Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,340
1. Shomari, nani kakudanganya huo msemo kwenye nyekundu ni wa Kikwete??
2. Swali lako....."nani aanzishe" = very simple, tuanze kujiorodhesha hapa hapa:
- M-mbabe
- Spencer
- Iwanga
- Ezan
- Stein
- Byendangwero
- King of Kings
- Bruce Lee
- Wewe mwenyewe (Shomari)
- El Nino (huyu tutambeba juu juu kibabe maana anataka kuleta logic nyingi)
gsana ujamtaja,hatokosa kuandamana na bango kubwa,"WACHUUZI WAGENI WARUDI MAKWAO!" watz wapange NHC kama upanga ,k.koo,fire na masaki. Aluta continua!