Maandamano ya kupinga fujo za Mbowe, Mwanza

Maandamano ya kupinga fujo za Mbowe, Mwanza

nani kakwambia mbowe ni mwananzengo wa mwanza? hatumtaki na wenje wake tumeshamtupa kule sijui anatutafutia nini huyu baba? hiyo kesi yake akaifungulie mahakama ya mwanzo ibinzamata, safari hii lazima ziumane tu tumechoka sasa.
Mmechoka na nani? Sema nimechoka kwa uhaba wa sukari na kulala njaa
 
Akafanyie Fujo zake hai.
Au aungane na Lema waandamanie Arusha sisi hatutaki huo upuuuu, bungeni hawataki kwenda wanataka kututanguliza kwenye virungu.

Acheni mji wetu uishi na aman
Mji wenu na nani? Wewe una mji?[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Akafanyie Fujo zake hai.
Au aungane na Lema waandamanie Arusha sisi hatutaki huo upuuuu, bungeni hawataki kwenda wanataka kututanguliza kwenye virungu.

Acheni mji wetu uishi na aman
Anaye andamana ni wewe yeye kafungua kesi tu.
 
Kuanzia Ijumaa kutakuwa na Maandamano ya kupinga mwenyekiti wa chadema kuendesha kesi Mwanza kwa sababu za kiusalama. Yeye anamatatizo yake na polisi kule kahama hajaenda kufungua kesi Tabora kaja kufungulia mwanza kama sio kuleta fujo za kijinga. Tutaandamana kuhakikisha anaondoka hatukubari kutuharibia mji wetu.

Watu waachwe wafanye biashara zao na shughuli za kujipatia kipato, siaende moshi arusha na dar aliko na wafuasi wengi, siakafungue kesi shinyanga mjini, kinachomleta mwanza ni nini kama sio kuleta fujo za hovyo tu, hapana. Sasa tutaandamana na kufurumusha wafuasi wake hadi nyashishi. Hatutaki ujuha.

Una hoja ya msingi iliyoficha katika andiko lako lakini uandishi wa hoja na uwasilishaji wake ndilo tatizo
 
nani kakwambia mbowe ni mwananzengo wa mwanza? hatumtaki na wenje wake tumeshamtupa kule sijui anatutafutia nini huyu baba? hiyo kesi yake akaifungulie mahakama ya mwanzo ibinzamata, safari hii lazima ziumane tu tumechoka sasa.

Mkuu uhuru maoni unautumia vibaya sana.
 
mtakapo shtuka mko katika stage ya identification in human development[emoji12] kususa hovyo hovyo, kila kitu ukifanya lazima upige mikelele hadharani, unapinga kila kitu hata kiwe kizuri, unaacha mijadala 99 inayokuhitaji kisa tatizo 1 foolish!
 
Akafanyie Fujo zake hai.
Au aungane na Lema waandamanie Arusha sisi hatutaki huo upuuuu, bungeni hawataki kwenda wanataka kututanguliza kwenye virungu.

Acheni mji wetu uishi na aman
Eti mji wetu.. Pole
 
Mkuu Eddy,
Naona kuna harufu ya ''kikanda'' katika kuleta maoni yako. Je mji wa Mwanza haupo ktk Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Kwa nini Mbowe siku zote anakwaruzana na polisi Usukumani? Hivi Wasukuma hawanaga watetezi hadi atoke Moshi? Kila akija damu humwagika. Anaona damu ya Wasukuma ndiyo rahisi ajipatie umaarufu? Kwa nini asilalsmike Moshi nako wamwage damu kujitafutia mabadiliko? Leo Kahama kesho Nzega halafu Shinyanga na kesi humalizia Mwanza kuna majaji wasukuma kweli? Kwa nini asiende Marangu na Monduli?
 
Kuanzia Ijumaa kutakuwa na Maandamano ya kupinga mwenyekiti wa chadema kuendesha kesi Mwanza kwa sababu za kiusalama. Yeye anamatatizo yake na polisi kule kahama hajaenda kufungua kesi Tabora kaja kufungulia mwanza kama sio kuleta fujo za kijinga. Tutaandamana kuhakikisha anaondoka hatukubari kutuharibia mji wetu.

Watu waachwe wafanye biashara zao na shughuli za kujipatia kipato, siaende moshi arusha na dar aliko na wafuasi wengi, siakafungue kesi shinyanga mjini, kinachomleta mwanza ni nini kama sio kuleta fujo za hovyo tu, hapana. Sasa tutaandamana na kufurumusha wafuasi wake hadi nyashishi. Hatutaki ujuha.

Haujanyimwa kufanya maandamano.Cha msingi naomba nikuulize Mwanza iko Burundi??Au unadhani Mbowe ni Mrundi??Acheni ukabila watanzania.Hakuna mahali kwenye sheria na katiba za nchi inayosema Mwanza ni kwaajili ya wasukuma tu.

Kama unaona shida kafuingue na wewe kesi kupinga mbowe kuwepo Mwanza
 
SASA nakumbuka kwa nn NYERERE hakutaka baadhi ya makabila kuwapa madaraka ya juu ktk siasa! UKABILA, UKABILA, UKABILA
 
huw najiuliza kw nn asifanye maandamano kilimanjaro hyu? anatafuta huruma ya kuuza chama kw wafuasi wke
 
huw najiuliza kw nn asifanye maandamano kilimanjaro hyu? anatafuta huruma ya kuuza chama kw wafuasi wke
Jibu lako ni rahisi tu Kilimanjaro ccm ndio inayotakiwa kufanya maandamano kwa sababu kule kazi imekwisha ccm ni chama cha upinzani, katika mkoa mzima ccm wameachiwa jimbo moja tu la upareni Mwanga kwa Maghembe.

Kama ulikuwa hujui habari ndio hiyo, Kilimanjaro ndio mkoa wa kwanza kuwa na shule nyingi tangu enzi za Nyerere, walishajitambuwa siku nyingi na somo limeshaeleweka kule na ccm haitakiwi kabisa.
 
  • Thanks
Reactions: BDN
Yakifanikiwa maandamano hayo , tunahamasisha Wafipa na wabende . wapimbwe, na Waha, Wanyakyusa, na makabilila yote ya huku.
Waandamane kutufukuza wasukuma sababu Ng'ombe zetu zinaharibu mazingira na tunaua vyanzo vya maji kwa kulima MPUNGA. Mabondeni.
 
nani kakwambia mbowe ni mwananzengo wa mwanza? hatumtaki na wenje wake tumeshamtupa kule sijui anatutafutia nini huyu baba? hiyo kesi yake akaifungulie mahakama ya mwanzo ibinzamata, safari hii lazima ziumane tu tumechoka sasa.
Hii ni jamhuri ya Tanzania na Mwanza imo ndani yake kwahiyo ana uwezo wa kufungua kesi sehemu yeyote kule. Unapoandika haya pengine wewe mwenyewe hata huna asili ya Mwanza na huna faida ama hasara yeyote katika jamii yako. Wacha haki idaiwe . Eti Mwanza yetu..........
 
hayo ya ukanda ni ya kwako, jibu swali langu usipepese macho, kafurumushwa kahama kakimbia kote tinde shinyanga maganzo nhungumalwa misungwi kaja kufungua kesi mwanza! kama shida yake ahukumiwe na jaji kwanini hakwenda tabora ambako diko jiografia ya kimahakama kwa kahama? tunajua anatafuta shari na ataipata tu.
Si hivyo tu tena siku hizi kuna mahakama kuuu kanda ya shinyanga kwanini asingefungulia hapo
 
Hii mada ni kielelezo tosha cha matatizo ya ufahamu wetu,inatosha kufanyia Tathmini ya watu wenye upumbavu wa kiwango cha PhD,wenye fikra za mwendokasi.Inatosha kuelewa aina ya watu wanaoishabikia ccm na serikali yake,inatosha kupeleka ujumbe kwa wenye mamlaka kuwa wamefika hapo kutokana na kuchaguliwa na mapoyoyo yasiyojitambua mithiri ya mleta mada.

Mengi ya matatizo tuliyonayo kama Taifa hayatokani na udhaifu wa Dola,yanasababishwa na uwezo wetu wa kutambua haki zetu za kiraia,haki za kikatiba na wajibu wa serikali kwa Umma wa Watanzania.Mazingaombwe yanayoendelea katika nchi yetu yanachangiwa na uelewa finyu tulionao,ni zao la kifo cha akili cha Watanzania.

Watawala hawana hofu yoyote,wametambua kuwa wanaongoza watu wenye nakisi kubwa ya ufahamu,watu wasiyojitambua,watu waliokufa kifikra,wasio na visheni,walioparaganyika ubongo.Tulikuwa na nafasi ya kuyakemea haya yote yanayofanyika katika nchi yetu,lakini kwa sababu ya ushabiki na Ujinga wetu,tumeishia kurumbana wenyewe kwa wenyewe na kuwaacha watawala wakiendekea kufanya majaribio ya kiuongozi katika nchi yetu.
 
Kwanin usiende mahakamani kumuwekea pingamizi? Lakin sijui kama unajua mikutano na maandamano vimekatazwa? Anachoenda kudai Mbowe huko mahakamani kimekuzuiwa na wewe ndio hicho unachotaka kwenda kukifanya unajielewa? Au kwa upande wenu zuio hilo haliwahusu? Mnauponda sana upinzani juu ya ukasikazini, hivi ukanda unaouleta una tofauti gani na ule mnaodai wenzenu wanaufanya?
 
Back
Top Bottom