Ashampoo burning
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 421
- 1,583
Chadema wamekuwa wakiandamana wakati huo huo watawala hawagopi wala kusikiliza hoja zao ....wengine hawaogopi kabisa wanasafiri wanaenda hadi nje ya nchi wanajua maandamano hayana madhara sawa tu jogging fulani tu
Africa tofauti na ulaya
Ulaya watu hata wanne wakifanya maandamano hua wanasikilizwa hoja zao maana ulaya wanaamini hadi hoja za watu wachache yaani democracy imekuwa iko mbali wana true democracy
Africa vipi
Africa ukifanya maandamano hadi usikilizwe ni lazima msimamishe uchumi na shughuli za kiserikali ndo mtawala anakusikiliza mfano kenya huwa waandamana week moja mfulilizo ili tu kuubana uchumi na kumfanya mtaWala asikilize hoja za upinzani
Pale tunisia waliandamana mwezi mmoja ukija pale sudan kwa bashir walikaa miezi mitatuahakuna kufanya kazi hadi hoja zikilizwe kwanza ndo uchumi uendelee wakafanikiwa kumtoa bashir kwa maandamano non stop ya miezi mitatu
Na maandamano yote hayo huwa yanatarget maaeneo ya kiuchumi watu wanakusanyikia huko yaani city center kati kati ya miji huko huko serikali inapopata kodi nyingi
Hii mifano michache ya maandamano successful
Sasa hili jogging la chadema halina madhara yeyote yale ccm wanajua ndo maana hawagopi ....yaani ni full raha tu maana ni watu wanafanya tu mazoeze ya afya katika miji mbali mbali ya nchi mwanza leo mbeya zam yao mazoezi ....arusha nao wajiandae na jogging la kunyoosha viungo
Maana ya maandamno africa ni kumfanya mtaawala kusikiliza kilio cha wananchi au kundi fulani ...sio tu kukimbia tu bila maana
Mange kimambi maandamano yake yaliogopwa maana yule mwana mama alitarget yakafanyikie posta ambapo muda ule ofisi nyingi za serikali zilikuwa posta so serikali ilijua mange kimambi alikuwa anataka kufanya nini waka mtime...maana angesimamisha shughuli za nchi kule posta hadi ofisi za kibalozi kubwa kule mabenk yanayofanya transactions kubwa kubwa ni posta ndo maana government ilizuia kabisa kabisa maandamano ya mange kimambi
Haya chadema hongereni kwa l mazoezi ya mwili kukimbia ni afya
Africa tofauti na ulaya
Ulaya watu hata wanne wakifanya maandamano hua wanasikilizwa hoja zao maana ulaya wanaamini hadi hoja za watu wachache yaani democracy imekuwa iko mbali wana true democracy
Africa vipi
Africa ukifanya maandamano hadi usikilizwe ni lazima msimamishe uchumi na shughuli za kiserikali ndo mtawala anakusikiliza mfano kenya huwa waandamana week moja mfulilizo ili tu kuubana uchumi na kumfanya mtaWala asikilize hoja za upinzani
Pale tunisia waliandamana mwezi mmoja ukija pale sudan kwa bashir walikaa miezi mitatuahakuna kufanya kazi hadi hoja zikilizwe kwanza ndo uchumi uendelee wakafanikiwa kumtoa bashir kwa maandamano non stop ya miezi mitatu
Na maandamano yote hayo huwa yanatarget maaeneo ya kiuchumi watu wanakusanyikia huko yaani city center kati kati ya miji huko huko serikali inapopata kodi nyingi
Hii mifano michache ya maandamano successful
Sasa hili jogging la chadema halina madhara yeyote yale ccm wanajua ndo maana hawagopi ....yaani ni full raha tu maana ni watu wanafanya tu mazoeze ya afya katika miji mbali mbali ya nchi mwanza leo mbeya zam yao mazoezi ....arusha nao wajiandae na jogging la kunyoosha viungo
Maana ya maandamno africa ni kumfanya mtaawala kusikiliza kilio cha wananchi au kundi fulani ...sio tu kukimbia tu bila maana
Mange kimambi maandamano yake yaliogopwa maana yule mwana mama alitarget yakafanyikie posta ambapo muda ule ofisi nyingi za serikali zilikuwa posta so serikali ilijua mange kimambi alikuwa anataka kufanya nini waka mtime...maana angesimamisha shughuli za nchi kule posta hadi ofisi za kibalozi kubwa kule mabenk yanayofanya transactions kubwa kubwa ni posta ndo maana government ilizuia kabisa kabisa maandamano ya mange kimambi
Haya chadema hongereni kwa l mazoezi ya mwili kukimbia ni afya