Maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli Mbeya

Maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli Mbeya

Hapo chini ni baadhi ya wananchi wa mkoa wa Mbeya wakufanya maandamano leo hii kumpongeza mwenyekiti wa ccm kwa kutekeleza kwa ufasaha ilani ya ccm!
Hii ndiyo Tanzania
Tulio ambiwa maandamano hayaruhusiwi hatuna hadhi ya utanzania?
FB_IMG_1553330580054.jpeg
FB_IMG_1553330575006.jpeg


In God we trust
 
Mji wa mbeya umefurika watu wanaompongeza JPM kwa kazi nzuri anazoendelea kuwatendea wananchi. Ni watu wa kada zote walimu, wafabyabiashara, watumishi mbalimbali. Mytake upinzani ujitafakari mheshimiwa anakubarika mno kwa namna watu walvofurika huwez kujua n jimbo la mh SuguView attachment 1051763View attachment 1051766View attachment 1051767

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona wote ni watumishi sioni raia wa mtaani? Hafu awape posho siyo mtu anaandama hafu anarudi kwake hata pesa ya kununua kilo ya nyama hana.
 
Mji wa mbeya umefurika watu wanaompongeza JPM kwa kazi nzuri anazoendelea kuwatendea wananchi. Ni watu wa kada zote walimu, wafabyabiashara, watumishi mbalimbali. Mytake upinzani ujitafakari mheshimiwa anakubarika mno kwa namna watu walvofurika huwez kujua n jimbo la mh SuguView attachment 1051763View attachment 1051766View attachment 1051767

Sent using Jamii Forums mobile app

Sijaona maandamano hapo. Waandamane wana kibali?

Hao ni watu wanawahi kazini na kwenye shughuli zao za kujipaitia riziki.
Nadhani kuna mgomo wa vyombo vya usafiri
 
Mji wa mbeya umefurika watu wanaompongeza JPM kwa kazi nzuri anazoendelea kuwatendea wananchi. Ni watu wa kada zote walimu, wafabyabiashara, watumishi mbalimbali. Mytake upinzani ujitafakari mheshimiwa anakubarika mno kwa namna watu walvofurika huwez kujua n jimbo la mh SuguView attachment 1051763View attachment 1051766View attachment 1051767

Sent using Jamii Forums mobile app
Chama gani kimewalazimisha wananchi kuandamana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mji wa mbeya umefurika watu wanaompongeza JPM kwa kazi nzuri anazoendelea kuwatendea wananchi. Ni watu wa kada zote walimu, wafabyabiashara, watumishi mbalimbali. Mytake upinzani ujitafakari mheshimiwa anakubarika mno kwa namna watu walvofurika huwez kujua n jimbo la mh SuguView attachment 1051763View attachment 1051766View attachment 1051767

Sent using Jamii Forums mobile app
Maandamano si yalizuiliwa, na waandamanaji wanaonekana kama wamelazimishwa vile, hawana hamasa
 
Imefikaa mahali sasa serikali ya ccm haina la kuwaambia na kuwafanyia mazuri wananchi. Imebaki kumpromote jiwe aonekane anakubalika. Yaani wanajitekenya na kucheka wenyewe. Period

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2020 sio mbali jmn Tuombe uzima TU maneno maneno yanini
 
Back
Top Bottom