Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
Hapo kwenye blue umenichanganya kidogo. Huyu Mwingereza ni mpinzani au ni UVCCM? Nafikiri kwenye maelezo yake amejitambulisha kama UVCCM so does it make UVCCM wahuni pia?

anajitambulisha kama uvccm baada ya mpango kukwama...mbona mwanzo hawakusema ni wanaccm dhidi ya mwenyekiti wao,si ndio maana wengi tukaingia kichwa kichwa
 

Kwanza mngetayarisha ripoti ya jinsi viongozi wenu walivyoshiriki kuhujumu hayo maandamano..msitupotezee muda kwanza wengi wenu huko hamna makaratasi ndio maana mmeshindwa kirahisi,hebu tuacheni tuendelee na kampeni zetu IGUNGA.
 

Nakufananisha na mtoto si riziki
 
nyinyi mngelikuwa mnataka kuandamana kweli wala ilikuwa haina haja ya kwenda huko ukumbini, mngeingia barabarani tu na ujumbe ungekuwa umemfikia, maandamano gani mpaka ukumbini, halafu hela zote hizo haingii akilini.
 
Moderators tafadhali chukueni hatua, mwingereza and his group has made us fools including you mods, please close this topic and ban mwingereza for good.
 
Unajua unachoonge inabaki ni maneno tu na unaendelea kudhalaulika tu. Ni kweli kuna funds zilimwagwa na si kitu cha ajabu kwani nakumbuka niliudhulia dicota ilipofunguliwa houston na ni kweli hawa dicota huwa wanapewa funds na serikali thats a fact.

Hii ya DC inayoendelea si kitu cha kushangaza na kuna jamaa wengi ninawafahamu personally nimezungumza nao walisema campaign ya kupeleka watu DC ilianza kama miezi miwili na wao walipewa maagizo na ubalozi kupiga debe sehemu zenye watanzania (states mbalimbali) kuwaahidi mpaka tickets ili waweze kufika. Kuna baadhi ya watanzania wasio na mwelekeo na ni rahisi sana kuwashawishi kupanda ndege na kuwaweka hotelini kwa kula bure na kukaa bure na kunywa pombe za bure ... this's not a shock ni tabia ya wale wasiojali kuwa hata kama hizo funds mnapewa i.e. tickets, food, alcohol huwezi kufikiria zingetumiaka kuwahudumia watanzania wenzako katika hii hali ya sasa? Anyway it's typical na wakimaliza kunywa watatuma pesa nyumbani kuwasadia wazazi wao....

The embarrassment ya hii dicota na hii mikutano yao ni kwamba wapo tayari kuchukua funds za wananchi kukaa na kusikiliza serikali ya ccm ikitoa ahadi na speeches za udanganyifu kila mwaka at the same time wakijua hakuna chochote kinafanyika au matokeo ni yaleyale ya uongo mtupu. Hiki sio kitu cha mzaha cha kucheza na maisha ya watanzania, nilipohudhuria hii dicota Houston waliokodi hotel kama hiyo hiyo Marriott na hakuna information yeyote ile ya jinsi gani wanapata funds ku-run hii mikutano na zaidi cost wanalipaje ... maybe they (dicota) si wange-confirm tunapewa na ofisi ya ubalozi DC. Shame kubwa ni kwamba wapo watanzania wanadanganyika there's something important they are gaining for attending these social events in expense of maisha ya wananchi.

This is third meeting and we will see hizo speeches na failed policies zitasaidia vipi wananchi Tanzania. Wanaoishi Marekani wataendelea kulalamika na kuumia kwa kutoa misaada ya fedha kila mwezi kwa ndugu zao mpaka wajue na kupata majibu nani anasababisha au ni policies gani zinawaumiza ndugu zao na kupata huduma mbaya .... shame nobody in the room don't think of their families.... We will not surrender to fight for our rights!

Wakati kikwete, membe na balozi wao DC wanaona this is success story kuweza kupata venue ya kuongea na kuacha wajinga watafakari ....
 
70% ya Watanzania ni bendera fuata upepo-J Kikwete
 
Hii thread ilitakiwa iwe imeshapotea toka Jamaa aliposema wanataka kuongwa dola 3m ili kuuwa maandamano.UWT na Kikwete wanajua tabia za Watanzania,watoe dola 3m kwa kipi haswa?
 
Mimi naona walio andaa ile FACEBOOK AGAINST VODACOM wameonyesha wako effective kuliko hawa wanaompinga JK

Kwanza hawaeleweki

Pili haiulikani wanataka nini

Tatu inaonekana ni wazugaji tuu

Nnne hawana tofauti na Invisible kutulea story za alinacha eti Shimbo kakutwa na Trilioni 3 bila kuleta ushahidi

Lakini pamoja na hayo thread ibaki tuu hapa hakuna kunyamazisha watu kwa sababu hamkubaliani nao. Watu wajadili mpaka mwisho tukijua ukweli kisha tutamove on kwenye mengine
 
Swala Muhimu ni Promises za Kikwete, Membe na dicota yenyewe

Tusisahau kuna report za mafanikio makubwa ya mikutano ya dicota inakuja. Subirini viongozi wa dicota wanatarajia kutoa report ya jinsi gani na mafanikio gani yatawasaidia watanzania walio nje ya nchi ili maisha yao yatakuwa nafuu na zaidi hawatahitaji kutuma fedha tena au hakuna tabu tena ya kupanda hati za viwanja na kufungua biashara Tanzania , zaidi kuna investments zinakuja toka US kutokana na kazi ya dicota... I love these ccm meetings!

Let's stop focusing on who's was protesting or who's failed to show up, the main issue remained is relation between kikwete gov and dicota. Who's dicota and what's its purposes in US?


 
Sasa hii inahusina na nini kuhusu hii thread? Kweli nchi yetu inavichwa maji kweli kweli ... zaidi huu utumbo wako nyote mnaonekana ni mashetani matupu, unajua shetani akikuingia huwezi kujua yupo mwilini mwako?

 
Last edited by a moderator:
kikwete,tambua kuwa watu wanapinga na wamechoshwa na ufisadi uliopo ndani ya CCM, hivyo wana-CCM mkiendelea na upuuzi huu na ufisadi wenu huu mtaishia pabaya, wana-CCM tambueni kuwa ^MBIO ZA SAKAFUNI HUISHIA UKINGONI- tutaonana 2015.
 
MODS ifungeni hii thread inashusha JAMVI hii ni SCAM

MODS, hii thread ibaki hapa hapa kwa kumbukumbu na rejea. inatupa picha nzuri ya harakati za malimbukeni na ni aibu kwa CDM. Jamvi halihusiki na aibu hii. Thread iachwe ili watafiti waone kudanganyana na mwelekeo wa vyama uchwara, nadhani itawasaidia kufanikisha utafiti wao.
 
Ungepewa $25,000 ungeleta hoja hiii ? i think umeleta hii hoja ya maandamano kwa sababu ulikosa fupa,kwani haya yalianza leo,mbona hatukusikia yaliojiri hapo nyuma ? Naomba jibu mkuu samahani.
 
Sasa hii inahusina na nini kuhusu hii thread? Kweli nchi yetu inavichwa maji kweli kweli ... zaidi huu utumbo wako nyote mnaonekana ni mashetani matupu, unajua shetani akikuingia huwezi kujua yupo mwilini mwako?


mie naona tunayeyushana tuu sasa kama mnatuyeyusha na sisi pia tunawayeyusha

Thread inayojadili hili suala ipo lakini maswahiba zenu wanapitisha tuu hizi threads zenu zinazolingana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…