ERICK YUSTO
JF-Expert Member
- Jul 19, 2012
- 207
- 51
Mkuu ungetoa maelekezo ya kina kuhusu tume ya usuluhishi..Na pia ungetoa ufafanuzi na direction ya ofisi zao zilipo ili wadau wapate mahali pa kuanzia.
Badala ya kuandamana,nendeni Tume ya Usuluhishi mkafungue shauri la kusimamishwa kazi haswa kwa kuegemea kifungu cha 9(b) cha Sheria ya Kazi na Mahusiano kazini ya mwaka 2004
USISEME HAIWEZEKANI WAKATI HUJAJARIBU...USISEME UMENYIMWA WAKATI HUJAOMBA..PENYE NIA PANA NJIA...napenda kutoa ushauri wangu kwa wadau wote mnaotaka kwenda kudai haki yenu..Ni kweli mna sababu zote za msingi kutokana na ripoti ya tume kuwa ya kutokuridhisha..mimi binafsi sikuwahi kuwaza kama majibu yanaweza kuwa hivyo..kama ni ishu ya upendeleo hoja ni je wote walipendelewa..mbona kamati imefanya general na sio specific conclusion..natoa mapendekezo yafuatayo..1.Msiandamane mana mna dai nafasi ya kuingia jeshi la uhamiaji hivyo tayari mtakuwa mmekiuka taratibu za kiuaksari na mtaonekana hajui sheria hivyo mnaweza kupoteza haki kwa njia unayoidai hiyo haki..2..Tafuteni mwanasheria(wakili awaandalie barua ya madai yenu iyakayoeleza kutokiridhika na ripoti ya tume..huyu atakuwa muakilishi wenu..3.tafuteni muandishi wa habari atakaye publish hii habari ili iwashtuw na wengine..na mwisho ni kwamba fanyeni hili jambo haraka iwezekanavyo kabla nafasi hazijatangazwa upya ili mpate considaration mapema...NB.HAKUNA ALIYEWAHI KUSHINDANA NA HAKI AKASHINDWA..YEYOTE ALIYEWADHULUMU WENGINE HAKI YAO ALISHINDWA..
nafikiri hili liangaliwe..USISEME HAIWEZEKANI WAKATI HUJAJARIBU...USISEME UMENYIMWA WAKATI HUJAOMBA..PENYE NIA PANA NJIA...napenda kutoa ushauri wangu kwa wadau wote mnaotaka kwenda kudai haki yenu..Ni kweli mna sababu zote za msingi kutokana na ripoti ya tume kuwa ya kutokuridhisha..mimi binafsi sikuwahi kuwaza kama majibu yanaweza kuwa hivyo..kama ni ishu ya upendeleo hoja ni je wote walipendelewa..mbona kamati imefanya general na sio specific conclusion..natoa mapendekezo yafuatayo..1.Msiandamane mana mna dai nafasi ya kuingia jeshi la uhamiaji hivyo tayari mtakuwa mmekiuka taratibu za kiuaksari na mtaonekana hajui sheria hivyo mnaweza kupoteza haki kwa njia unayoidai hiyo haki..2..Tafuteni mwanasheria(wakili awaandalie barua ya madai yenu iyakayoeleza kutokiridhika na ripoti ya tume..huyu atakuwa muakilishi wenu..3.tafuteni muandishi wa habari atakaye publish hii habari ili iwashtuw na wengine..na mwisho ni kwamba fanyeni hili jambo haraka iwezekanavyo kabla nafasi hazijatangazwa upya ili mpate considaration mapema...NB.HAKUNA ALIYEWAHI KUSHINDANA NA HAKI AKASHINDWA..YEYOTE ALIYEWADHULUMU WENGINE HAKI YAO ALISHINDWA..
Kama wewe ni kunguru basi acha kina mwewe wafanye yao!Mna hamu ya kupigwa nyie.
Chadema wameshindwa kuandamana nyie ndo muandamane,
Wanafunzi hawajapewa hela zao hawajaandamana wewe ndo uandamane.
Kama umekosa kazi umekosa tu
Mimi nadhani kabla ya kuandamana mkae chini muanze kutuma muwakilishi, ikishindikana fuateni taratibu za maandamano ya amani. Nawatakia kila la kheri
Hii nchi haitambui haki ya MTU mmoja mmoja, kwan inashindikana kuchomoa alokosea na kumweka anaestahil? wameona kuna watu wanaalama za Juu walshndwa kuwaweka kwa kua wanavigezo! Kurudia mchakato ni kutumia fedha vibaya ambazo zingeweza kufanya vitu vya maendeleo! Me nipo pamoja na wote mlopata kwa haki ila tusiandamane bal tuwasilishe malalamiko yetu kwa maandish na kusainiwa na kila anayehc anahaki, pia hii is hu ipelekwe kwenye vyombo vya habari, niliumia sana niliposoma kwenye baadh ya magazeti kuwa nimefukuzwa Kazi balaa gan hil Kazi ya kwanza kabla cjarport nimeshafukuzwa kwa kosa la tabaka fulani. jamani MNYONGE MNYONGENI ILA HAKI YAKE MPENI ( Tupo pamoja wapendwa)