wayo wajue si kila siku ni jumapiliiiiiiiiiiiiii

Dawa ni serikali kufunga makufuli ijumaaaaa nzimaaaaaaaaaaaaaaaa misikitin na kuawafungulia jumapili asbh tusALI ALAFU WAANDAMANE WAKRISTO TUTAOMBA SERIKALI MTUACHIE HII SIKU NI YETU MAALUM NA WAO WATUJUE TUPO



NAHISI WAZO LAKO SERIKALI ITALIFANYIA KAZI
MIMI NAPENDA SANA LILE DISCO LA BWANA
HUA WALE MADEM WENYE WOWOWO NAPENDA SANA KUWABAMBIA WALE
MZUKA UKINIPANDA SOMETIMES NASAHAU HAD NDOA YANGU NYUMBANI NA KUANZA KUPAPASA PAPASA KIDOGO
SASA SI UTAMU WA YESU??KATIKA KUMSIFU BWANA ILE RUKSA TUH
MKUU NAKUUNGA MKONO 100%...
:smile: :smile:
 
Kama nilivyosema na narudia kusema nguruwe ukicheka nae anaingia na wewe..........
sasa ndicho kinachoendelea sasa njia zote huku mjini zinafungwa kwa wajili ya punguan wachache
ukiwauliza nani kawaruhusu maandamano awana jibu na hii ni kutokana na kuachwa na kuchekewa
walipoanza na sensa

Raha ya sensa umpe ee bwana na Mwanga wa Ponda umuangazie apumzike segerea kwa Amani

amin

ayo mawazo yako 2...kwa taarifa yako waislam wamechoshwa na mfumo kristo unaoendelea tz, wakristo wanapendelewa ktk kila idara wakati wao ndo wako kidogo....waislam wataendelea kuitafta haki yao popote ilipo na kelele za chura hazimnyimi tembo kunywa maji....endelea kuropoka
 
Waislamu lazima tupambane na makafiri wanaozuia haki yetu kupatikana
 
Heeh! Makubwa haya anajiita Muislam halafu anatamani kuuwa Waislam wenziwe ili awafurahishe makafiri, sasa huko ubungo unakwenda sali nini! Nadhani waislam wapo wengi humu lakini wamenyamaza basi hao walionyamaza ni bora zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu kuliko wewe uliezihirisha chuki zako mbele ya ndugu zako. Tafakari.:confused:

Huu ni ukumbusho tu! Kwamba hawatorizika mayahudi na manaswara hadi pale utakafuata mila yao.


Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
Kwahio dini nyingine au wasio na dini sio ndugu zake ?

Kweli ni ajabu dini zilizoletwa nchini na wageni zinatutenga hata tunasaha ancestors wetu kwamba wote ni ndugu.. (Amini ndugu yangu imani inayokufanya kuona wengine bora au wengine ndio ndugu zaidi hio haikufai ), Nadhani mleta hii hoja hachukii watu sababu ya Imani bali vitendo vyao, na wafanya fujo ni wafanya fujo tu hata waamini nini ni wafanya fujo and they belong behind bars
 
ayo mawazo yako 2...kwa taarifa yako waislam wamechoshwa na mfumo kristo unaoendelea tz, wakristo wanapendelewa ktk kila idara wakati wao ndo wako kidogo....waislam wataendelea kuitafta haki yao popote ilipo na kelele za chura hazimnyimi tembo kunywa maji....endelea kuropoka

hiyo haki unayoiota hata wajukuu zako na vitukuu vyako hawataiona bwana mdogo wewe endelea kujidanya tu maana ndiyo kawaida yenu .duniani hamtaipata na kwa MUNGU pia milango imefungwa MAGAIDI wakubwa nyie
 
Tatizo la hawa watu ukiwaacha umewaogopa, wakikamatwa wanaonewa..

Vyombo vya sheria viache kuangalia Sura na Sheria ifate mkondo wake
 
Uongozi dhaifu husababisha nchi kuwa na hofu, minongono, watu kutotii sheria na nchi kudhoofu ktk mahusiano ya kijamii, kiuchumi.

Hali hii ni funzo kwa viongozi wanaosahau ujenzi wa umoja wa kitaifa ni muhimu ktk kufanikisha maendeleo ya nchi Nyerere alianza ujenzi huu wa umoja wa kitaifa bila kujali dini, rangi au kipato na viongozi wa awamu zote iliyopo na awamu zinazokuja kazi hii haijakamilika kwani ni zoezi-endelevu.
 
Back
Top Bottom