Walio rejesha badhi ya pesa za EPA sheria ilifatwa, rada sheria ikafatwa, kiwira sheria ilifuatwa, richmond/dowans sheria ilifuatwa, orodha ni ndefu mno.Fuateni sheria cheni bla bla, hii nchi inafuata utawala wa sheria !
kama ni nesi wa hospital umekosea sana mkuu! Katibu kata sawa, kwa kuzingatia madhara ya makosa yafanywayo kazini.nimefuatilia sana hoja zako. Laiti kama ungeongeza juhudi sana kwenye kusoma basi ungekua katibu kata au hata nesi.
Mbona husemi chama chenu cha magamba na kujazana watoto wa vigogo na matajiri watz washaelimika hawasikilizi siasa zenu ambazo hazina tofauti na sera za mkoloni, au hujui mkoloni alifanya ka nyie mnavyofanya sasa hiviNdugu zangu wana Mbeya tusigeuzwe mtaji wa kisiasa na hawa Wachaga wa Chadema, zindukeni wacheni kulala wana Mbeya tutakuja kujuta tusipokuwa makini, Ebe jiulizeni kama kweli nyie ni chadema, kati ya Wabunge (25) wa viti maalum wa Chadema Mbeya hakuna hata Mbunge mmoja wengi wamepewa wachaga wenzao ndio wengi wakati Mbeya ndio mmempa Dk Slaa kura nyingi za Urais, Mwanza ikishika nafasi ya pili wenyewe wamepewa kiti kamoja tu, wana Mbeya susieni hayo maandamano ya mafisadi Chadema, WANA MBEYA ZINDUKENI ACHENI KUJIPENDEKEZA CHADEMA HATA MBUNGE MMOJA WA VITI MAALUM MMENYIMWA NA HAWA WACHAGA WA CHADEMA:amen:
kama ni nesi wa hospital umekosea sana mkuu! Katibu kata sawa, kwa kuzingatia madhara ya makosa yafanywayo kazini.
Isijekuwa wadau walikuwa wanachangia/wanajadili kitu kisichokuwepo(tetesi).....Maana taarifa iliyopo ni kwamba maandamano hayajazuiwa na Polisi wala nini,yapo palepale kama ilivyopangwa....Taarifa zilizopatikana ni kwamba RPC Mbeya amepiga marufuku maandamano ya CDM kwa sababu ya taarifa za kiintelligensia.
Kwa mara nyingine tena watawala wanaingia woga na kuweweseka wakiwafikiria CDM. Kwa nini CDM wawe chanzo cha vurugu? Watu Wa-Mbeya wavuruge amani yao wenyewe?
Au wanataka yarudie ya tarehe 5 January huko Arusha?
I have just spoke wid Mh. Regia hasa baada ya kuona hii kitu na ameniambia wako Iringa wanelekea Mbeya na amesema taarifa za kuzuia hayo maandamano nao wamezisikia kwa mdomo hawajapewa barua yeyote so maandamano yapo kama kawaida na tunaomba watu wajitokeze kwa wingi bila kukosa...Na mimi ikimpendeza Mungu nitakuwa huko kuungana na makamanda...Ndugu zangu kama tunavyosema HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE...
Umejiunga Mwaka mpya hii mada ya viti maalum ilshajadiliowa sana na hata wakongwe wa propaganda kama Malaria Sugu hawaitumii tena. Utatuona kesho tukijaa barabarani kama kawaida. Unapanda basi la ukabila mpaka karne hii!Ndugu zangu wana Mbeya tusigeuzwe mtaji wa kisiasa na hawa Wachaga wa Chadema, zindukeni wacheni kulala wana Mbeya tutakuja kujuta tusipokuwa makini, Ebe jiulizeni kama kweli nyie ni chadema, kati ya Wabunge (25) wa viti maalum wa Chadema Mbeya hakuna hata Mbunge mmoja wengi wamepewa wachaga wenzao ndio wengi wakati Mbeya ndio mmempa Dk Slaa kura nyingi za Urais, Mwanza ikishika nafasi ya pili wenyewe wamepewa kiti kamoja tu, wana Mbeya susieni hayo maandamano ya mafisadi Chadema, WANA MBEYA ZINDUKENI ACHENI KUJIPENDEKEZA CHADEMA HATA MBUNGE MMOJA WA VITI MAALUM MMENYIMWA NA HAWA WACHAGA WA CHADEMA:amen:
Wanamuenzi shujaa wa watanzania,tuachane na wale wanaojipa sifa wasizostahili.Unaskia shule kama yusufu makamba,mama salama nk.loh!
Sawa Mh Mbunge. Hiyo ni warning kwenu hapo Iringa wanaweza kuwasumbua siku ya maandamano.habari za wakati huu polisi mbeya wamelegea waruhusu maandamano: