Maandamano Makubwa Kufanyika Kesho Kupinga Mahakama kutumiwa kisiasa

sio mzigo, yeye ni furushi

sikatai naweza kuwa mzigo au furushi lakini lenye akili ya kureason,kwa nini hukumu hiyo si sahihi kisheria?ni haki ya mtu yoyote kuwa nauelewa wa kitu kabla ya kufanya,tuache ushabiki usio na tija utasemaje huyu dada ni mjamzito bila evidence,tuambieni ili watu wakienda barabarani wasionekane wahuni na uchafu wawe nauwezo wa kujieleza kwa nini sio haki,
 
Maadam anaruhusiwa kugombea sioni sababu ya kuhangaika. Najua kuandamana ni haki ya Mtanzania kutumia uhuru wake kuwakilisha kinachomsibu. Ningeshauri ile timu ya Arumeru Mashariki ndiyo iongoze kwa mara nyingine mashambulizi Arusha. SISIEMU haina chake Arusha.
 
Hesabu simple,

Lema kahukumiwa tukielekea pasaka, do you people know what it means??

Refer the philosophy of Easter/ Pass over/ Christian Paschal Festival...

Uchaguzi ni within 90 days= miezi 3(I stand to be corrected), resurrection was in 3 days...

Wait and see how we shall overcome!!

Aluta Continua!!:peace:

CHADEMA Arusha urban reloaded!!!
 
Chadema lazima muheshimu maamuzi ya mahakama hukumu ni sahihi nchi inaendeshwa kwa mujibu wa sheria mahakama haiwezi kuacha kufuata sheria ili kuwafurahisha Chadema.
Mkuu Ritz Jaji yeyote mwenye hekima asingelitoa hukumu ya aina hii!!! Ila simshauri Lema akate rufaa maana kwa rufaa atashinda atakuwa reinstated kuwa mbunge wa Arusha!!! Ila kuwafundisha adabu na mkome kusarandia jimbo la Arusha turudi kwenye ballot Box tuwagaragaze, kama unabisha tupinge!!!!!

 
Hakuna haja ya kurumbana wala hakuna haja ya kukata rufaa kwa wana CHADEMA, acheni twende tena kwenye uchaguzi mdogo ili thithiemu wachapwe tena!
 
hukumu ya mahakama haiwezi kuwa na nguvu kwa nguvu ya umma! dola ioneshe umma unataka nini. ni funzo kwa maamuzi onevu. umma uta prevail!
 
Mkuu naona umeamua kufunguka kwa style ya upako...hatuwezi kuchukizwa na matusi ya Lusinde halafu tufurahishwe na matusi ya Lema.
Kama ya Lusinde ni matusi CCM mbona hamjampeleka mahakamani??? Au kwa sababu ni wakwenu???? Tukutane kwenye uchaguzi, najua style yako ni kukimbia na umeibuka leo, pole saana you are backing the wrong tree CCM maghamba's!!!!!!!!

 
Hukumu aliyopewa G. Lema imebeba fumbo kubwa ambayo hata waliomhukumu walijui. Wanadhani wamemkomesha wakipongezana, lakini kuna kitu kikubwa Mungu atakifanya Arusha, hakuna kinachofanyika chini ya jua kisiwe na makusudi maalum. Yawezekana ni njia ya kuharakisha mabadiliko nchini, ni hakika Mungu atafanya kitu Arusha.
 
NIMEPATA HABARI KUTOKA KWA RAFIKI YANGU WA KARIBU AMBAYE NI KADA WA CCM NA ANA UHUSIANO NA KIONGOZI MMOJA MKUBWA WA CHAMA CHA MAPINDUZI KWAMBA VIONGOZI WA JUU WA CCM WANATARAJIA KUWA NA KIKAO ILI WAPANGE WAFANYE NINI KUHUSIANA NA SAKATA LA KUONDOLEWA UBUNGE KWA LEMA, NA IKIWEZEKANA LOLOTE LIFANYIKE ILI UCHAGUZI WA MARUDIO USIFANYIKE.

POLITICAL ANALYSTS WAMEFANYA UCHAMBUZI WA KUTOSHA NA KUGUNDUA KWAMBA HUKUMU HII YA GODBLESS LEMA KWA UPANDE MWINGINE HAINA LENGO LA KUMNYANG'ANYA LEMA UBUNGE, BALI KUICHAFUA CCM WAKATI WA KAMPENI NA HATIMAYE WAKATI WA UCHAGUZI ILI KUZIDI KUIANGAMIZA MBELE YA WANANCHI.

LENGO MAHSUSI LA HUKUMU HII NI KUWAFANYA WATANZANIA WAPOTEZE TENSION KATIKA MASUALA MENGINE NA WAJIKITE KATIKA KUFUATILIA MWENENDO MZIMA KUANZIA HUKUMU MPAKA UCHAGUZI, NA HAPA KATIKATI KUNA ISHI NZITO AMBAZO KAMA ZIKIFIKA MASIKIONI MWA WANANCHI BASI HALI ITAKUWA MBAYA, NA INASEMEKANA MKULU AMESHA AMUA YEYE MWENYEWE CCM IFIE MIKONONI MWAKE KAMA ILIVYOKUWA KWA MOI NA KANU.

CCM KWA UJUMLA WAO WANAFAHAMU KABISA KWAMBA WAO KUSHINDA JIMBO LA ARUSHA NI VIGUMU SANA KUTOKANA NA NAMNA AMBAVYO CHAMA KIMEPOTEZA CREDIBILITY MBELE YA WANANCHI.

NA MPAKA SASA CCM WANA WAKATI MGUMU SANA KUPANGA TIMU YA KAMPENI NA PIA NI NANI WAMSIMAMISHE KAMA MGOMBEA.

ZAIDI YA HAYO WANAJUA KABISA KWAMBA UCHAGUZI HUU UTAZIDI KUIWEKA UCHI SERIKALI NA CHAMA CHA MAPINDUZI KWA UJUMLA, NA IWAPO WATASHINDWA (wanajua watashindwa) BASI WATAKUWA WAMEZIDI KUJIPAMBANUA KWA WANANCHI KWAMBA CCM NI CHAMA KINACHOELEKEA SHIMONI.

HUKUMU YA LEMA NI MOJA KATI YA MIKAKATI YA WATU WALIO KWENYE SYSTEM AMBAO WANAITAKIA MEMA TANZANIA KUAMUA KUKIANGAMIZA CHAMA CHA MAPINDUZI.
Mkuu kama ni hivyo basi think tanks wa CDM wakae chini kupanga mkakati wasiinge kichwa kichwa kwenye mtego wa maghamba's!!!System wanaweza hata kumuuwa Mheshimiwa wetu kwa kisngizio cha kuzuia maandamano ya ARUSHA!!! Kabla CDM hawajachuka hatua yoyote bora kufikiri kwanza!!! Think man and avoid the boiling pan, think and act period!!!!!

 
hesabu simple,

lema kahukumiwa tukielekea pasaka, do you people know what it means??

Refer the philosophy of easter/ pass over/ christian paschal festival...

Uchaguzi ni within 90 days= miezi 3(i stand to be corrected), resurrection was in 3 days...

Wait and see how we shall overcome!!

Aluta continua!!:peace:

Chadema arusha urban reloaded!!!

halafu mkiambiwa chama kinaharufu ya udini mnabisha!
 
Hivi wazo la kwamba hii ni vita halijaeleweka bado? Kilichonishtua mimi zaidi siyo hukumu yenyewe hasa - kwani ingeweza kwendwa vyovyote vile kutegemeana na ushahidi. Kilichonishtua mimi ni kuwa siku moja kabla hukumu ilikuwa tayari inajulikana. Hili sikumbuki kuwahi kutokea kwenye kesi nyingine yoyote kwenye mahakama kuu. Je kuvuja huko kwa hukumu kumetoka wapi? Na kuna maana gani katika siasa na utawala wetu? Majibu ya haya yanatisha zaidi kwani ina maana vita inapiganwa sasa siyo kwenye sanduku la kura tu bali sasa tunaenda hadi mahakamani na ni wakati wa kuangalia mikakati yetu ikoje.
 
suala la maandamano kupinga hukumu ya mahakama halina mantiki, sana litaleta uvunjifu wa amani, kwa kuwa mahakama ni chombo cha kutoa haki tunatakiwa kueshimu maamuzi yake na mbali ya hapo Lema anayo nafasi ya kuamua kukata rufaa ama kurudi jukwaani tena kunadi sera zake.
 
Back
Top Bottom