mkomanzila
Member
- Aug 8, 2014
- 20
- 1
Hamjaajiliwa mnaandamana je wakiwaajir mtakuwa waadilifu kweli kuaandamana c suluhisho tafteni mbadala mtavunjwa viono mkose ata ajira taasisi nyingine za usalama
Mkuu ungetueleza iwe faida kwa wote,Badala ya kuandamana,nendeni Tume ya Usuluhishi mkafungue shauri la kusimamishwa kazi haswa kwa kuegemea kifungu cha 9(b) cha Sheria ya Kazi na Mahusiano kazini ya mwaka 2004
Wakuu tupo maeneo ya posta tunatafuta ofisi ya mwanasheria kablavya kuelekea wizarani
Sasa tunaelekea kwa muhariri wa gazeti la majira baada ya kupata mualiko wa kwenda kuzungumzia hili suala
Mainda contacts..0769747131 na 0655747130