Maandamano ya CHADEMA Mbeya yaruhusiwa

Maandamano ya CHADEMA Mbeya yaruhusiwa

Vyombo vya usalama (polisi)waache woga,inakuaje kila CDM inapoitisha maandamano ndio tunaanza kusikia ngojera za taarifa za kiintelejensia?Huku ni kukwepa wajibu wao wa kuhakikisha maandamano yanalindwa kuanzia mwanzo hadi mwisho,lakini ukweli ulioko nyuma ya pazia ni kuwa,serikali ya ccm kushirikiana na polisi wanaogopa kuiona turn up ya umma itakayojitokeza kusapoti maandamano hayo.Aibu kubwa.
 
You Great Thinkers....! what's wrong with You? imekuaje mmeanza kuchangia hoja ambayo chanzo chake hakijulikani? watu wengine wapo hapa kwa maslahi ya wenyewe! hapa wanachokonoa hisia za watu kwa taarifa za kushtusha kama hiyo halafu wanajiweka pembeni na kuona mnavyoparanganyana!

taarifa kama hii ni ya kuignore...! CDM haijathibitisha kuzuiwa kufanya maandamano sasa wasiwasi wa nini hapa jamvini? tujadili mambo mengine wakuu!
Tulianza kuchangia tukiamini habari zimeletwa na Diwani wa Chadema ndiyo maana nasema lazima Chadema kama chama kiwe makini sana kwa sababu wapinzani wake wana mbinu nyingi na wanauwezo kiuchumi wa kumrubuni yeyote asiye mzalendo.
 
Ndugu zangu wana Mbeya tusigeuzwe mtaji wa kisiasa na hawa Wachaga wa Chadema, zindukeni wacheni kulala wana Mbeya tutakuja kujuta tusipokuwa makini, Ebe jiulizeni kama kweli nyie ni chadema, kati ya Wabunge (25) wa viti maalum wa Chadema Mbeya hakuna hata Mbunge mmoja wengi wamepewa wachaga wenzao ndio wengi wakati Mbeya ndio mmempa Dk Slaa kura nyingi za Urais, Mwanza ikishika nafasi ya pili wenyewe wamepewa kiti kamoja tu, wana Mbeya susieni hayo maandamano ya mafisadi Chadema, WANA MBEYA ZINDUKENI ACHENI KUJIPENDEKEZA CHADEMA HATA MBUNGE MMOJA WA VITI MAALUM MMENYIMWA NA HAWA WACHAGA WA CHADEMA:amen:

Ritz ama Vitz haturudi nyuma Ccm Wahedi wewe
 
Alisema maandamano hayo yanatarajiwa kuanzia maeneo ya Iyunga na kuishia maeneo ya Rwandanzovwe katika viwanja vya Dk. Slaa.

Alisema waandamanaji wataibukia maeneo ya Sinde na kupitia Mwanjelwa, Soweto, Mama John na kunyoosha moja kwa moja hadi Rwandanzovwe kwenye viwanja vya Dk. Slaa ambapo utafanyika mkutano mkubwa utakaoongozwa na viongozi wa kitaifa wa Chadema.

Kama haya ni kweli basi ni vizuri sana kama tuna waenzi watu wanao
pigania maslahi ya taifa

:: IPPMEDIA

Wanamuenzi shujaa wa watanzania,tuachane na wale wanaojipa sifa wasizostahili.Unaskia shule kama yusufu makamba,mama salama nk.loh!

.....Mwandishi/Chadema wamenifurahisha sana kwa ubunifu huo.

Hivyo viwanja vinaitwa Viwanja vya CCM, naona kwa ajili ya kuepuka kuitaja CCM ameamua kuchapia Viwanja vya Dr.Slaa.

Hasara yake inawezekana baadhi ya watu wakashindwa kufika mkutanoni kwa kuchanganywa na jina la uwanja, lakini kwa kuwa limetajwa eneo na katika eneo hilo kiwanja cha mikutano mikubwa ni hicho, then obvious watafahamu ni eneo hilo.
 
Chadema ndio Chama tawala hakika Hakuna ubishi CDM ni maisha ya wanyonge faraja ya kweli kwa watu wetu Watanzania wanyonge na masikini.
 
Chadema ndio Chama tawala hakika Hakuna ubishi CDM ni maisha ya wanyonge faraja ya kweli kwa watu wetu Watanzania wanyonge na masikini.

mkuu ... do i need to say more

umenikosha moyo wangu na nimepata faraja na matumaini ... kula thanks na like yangu instantly
 
Ndugu zangu wana Mbeya tusigeuzwe mtaji wa kisiasa na hawa Wachaga wa Chadema, zindukeni wacheni kulala wana Mbeya tutakuja kujuta tusipokuwa makini, Ebe jiulizeni kama kweli nyie ni chadema, kati ya Wabunge (25) wa viti maalum wa Chadema Mbeya hakuna hata Mbunge mmoja wengi wamepewa wachaga wenzao ndio wengi wakati Mbeya ndio mmempa Dk Slaa kura nyingi za Urais, Mwanza ikishika nafasi ya pili wenyewe wamepewa kiti kamoja tu, wana Mbeya susieni hayo maandamano ya mafisadi Chadema, WANA MBEYA ZINDUKENI ACHENI KUJIPENDEKEZA CHADEMA HATA MBUNGE MMOJA WA VITI MAALUM MMENYIMWA NA HAWA WACHAGA WA CHADEMA:amen:

haiwezekani ukamwamsha aliye rala ikiwa umerala amka kwanza wewe ndo uwaamshe mbeya
 
Nilipokea habari za kiintelegensia katika ndoto juzi baada ya kulala mapema kwamba, ccm kwa uhalisi wa umbo lake kimfumo hauna gamba wala ngozi ya kuchuna. Yenyewe sasa hivi ni kama ngurue, inahitaji kukwanguliwa wa maji ya moto. Jambo hili linawezekana tu ikiwa itakubali kufa kwanza kisha ichunwe manyoa yake. Ndoo maana kwa sasa kuna hofu, haina ujasiri wa kuvumilia maji ya moto ikiwa hai na wala kufa ikiwa inajiona ili ichunwe.
My take: kupiga U-turn kuhusu kuchuna gamba ni sahihi ili kuruhusu nguvu ya umma kuwapiga nyundo ya kichwa kisha kuwakata shingo na halafu tuwachune ngozi ya kifisadi walio nayo baada ya kukata roho na kutokujitambua.
Sasa nyundo iwekewe mpini mrefu wa kuwezesha watu wengi kuushika mkoani mbeya kesho.
PEOPLE'S DYNAMICS!!!!!
.
 
acha mambo ya umbea wewe kama rev alivyokwambia, huyo shitambala anakaa dar tabata... Halafu watu mnaokua na kauli za inasemekana mnakera kishenzi[/

Acha uvundo wewe,lingekuwa linakera lisingekuwepo wala kuingizwa kwenye kamusi.Hujui matumizi ya lugha nini?.Kwani yanayojadiliwa kwenye vikao vya siri na kuvuja hapa janvini unauhakika nayo?mbona umekuwa kihelehele wa kuchangia hata hizo tetesi ambazo unajishaua eti zinakukwaza.Tulia bwana mdogo jadili hoja sio kuiga ooooooh et REv.kasema hivi,inakuhusu kama sio copy and paste.Alikwambia ana nyumba moja?
 
haiwezekani ukamwamsha aliye rala ikiwa umerala amka kwanza wewe ndo uwaamshe mbeya

Kwanza nenda shule ukasome ili ujue kuandika vizuri wewe unakimbilia maandamano, jifunze matumizi ya R na L
 
Naona ma-RPC nao wameichoka CCM na kuamua kuihujumu kwa mbinu. CDM wakiitisha maandamano RPC anabana kwanza ili kuwepo na mvutano, ambao unaipa CDM free publicity, then wanaachia ili peoples power ichukue mkondo wake.
Hako ka mtindo nako ni kazuri. Free publicity ni nzuri kwetu wapenda mabadiliko.
 
Umejiunga Mwaka mpya hii mada ya viti maalum ilshajadiliowa sana na hata wakongwe wa propaganda kama Malaria Sugu hawaitumii tena. Utatuona kesho tukijaa barabarani kama kawaida. Unapanda basi la ukabila mpaka karne hii!

Ahahaha..Pro-Chadema bana kwa hiyo unaamini hii ni Propoganda Mbeya wanapewa Mbunge wa viti maalum, acha porojo za kwenye mbege, jibu hoja baada ya hilo swala la wachaga wengi na wanandugu kupewa ubunge wa viti maalumu mlivyojadili wana Mbeya mliwapa wabunge wa ngapi wa viti maalum? nasubiri jibu kutoka kwako uliojiunga zamani JF
 
Ahahaha..Pro-Chadema bana kwa hiyo unaamini hii ni Propoganda Mbeya wanapewa Mbunge wa viti maalum, acha porojo za kwenye mbege, jibu hoja baada ya hilo swala la wachaga wengi na wanandugu kupewa ubunge wa viti maalumu mlivyojadili wana Mbeya mliwapa wabunge wa ngapi wa viti maalum? nasubiri jibu kutoka kwako uliojiunga zamani JF
haya bwana!kushupalia vtu usivyojua,hivi mh Naomi Mwakyoma anawakilisha mkoa gani?
 
Ahahaha..Pro-Chadema bana kwa hiyo unaamini hii ni Propoganda Mbeya wanapewa Mbunge wa viti maalum, acha porojo za kwenye mbege, jibu hoja baada ya hilo swala la wachaga wengi na wanandugu kupewa ubunge wa viti maalumu mlivyojadili wana Mbeya mliwapa wabunge wa ngapi wa viti maalum? nasubiri jibu kutoka kwako uliojiunga zamani JF[/Q

"How do you feel, to see the suffering in the de streets?
Kids going to bed hungry, with no food to eat
How do you feel, violence and crime ah increase
*'Tanzania' is a one love country, but still theres no peace"


* -Ni maneno ya Anthony B ila hapo kwenye Tanzania yeye aliweka Jamaica.

 
Back
Top Bottom