Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
hili ni jukwaa la siasa hata mtu akikosea spelling sisi tunachojali ni kuelewa content ya habari yake. washamba kama nyinyi hata mjini
Content ya habari ilikuwa haieleweki, na sio swala la spelling, hakuna kitu kama United States Department!

Isitoshe, U.S. State Department hawawezi kupokea maandamano binafsi ya Wabongo against Rais wao. Kebehi nyingi kumbe waongo, vilaza wakubwa.
 
Imagine.! Mtu yuko kwa Obama though hafeel direct pinch tuliyonayo anapanga kuandamana sembuse wewe..ushauri wangu :wakifanikiwa kuandamana akirudi tunaye, tumpokee kwa maandamano makuubwa ajifunze kuchukta maamuzi magumu juu ya kero za wa-tz.!
 
Hivi sio nyie mliopanga kuandamana kupinga matokeo ya Urais...?

Naomba feedback hayo maandamo yalikwendaje, au kama hayakufanyika
 
Mkuu, kwahiyo wewe unauraia wa nchi mbili ikiwemo US.

We nikome mi si Mtanzania wala mmarekani ni Mu Oman. Tanzania hususan Unguja nilizalika na kusomea Bara. Huko nilikuja kikazi tu.
 
Watu mnataka kumualibia dili yake JK, mzee wa safari safari!!!
 
Wamarekani watawashangaa na kuwadharau.maandamano mnayafanyia ughaibuni mnajiona wanaume.njooni bongo kama mko wazalendo kweli.mnatuhamasisha kumwaga damu kukataa hali ngumu ya maisha wakati huko mliko nako ni vilevile.anzen jumpinga obama ndo mje kwa kikwete.
 
We nikome mi si Mtanzania wala mmarekani ni Mu Oman. Tanzania hususan Unguja nilizalika na kusomea Bara. Huko nilikuja kikazi tu.

Ok, samahani mkuu. Ila nimeshajijibu mwenyewe mengi tu.
 

Acha kuniongopea kwani mi nawafahamu fika na nimekuwa nahudhulia hata function zao wakti wa Mh Mustafa Nyang'anyi. Hivyo nipe ni nani hao ili nikupe data zao.

Labda uniambie ni raia wa marekani walioukana uraia wa tanzania ndio wanaandamana lakini si vinginevyo.

Haya lakini all in all sie yetu subra.

Tusiandikie mate na wino upo
 
Safi sana maandamano hayo ni bora sana.
Bango"ona huruma ya watoto wa tanzania" pia "2005-2011 maisha bora kwa kila fisadi sio haki"
 
mngekuwa mnaandamana kushinikiza pia ajiuzulu ingekuwa poa zaidi
 
Content ya habari ilikuwa haieleweki, na sio swala la spelling, hakuna kitu kama United States Department!

Isitoshe, U.S. State Department hawawezi kupokea maandamano binafsi ya Wabongo against Rais wao. Kebehi nyingi kumbe waongo, vilaza wakubwa.

this is new!!!!!... wakilazimisha JE!?
 

FaizaFoxy, hadi kieleweke. Wewe endelea kumpanulia ****** miguu mkiwa safari zenu. Unadhani hatukujui, siye tunaandamana alafu.
 

Safi sana maana Kikwete ni janga kubwa kwa Tanzania na Watanzania. Inabidi ashinikizwe huyu ili aondoke madarakani haraka sana badala ya kuendelea kuwepo hadi 2015.
 
Naunga mkono hoja asilimia 200. Nguvu ya umma dunia nzima
 


Hilo bango litasomeka vizuri zaidi ukiondoa neno KAMA. Lisomeke: "JK nchi imekushinda achia ngazi."
 
Update:
Tayari watu 450 wmesha confirm kujumuika katika maandamano haya ya amani....Jamani tuendeleeni, kushirikiana tumuaibishe huyu msanii , mtalii Vasco Dagama a.k.a Dr. Livingstone hadi atoke madarakani

Mkuu mwingereza, Heshima mbele sana.

Haya maandamano yanafanyika Washington DC ya Washington au ya wapi?..

Respect
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…