Uko usingizini?CHADEMA maandamano New York yamefikia wapi?
Uko usingizini?CHADEMA maandamano New York yamefikia wapi?
Uko usingizini?
Jamani kama mna uchungu sana na Tanzania basi rudini nyumbani (Tanzania) mkajiunge na vyama vya upinzani ama anzisheni vyenu kuliko kupiga makelele mkiwa ughaibuni. Bila shaka mnajua kwamba fimbo ya mbali haiui nyoka. Samahani kwa kusema ukweli, lakini huo ndiyo ukweli.
mi naona hamko serious. muda huu mlitakiwa mjue anafikia hotel gani. fake
non sense kabisa sijui mnafikiri na nyinyi mmeshakuwa wazungu u will remain second citizen hata mfanyeje nafikiri hata hao wazungu wanawashangaa thats our head of state sisi kama watanzania na siyo nyinyi mlioukana uraia wenu.
<br />mi naona hamko serious. muda huu mlitakiwa mjue anafikia hotel gani. fake
mna baraka toka kwa waTZ tuliopo nyumbani
non sense kabisa sijui mnafikiri na nyinyi mmeshakuwa wazungu u will remain second citizen hata mfanyeje nafikiri hata hao wazungu wanawashangaa thats our head of state sisi kama watanzania na siyo nyinyi mlioukana uraia wenu.