Usimchagulie mahali pa kufungulia kesi we kama hujui sheria ni bora ungeomba msaada wa kuelewa si kutishia maandamanoSi hivyo tu tena siku hizi kuna mahakama kuuu kanda ya shinyanga kwanini asingefungulia hapo
Kwanin usiende mahakamani kumuwekea pingamizi? Lakin sijui kama unajua mikutano na maandamano vimekatazwa? Anachoenda kudai Mbowe huko mahakamani kimekuzuiwa na wewe ndio hicho unachotaka kwenda kukifanya unajielewa? Au kwa upande wenu zuio hilo haliwahusu? Mnauponda sana upinzani juu ya ukasikazini, hivi ukanda unaouleta una tofauti gani na ule mnaodai wenzenu wanaufanya?
Ndiyo, na mimi nasema akafungulie Moshi. Aache watu wetu wafanye kazi tuneshachika na maigizoMkuu Eddy,
Naona kuna harufu ya ''kikanda'' katika kuleta maoni yako. Je mji wa Mwanza haupo ktk Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Kwani kesi kuendeshwa mahakamani huwa inazuia biashara kufanyika? Mimi nadhani biashara ndio inaongezeka kwani wageni watalazimika kulala hotel za Mwanza na kutumia kumbi za mikutano ya ndani za huko. Au labda sijakuelewa mahali?Watu waachwe wafanye biashara zao na shughuli za kujipatia kipato, si aende moshi arusha na dar aliko na wafuasi wengi, si akafungue kesi shinyanga mjini, kinachomleta mwanza ni nini kama sio kuleta fujo za hovyo tu, hapana. Sasa tutaandamana na kufurumusha wafuasi wake hadi nyashishi. Hatutaki ujuha.
Hayo maandamano unafanyia wapi,ilihali jeshi la polisi limepiga marufuku matukio ya sina hiyo!!?hayo ya ukanda ni ya kwako, jibu swali langu usipepese macho, kafurumushwa kahama kakimbia kote tinde shinyanga maganzo nhungumalwa misungwi kaja kufungua kesi mwanza! kama shida yake ahukumiwe na jaji kwanini hakwenda tabora ambako diko jiografia ya kimahakama kwa kahama? tunajua anatafuta shari na ataipata tu.
Na nyinyi mkiruhusiwa kufanya hayo maandamano tutaamini kuwa nchi yenu peke yenu watu wa Lumumba wengine tutaanza kutafuta jinsi ya kukaa mbali.Kuanzia Ijumaa kutakuwa na Maandamano ya kupinga mwenyekiti wa chadema kuendesha kesi Mwanza kwa sababu za kiusalama. Yeye anamatatizo yake na polisi kule kahama hajaenda kufungua kesi Tabora kaja kufungulia mwanza kama sio kuleta fujo za kijinga. Tutaandamana kuhakikisha anaondoka hatukubari kutuharibia mji wetu.
Watu waachwe wafanye biashara zao na shughuli za kujipatia kipato, si akafungue kesi shinyanga mjini, kinachomleta mwanza ni nini kama sio kuleta fujo za hovyo tu, hapana. Sasa tutaandamana na kufurumusha wafuasi wake hadi nyashishi. Hatutaki ujuha.
Mbona una kiherehere sana wewe ni nani hapa Mwanzahayo ya ukabila ya kwako, zuio lilitolewa dar, yeye makazi yake dar, ofisi yake iko dar, kapigwa na polisi kahama, kinachomleta kufungua kesi mwanza ni nini kama sio kuchochea fujo? nasema hapa tutaelewana na tutaheshimiana tu.
Kweli Nape amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupanda mbegu ukabila na ukanda. Hayo maandamano ni ya polisi au raia wa kawaida maana polisi wametangaza kupiga marufuku mikutano na maandamano. Au yatakuwa maandamano ya ndani ya kifamilia? Wewe ni kati ya watu wenye vimelea vya ukabila na ukanda uliokubuhunani kakwambia mbowe ni mwananzengo wa mwanza? hatumtaki na wenje wake tumeshamtupa kule sijui anatutafutia nini huyu baba? hiyo kesi yake akaifungulie mahakama ya mwanzo ibinzamata, safari hii lazima ziumane tu tumechoka sasa.