Ndugu zangu wana Mbeya tusigeuzwe mtaji wa kisiasa na hawa Wachaga wa Chadema, zindukeni wacheni kulala wana Mbeya tutakuja kujuta tusipokuwa makini, Ebe jiulizeni kama kweli nyie ni chadema, kati ya Wabunge (25) wa viti maalum wa Chadema Mbeya hakuna hata Mbunge mmoja wengi wamepewa wachaga wenzao ndio wengi wakati Mbeya ndio mmempa Dk Slaa kura nyingi za Urais, Mwanza ikishika nafasi ya pili wenyewe wamepewa kiti kamoja tu, wana Mbeya susieni hayo maandamano ya mafisadi Chadema, WANA MBEYA ZINDUKENI ACHENI KUJIPENDEKEZA CHADEMA HATA MBUNGE MMOJA WA VITI MAALUM MMENYIMWA NA HAWA WACHAGA WA CHADEMA:amen:[/QU
Wabunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA,Naomi Mwakyoma (Mbeya), kushoto, na
Huyu na yeye si wa Chadema? Nina maana huyu Chatanda. Ila yeye bado hajafahamu tu....
Chatanda ni huyu yuko upande wa Kushoto, Mary Chatanda. Ritta Kabati (Iringa),kulia, na Mary Chatanda (Tanga). Hawa ndiyo mnasema Hamburger za MAGAMBA??
Hivi ni kwa nini sheria inataka chama kitoe taarifa polisi kabla ya maandamano? lengo si ni kupewa ulinzi? sasa wanaposema kuna taarifa za kiintelijensia kuvuruga amani si ndo ingekuwa ni advantage kwa polisi ili kujipanga sawasawa? mbona sasa wao ndo wanaifanya sababu ya kuzuia maandamano. Mi naona lengo zima la kutoa taarifa polisi linakosa maana kwa sababu kama maandamano wanayotaka kuyalinda ni yale tu ya amani kuna sababu gani kuwataarifu polisi? maana kama hakuna tishio la uvunjifu wa amani polisi wa kazi gani? polisi wanaoogopa vurugu za kuvunja amani wanamanufaa gani? si bora warudi uraiani tu!!
Unajua kikwete anataka tumweke kwenye kundi la Gadaffi na Mubarak. Anatutafuta kweli kweli na our patient is running real short right now. Hivi hii power ya ccm na serikali wamepewa na nani? Wanafikiri wanatumiliki sisi au ni kitu gani. JK anaendelea kuchafua amani ya Tanzania na hizi short cited theories ndizo zinamwondoa ikulu polepole na Jk anajua wazi hataweza kufika 2015. UN decoration inasema kila raia duniani anahaki ya kuandamana kwa amani kupinga uoneazaji wa aina yeyote ile na kama ccm wanafiki hawa ffu na polisi wanaokula mlo mmoja wanaweza kutumika kila wakati, tutaona kama this will work in hii mikutano yetu ya kanda ya kusini. JK anataka kuiga Museven tactics sio, ndio maana wanataka kuungana kwenye EAC.
Ndugu zangu wana Mbeya tusigeuzwe mtaji wa kisiasa na hawa Wachaga wa Chadema, zindukeni wacheni kulala wana Mbeya tutakuja kujuta tusipokuwa makini, Ebe jiulizeni kama kweli nyie ni chadema, kati ya Wabunge (25) wa viti maalum wa Chadema Mbeya hakuna hata Mbunge mmoja wengi wamepewa wachaga wenzao ndio wengi wakati Mbeya ndio mmempa Dk Slaa kura nyingi za Urais, Mwanza ikishika nafasi ya pili wenyewe wamepewa kiti kamoja tu, wana Mbeya susieni hayo maandamano ya mafisadi Chadema, WANA MBEYA ZINDUKENI ACHENI KUJIPENDEKEZA CHADEMA HATA MBUNGE MMOJA WA VITI MAALUM MMENYIMWA NA HAWA WACHAGA WA CHADEMA:amen:[/QU
Wabunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA,Naomi Mwakyoma (Mbeya), kushoto, na
Haya kada wa ccm, tactics zenu za kuwagawa watanzania zimegonga ukuta zamani. Chadema kinawaogopesha sio? Tunakuja hata kwa bibi yako na kumpa kadi hata kama hutaki.
BIG UP CDM, songa mbele usiangalie makunyanzi ya watu. Wanambeya unganeni na watanzania wenzenu, unga mkono harakati za CDM, tuko pamoja katika harakati za kulikomboa taifa letu kutoka mikononi mwa mafisadi. Tunawatakieni kila lenye heri katika maandamano na mkutano iwe ya amani na utulivu. Mungu ibariki CDM, Mungu ibariki Tanzania.
Huu ndiyo wakati wa kuabika kwa Sambwe (Charles) Shitambala. ni wakati wa kumuoanyesha kuwa yeye hakuijenga Chadema Mbeya na ni wakatiwa kumuonyesha kuwa kuhamia kwake ccm na matapishi yake aliyoyatoa pale Kibonde nyasi mbele ya Malecela na mwandosya hayaizuii Chadema kusonga mbele wala hayakuwa na athali zozote.
Ndugu zangu wana Mbeya tusigeuzwe mtaji wa kisiasa na hawa Wachaga wa Chadema, zindukeni wacheni kulala wana Mbeya tutakuja kujuta tusipokuwa makini, Ebe jiulizeni kama kweli nyie ni chadema, kati ya Wabunge (25) wa viti maalum wa Chadema Mbeya hakuna hata Mbunge mmoja wengi wamepewa wachaga wenzao ndio wengi wakati Mbeya ndio mmempa Dk Slaa kura nyingi za Urais, Mwanza ikishika nafasi ya pili wenyewe wamepewa kiti kamoja tu, wana Mbeya susieni hayo maandamano ya mafisadi Chadema, WANA MBEYA ZINDUKENI ACHENI KUJIPENDEKEZA CHADEMA HATA MBUNGE MMOJA WA VITI MAALUM MMENYIMWA NA HAWA WACHAGA WA CHADEMA:amen:[/QU
Wabunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA,Naomi Mwakyoma (Mbeya), kushoto, na
Haya kada wa ccm, tactics zenu za kuwagawa watanzania zimegonga ukuta zamani. Chadema kinawaogopesha sio? Tunakuja hata kwa bibi yako na kumpa kadi hata kama hutaki.
(Giddy Mangi!) hv wewe bado unakuwaga na mambo ya kijinga kama ulivyo ktk thread ulioreport? Kuwa mwelewa,JINGA KUBWA WE!! Mwoneni utafikiri gurudumu la tractor. NDG WanaJF walioko huko Mbeya tupeni picha ya Makamanda wote wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CDM) na hata msisite ku2rushia yote mapya yanayojiri (Twanga Kotekoteeeeeeeee) Ault Co.................. Mpaka kieleweke!
Kaka Mbeya kunawaka moto hakika hali ni mbaya sana na Gari la zima moto lipo moja tuu Moto unawaka hakuna mfano tunaomba kama wewe ndio Amiri Jeshi Mkuu,Mwenyekiti wa Ccm na Rais wa wana Ccm utoe msaada haraka "OPERESHENI TWANGA KOTEKOTE IMEANZA"Fuso tatu nyimbo za Ukombozi kila kona ya Mbeya viongozi wa Ccm wamekimbia wote mjini.FREEDOM IS COMING TOMORROW freedom is coming tooomorrowww freedommmm is coming toommmoorroow.
Bilashaka wewe si Mhasibu kwani makosa kama hayo hutokea hivyo i have no comments.By the way hiyo ni display cheque ambayo haiendi kokote zaidi ya kuishia kwenye picha na imani iliyokwenda kwa mlipwaji iliwekwa sahihi whichever.Being a President sio Umungu,mbona Slaa alitangaza kifo cha Mtu aliehai Maswa hili nalo tusemeje?aliingizwa mkenge?
Acha kuhalalisha ujinga wewe.
Kama mtu anashindwa kuona makosa kwenye likaratasi likubwa namna hiyo atawezaje kuona makosa madogo madogo yaliyojificha?
By the way, sisi ambao tunaoneshwa huo mchango tuamini jamaa wamechangia kiasi gani: usd 200,000 au 300,000. Hicho kitu si rahisi kama unavyofikiria. Anyway kwenu nyie Magamba ni kitu cha kawaida tu.
mie naomba niulize jambo moja........hivi mtu anayetumwa kuja kumwaga matapishi hapa jamvini kama jeykey, geniusbrain malaria sugu na wengine wanalipwa shilingi ngapi kwa siku? inawezekana kabisa kuwa hii ndiyo ajira yao waliyopewa? kama ndivyo watu hawa hawazalishi na ni mzigo kwa taifakwani hawana mchango wowote kwa pato la taifa.....hawa ni gundi inayoshikilia magamba!!
hongera chadema...endeleeni na oparation..tuko pamoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.