Maandamano kupinga ripoti ya tume ya Uhamiaji

Maandamano kupinga ripoti ya tume ya Uhamiaji

upu----------fu tu ndio unawasumbua na hamufai kuwa viongozi kwa sheria za jeshi mpaka saiz umeshapoteza sifa tena nyie hata mkienda yawezekana mkapindua nchi hamfai kabisa
 
Nyie fuateni taratibu za nchi kwenye hili tatizo lenu..maandamano hawasaidi kitu.

Vimbelele wote humu mnaofanya ushawishi huu hamfai kuwa watumishi wa umma.... yaani tumewablack list..habari ndio hio
safi sana tusije pata viongozi uchwala
 
Tayari tumeshafanya mahojiano na mhariri wa gazeti..sasa ni kwenda kufanya mahojiano na katibu mkuu..wale wadau wote endeleeni kutuma maoni yenu...habari hii itakuja hivi karibuni.
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa..sikia wapo wenye haki katika hili..nawahakikishieni hili suala litachukua sura mpya
 
Narudia kuwa hakuna maandamano yatakayofanywa ni suala la hoja mezani
.wanaodhani tutafanya maandano watambue hata sisi sheria za nchi tunazitambua mana pia tumesoma sheria kwa miaka kadhaa..kinachoendelea hapa ni kupata ufafanuzi wa hoja zilizoainishwa mezani..wanaosema hatufai kuwa viongozi watambue kuwa wao ndio hawafai maana kiongozi ni pamoja na kupigania haki na kukataa uonevu..sasa kama wapo waliokuwa na haki katija hili kwann wasingepewa haki yao..kwanini ripoti ya kamati ilitoa ufafanuzi mdogo sana juu ya tuhuma kubwa kama hizi..je kamati ilimuogopa nani katika hili kwann wasingeweka bayana ni akina nani waliopendelewa na ni akina ilibainika kuwa walikuwa na sifa stahiki..je katiba ya nchi haitambui haki ya mtu mmoja mmoja(individual rights)..je ukiwa na watoto watano nyumbani kwako ukarudi ukakuta chupa ya chai imevunjika na ukabaini aliyevunja chupa ni mmoja.je utawaadhibu wote au yule muhusika..kilichofanyika ni general na sio specific conclusion...
 
Narudia kuwa hakuna maandamano yatakayofanywa ni suala la hoja mezani
.wanaodhani tutafanya maandano watambue hata sisi sheria za nchi tunazitambua mana pia tumesoma sheria kwa miaka kadhaa..kinachoendelea hapa ni kupata ufafanuzi wa hoja zilizoainishwa mezani..wanaosema hatufai kuwa viongozi watambue kuwa wao ndio hawafai maana kiongozi ni pamoja na kupigania haki na kukataa uonevu..sasa kama wapo waliokuwa na haki katija hili kwann wasingepewa haki yao..kwanini ripoti ya kamati ilitoa ufafanuzi mdogo sana juu ya tuhuma kubwa kama hizi..je kamati ilimuogopa nani katika hili kwann wasingeweka bayana ni akina nani waliopendelewa na ni akina ilibainika kuwa walikuwa na sifa stahiki..je katiba ya nchi haitambui haki ya mtu mmoja mmoja(individual rights)..je ukiwa na watoto watano nyumbani kwako ukarudi ukakuta chupa ya chai imevunjika na ukabaini aliyevunja chupa ni mmoja.je utawaadhibu wote au yule muhusika..kilichofanyika ni general na sio specific conclusion...maamuzi haya hayakuzingatia haki kwa kila upande na madhara yake kwa kila muhusika..
 
Mkuu kuanika namba zangu sio kesi mana hatupangi uhalifu hapa..na kama anayehisi tunakosea kufanya hivi anipigie simu aniambie kama nimevunja sheria za nchi hii au nimekiuka taratibu za katiba ya nchi yetu..kuogopq haisaidii unaweza ukawa na haki ila ukikaa kimya unaipoteza haki yako..na kama kuna anayeogopa kudhuriwa kwa kutetea haki atambue kuwa kila kitu kinamwisho wake..kama ni kufa wote tutakufa kwenye hii dunia..hata waliopigania uhuru walishatangulia mbele za haki na wapumzike kwa amani
.tuache uoga usiokuwa na msingi kwa haki yako.
 
Hata mie naunga mkono msiandamane maana mtaishia pigwa tu na kuvunjwa meno
 
Kwan hamna taratib za kisheria za kutafuta haki yenu mpaka muandamane? Kama mnaham ya virungu andamanen
 
eh eh eh , mkuu unachekesha sana,kwani hao tayari ni employees au? sheria iyo iyo imetaja who is an employee, na wewe umeleta kifungu kinachohusu Haki ya kushiriki kwenye chama cha wafanyakazi makazini, mkuu au unawapotosha, au unafurahisha umma au unawaenjoy wakati wenzio wako serious...NISEME TU UKWELI MCHUNGU, ILA SIONI WATAANZIA WAPI KISHERIA KUTEKELEZA AYA MAONI YAKO MKUU!!
Mkuu haya mambo kama si fani yako kaa pembeni

(9) For the purposes of this section-
(a) ''employer'' includes an employment agency;
(b) ''employee'' includes an applicant for employment;
(c) an ''employment policy or practice'' includes any policy or
practice relating to recruitment procedures, advertising and
selection criteria, appointments and the appointment process,
job classification and grading, remuneration, employment
benefits and terms and conditions of employment, job
assignments, the working environment and facilities, training
and development, performance evaluation systems,
promotion transfer, demotion, termination of employment
and disciplinary measures.
 
Mkuu ungetueleza iwe faida kwa wote,
kama walikuwa hawajapewa barua offer letter watakuwa na haki ipi? hebu fafanua iwe faida kwa wote hicho kifungu 9b kinasemaje?
ASANTE WASHWA WASHWA:
Haki yao isipotee..

Kaka unataka utafuniwe kile kitu? Nimekupa kifungu, tafuta hiyo sheria uisome. Kwa kifupi , hicho kifungu ni hiki hapa

(9) For the purposes of this section-


(a) ''employer'' includes an employment agency;
(b) ''employee'' includes an applicant for employment;


Mantiki ya hicho kifungu ni kuondoa ubaguzi wakati wa ajira na kuwalinda waliobaguliwa wakati wa process ya recruitment. Kwa kilichotokea uhamiaji ni 'purely' ubaguzi na kwa namna ya kudili nao ni kuwashtaki kwa kutumia vifungu mbali mbali vya sheria kikiwemo hicho nilichokitaja na pia kwa kutumia policy za serikali zinazozungumzia process nzima ya ajira inavyotakiwa kuwa.
 
Mkuu ungetoa maelekezo ya kina kuhusu tume ya usuluhishi..Na pia ungetoa ufafanuzi na direction ya ofisi zao zilipo ili wadau wapate mahali pa kuanzia.
Migogoro ya kazi ikishindikana kusuluhishwa mahala pa kazi, hupelekwa kwenye Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA). Ofisi zao ziko kila mkoa wa tanzania bara. Kwa kuwa siishi Dar, kwa hapo Dar ofisi zao sijui zinapatikana wapi, ila ukiuliza wenyeji watakuelekeza
 
Ukisema waliofaulu mwaka 1998 na mitihani kufutwa then wote walifaulu tena mwaka uliofata si kweli..kwanza mitihani ya NECTA huwa ni tofauti kila mwaka then unaweza kupita mwaka huu ila mwaka ujao ukipewa mtihani mwingine utashangaa matokeo..then mfano wa mtihani na Ajira ni tofauti kidogo..Ajira wakati mwingine ni bahati ya mtu..si kweli kila aliyeitwa kwenye usaili uliopita anaweza kuitwa tena hali kadhalika kupata kazi..hivyo kudai haki yako kwenye hili la uhamiaji ni sawa mana kwanza ni kweli ulifaulu na ulikuwa na haki kwani usipewe haki yako eti kisa kuna walioharibu mchakato..NI SAWA NA KUWAADHIBU WATOTO WAKO WOTE KWA KOSA LA MTOTO MMOJA..WAKUU NENDENI MKADAI HAKI YENU MKIKAA KIMYA HAKUNA ATAKAYEWASAIDIA

Wahusika kibao hawajapata taarifa kuhusu kinachoendelea.
 
Badala ya kuandamana,nendeni Tume ya Usuluhishi mkafungue shauri la kusimamishwa kazi haswa kwa kuegemea kifungu cha 9(b) cha Sheria ya Kazi na Mahusiano kazini ya mwaka 2004

Ha ha ha ha kwani wamesimamishwa kazi hao?unachotakiwa kujua nI kua huo ulikua usaili tu ambao hata afya ulikua bado kuchekiwa na bado mafunzo ya kijeshi ya mwaka mzima ambayo nako huko watu huwa wanafukuzwa....uhakika kua umeajiri ni pale utakapo kua umemaliza mafunzo na kusaini mkataba wa ajira.
 
Wadau tunazidi kupokea simu mbalimbali kutoka kwa wadau ambao ni wahanga wa suala hili..naomba muendelee kutupa mawazo yenu..kesho pia tutakutana na wadau wengine kujadili kwa kina kuhusu suala hili..Hakika nimeumia sana kuhusu malalamiko ya wadau wengine..kumbe wengine waliacha kazi baada ya kupata nafasi na sasa kutokana na ukata na hali ngumu ya maisha wameamua kurudi vijijini kutokana mjini hali kuanza kuwa tete..jamani nawaomba msikate tamaa katika hili
 
...yaliyotokea SOWETO huko AFRIKA Kusini yanaweza kutokea na hapa PIA hiyo KESHO..
 
Hivi twende mbele turudi nyuma..uamuzi huu ulizingatia haki zipi za mtu mmoja mmoja..mbona ripoti haikuanisha taarifa zake vizuri kwa uwazi kama kweli walibaini upendeleo..hakuna anayelazimisha kuajiriwa ila kwani wangeanisha upendeleo kwa wahusika wangemaliza hizi sintofahamu..kila mtu ana haki ya kuoneshwa file zake na kupewa sababu kwanini alifutwa wakati alikuwa na sifa..kwani ukimuonesha mtu sababu na kweli akajua undani wake si atakubali..na ni kwann basi wasingewatoa wale wote ambao hawakuwa na sifa maana hawa ndio baadhi ya wale waliopendelewa..
 
Back
Top Bottom