Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
wee saigon, unaokana faaala.enhh!?look before u leap always otherwise yatakutokea puani..cku 1...yaani maisha ndo haya...alafu we taira kwl.
 
Rafiki Njiwa! Unatafuta Makwenzi wewe hapa

hahaha... hapana mchungaji.. mi najaribu kumuelewesha kondoo wako hapa...! anashindwa kutofautisha majukumu ya wizara na majukumu ya rais...acha niondoke asije akanindosha na swam hii ..
 
Jk ni jambazi sasa unatarajia nini? Kumshinikiza jambazi awafange majambazi wenzie............................au you serious or you are joking?
 
Now we are walking the talk! Akili na nia za kimapinduzi za Watanzania zimevuka mipaka...hakuna wa kuzizuia. Kova hatakuwepo, Shimbo hatakuwepo...
 


pole sana na utetezi wa Vasco wa Dar wetu, unatuambia kafuata generator? kama hivyo sawa, au kafuta meli ya mafuta? usiseme mafuta ni ishu ndogo serikali yetu lege@ccm ikivamiwa vifaru utaweka maji? wwe kama unaishi Oysterbay uliwahi bwana acha sie tulio tegeta kwa Mfuga paka tutembee mpaka mjini , sie ambao hata sehemu ya watembea kwa miguu hakuna , magari na matolori yaishie miguuni mwetu. Usicheke, hapa tupo dimbwi la machozi.
 
wee saigon, unaokana faaala.enhh!?look before u leap always otherwise yatakutokea puani..cku 1...yaani maisha ndo haya...alafu we taira kwl.
Can u reflesh ur post? nashindwa kukuelewa ulikuwa unajaribu kusema nini!
 
mwandikieni mabango mengi k.m yeye na ni gamba anatakiwa kujivua, mafisadi ni rafiki zake ndo maana hawezi kuwashughulikia
 
<span style="font-family: century gothic">mpe hongera mwano... lakini mwambie Rais haamki tu na kusema leo nakwenda marekani.. kesho nakwenda Uk... kesho kutwa s.africa...</span>
Naamini Raisi huwa "anaamka" tu na kwenda katika safari nyingi tu. Nakumbuka kuna safari ya mkutano wa Labour Spain sijui (thread ipo hapa) na kulikuwa na orodha ya waalikwa lakini yeye hakualikwa. Naamini huwa anadandia safari ambazo si lazima yeye aende hata kama kuna mwaliko rasmi wa nchi kupeleka mwakilishi.
 
Hapa unazidi kujichanganya wewe mwenyewe, kama unajuwa kuna kazi za mawaziri, ni nini kazi ya waziri wa mambo ya nchi za nje? na nini maana ya kuwa na balozi nje?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Je na wale wanaokusanyika kumsikiliza JK anapotembelea Marekani ni watanzania aina gani?
 



Hivi ninyi mmekosa kazi ya kufanya!... nimetumiwa mualiko nimeukataa... sababu sioni umuhimu wa kupinga ujio wa raisi wetu...

- mwaandama hamjui lengo la safari yake ni nini... Kiongozi wa nchi hasafiri tu kwa maslahi yake binafsi...


Mkuu unaweza ukanipa cost breakdown ya safari zake faida na hasara..?
Hivi hizo safari hata kama ni za lazima hawezi kutuma mwakilishi (sababu mwakilishi cost inakuwa ndogo kuliko Rais)
Na anavyosafiri hivi ni lazima abebe umati wa watu ambao cost zinakuwa maradufu..?
Na wale viongozi waliomtangulia ambao walikuwa hawasafiri kama yeye nchi ilikuwa haiendi...?
Na ni kipi hicho ambacho mpaka aende yeye ambacho wengine hawawezi wakakiweka sawa..?
Hivi ameshatembelea wilaya zote na kila sehemu ya Tanzania..? au ni nje tu ya Nchi ndio panahitaji yeye afike ili kazi ziende?

Mkuu in short hapa you are fighting with the Tide..., hakuna mtu mwenye uchungu na nchi yake ambae anaweza akatetea huu uozo
 
Yap, labda hii itamfanya asije US. Kwa nn trip za US, Uk anatia tim mwenyewe? Amtume Pinda au mwingine aah. Na yeye awe anaenda Sudan na Syria. Kwanza kuja kwake US hakusaidii chochote watanzania. Angalia ujumbe atakaoongozana nao. Wapi wanalala na kula ni pesa kibao tunalipa.
 
Nina uhakika JK atamtuma Pinda ths time if this walk is happening...

Kukomesha safari za nje wakati nchi inateketea yabidi kila nchi anayotaka kwenda hata 'zanzibar' watanzania wafanye hii demonstartion, kidogo mzee atatulia aadress key issues!!
 

FaizaFoxy, hujaonekana leo kwenye mjadala wa mafuta, naona unapiga upatu na 'theories of development' huku. Kiongozi yeyote akifanya vizuri watu watajua tu, believe me watajua. Kwa mfano Magufuli kila mtu anamjua kwa uchapaji wake wa kazi. So save your energy from this useless spinning.
 
Hiyo ya JK in Spain ni kiboko
 
[QUOTE=FaizaFoxy
<br />
We ndugu badilika usiwe na ushabiki zaidi....tembea uone maisha ya watanzania wanavyonyonywa na watu wachache.....nchi haina viwanda...pesa haina nguvu...viongizi sio waadilifu..vyote hivi lawama zinaenda kwa Raisi na serikali yake kuwa wameshindwa kusimamia kunufaisha wananchi kwa ujumla......migodi/madini yanabebwa tunaachiwa mashimo...maendeleo hatuyaoni kwa majority zaidi ya project za kifisadi na kisanii....Wewe ni mtoto wa kigogo nini...kama ndio unyamaze..WATZ TUNASHIDA.
 
<br />
<br />
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…