Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Mbona leo unakwenda kinyume nyume?
Nafikiri weye ndio umebehave hivi hapa!
Hapa JF wazo likianikwa, linachangiwa kutokea kona mbalimbali.
Walioko kinyume na mada hawalazishwi kukaa kimya.Hata kuonyesha tofauti ya mawazo ni mawazo.
Cha msingi acha tuipeleke mada vyovyote, kwani kuna wanaotuelewa.
Tukiendeleza kubishana, tutapoteza lengo la uwanja huu.
Hakuna mtu anakataza kuijadili hoja kwa mtazamo hasi, lakini kama unaweza kufanya hivyo basi utoe hoja za msingi za kukisupport unachokisema.....! Kwa mfano,hao wanaompinga JK wanasababu zao....sasa na wewe kama unamuunga mkono basi toa sababu za kufanya hivyo ili na wengine waweze kupima na kuamua either kumpinga au kumuunga mkono muungwana!