mie naomba niulize jambo moja........hivi mtu anayetumwa kuja kumwaga matapishi hapa jamvini kama jeykey, geniusbrain malaria sugu na wengine wanalipwa shilingi ngapi kwa siku? inawezekana kabisa kuwa hii ndiyo ajira yao waliyopewa? kama ndivyo watu hawa hawazalishi na ni mzigo kwa taifakwani hawana mchango wowote kwa pato la taifa.....hawa ni gundi inayoshikilia magamba!!
hongera chadema...endeleeni na oparation..tuko pamoja.[/QUOTE
]
wala huna haja ya kujua kiasi wanacholipwa, wachukulie tu kama walivyo kuwa ni magamba.