Maandamano kupinga ripoti ya tume ya Uhamiaji

Maandamano kupinga ripoti ya tume ya Uhamiaji

Jamani. Hii inchi ukipata mwanya na wewe kwapua tu. Maana imeshakuwa inchi ya wanyang'anyi, wezi na wabinafsi. Tunasoma ili iweje ikiwa kila kazi wanapeana wao. Iko siku haya yote yatakwisha. Tunawasubiri


Bolshevick from the Red Army
 
napita tu....ila nimekumbuka kuwa uhamiaji ni karibu na FFU kurasini......tena wale wana farasi.......hahhahagaha. ..
ngoja nipite pale kurasini police niwaone....hahahahaha.
 
Maandamano hayasaidii nyie pitien kwenye mikondo ya kisheria kwa kuungana na kufanza hvo tofaut na hapo ni vigumu
 
Hv hiyo tume iko uhamiaji? Kama haiko uhamiaj nyie mwaenda kufanya nin uhamiaji,
Nachojua katibu mkuu ndo tatzo hpo na tume yake
 
Kabla hujacoment embu jaribu kupitia kwanza conments za wengine...Tumesema hakuna maandamano ila ni suala la hoja mezani
 
Ha ha ha ha kwani wamesimamishwa kazi hao?unachotakiwa kujua nI kua huo ulikua usaili tu ambao hata afya ulikua bado kuchekiwa na bado mafunzo ya kijeshi ya mwaka mzima ambayo nako huko watu huwa wanafukuzwa....uhakika kua umeajiri ni pale utakapo kua umemaliza mafunzo na kusaini mkataba wa ajira.

mkuu achana na washwa washwa, nimeona nisimjibu kupototeza muda , ndoja aendelee tu kupotosha, ila ukweli unabaki pale pale kuwa walikuwa hawjaanza kazi na wala hawana mkataba, how do you seek legal action to the non existing employment contract, muache apotoshe kwa kureproduce tu vifungu...akienda mahakamni ndo atajua tafsiri ya sheria, siwezi kubishana na ukweli...
 
napita tu....ila nimekumbuka kuwa uhamiaji ni karibu na FFU kurasini......tena wale wana farasi.......hahhahagaha. ..
ngoja nipite pale kurasini police niwaone....hahahahaha.

eh eh eh mkuu acha kuwatisha wenzio, wanasaka haki yao iliyopotezwa mkuu...
 
Narudia kuwa hakuna maandamano yatakayofanywa ni suala la hoja mezani
.wanaodhani tutafanya maandano watambue hata sisi sheria za nchi tunazitambua mana pia tumesoma sheria kwa miaka kadhaa..kinachoendelea hapa ni kupata ufafanuzi wa hoja zilizoainishwa mezani..wanaosema hatufai kuwa viongozi watambue kuwa wao ndio hawafai maana kiongozi ni pamoja na kupigania haki na kukataa uonevu..sasa kama wapo waliokuwa na haki katija hili kwann wasingepewa haki yao..kwanini ripoti ya kamati ilitoa ufafanuzi mdogo sana juu ya tuhuma kubwa kama hizi..je kamati ilimuogopa nani katika hili kwann wasingeweka bayana ni akina nani waliopendelewa na ni akina ilibainika kuwa walikuwa na sifa stahiki..je katiba ya nchi haitambui haki ya mtu mmoja mmoja(individual rights)..je ukiwa na watoto watano nyumbani kwako ukarudi ukakuta chupa ya chai imevunjika na ukabaini aliyevunja chupa ni mmoja.je utawaadhibu wote au yule muhusika..kilichofanyika ni general na sio specific conclusion...

pole mkuu , endelea kunegotiate unaweza kusikilizwa, ila kwa maelezo aya inakupasa ubadilishe heading, maana kichwa cha habari mnataka maandamano wakati maamuzi yenu yanapinga maandamnao...all the best!!
 
Wakuu wale wote wanaodhani kuwa walikuwa na sifa na walionewavkwenye maamuzi ya wizara kuhusu ajira za uhamiaji wanipm majina yao..Hatua zilizofikiwa kwa sasa ni kuwa Tumeshafanya mahojiano na gazeti moja ila leo siku ya juma tano(27/08/2014)..tutafanya mahojiano na magazeti mawili tena..baada ya hapo ni kutafuta vituo vya television..ni pm jina lako na contacts zako
 
kila kitu kipo kiongoz.sema muda wakat na wapi tupo tayar kutoa ushirikiano wote
tupo pamoja katika hili
 
Afadhali na sisi polisi tuliotoka depo tupatiepo majaribio halisi...
 
Polisi ulietoka depo ndo umefundishwa kupiga raia..acha kuwadhalilisha askari wetu..askari aliesoma criminal law anatambua Human rights vizuri hawezi kuongea ujinga kama huo
 
watu wengne bwana yani wapo duniani apa kwa ajil ya kuvunja watu moyo
kupigania haki ni moja ya dhawabu hapa dunian
 
Upuuzi mtupu. Nyie wote mlibebwa jishaueni tu.
Kama ipo ipo tu. Kama umepata kihalali na kaz znatangazwa tena sasa yanin uogope. Si utaomba tena na utaitwa.
Kwan ni bahat nasibu ile?
Au kwakua majina yenu hayajatoka humu ndo mjione mlipata kihalali?
Pambaaaf
 
leo ndio jumatano naona kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaa vpi hakuna kuandamana wakuu
 
Back
Top Bottom