Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,580
- 23,914
watanzania wanaishi tanzania acheni ujinga wenu ninyi!
Kwa hiyo unataka kusema kuwa kwa wakati huu Kikwete si mtanzania mpaka atakaporudi Bongo ! Watanzania wanaoishi Tanzania siku akirudi na kukanyaga tu ardhi ya Tanzania mpokeeni kwa mabango na hivyo hivyo watanzania wanaoishi nje ya Tanzania akitia mguu tu huko apokelewe kwa mabango. Kila mahali atakapofika iwe ndani au nje ya Tanzania ni mabango tu hadi ajute kwa nini alikimbilia Ikulu huku hana uwezo wa kuongoza !