Ukiitisha maandamano ya wana JF, trust me utajikuta wewe, Invisible, Zitto, Slaa, Mbowe, Mkumbo, Mnyika, Kahangwa, Mrema, Lipumba, Seif, Halisi, Mpita Njia, Uwiano Maalum na wengine wachache.
Afadhali uite maandamo ya wananchi wote; kama ni ya wanaJF pekee hiyo haitatimia, hata tukibeba mawili mawili, kuna baadhi ya mabango yatakakosa wabebaji.
Samahani kwa niliowataja hapa, kwani nimewataja kwa mfano tu; hawajanipa idhini wala ishara kwamba wataandamana.
Aliyeko tayari kuandamana ajitaje, na orodha apewe bwana Kaniki, aiweke kwenye post yake ya kwanza, then maandamano yaandaliwe.