Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 56
Sitetei kitu hapa na unanishangaza unaposema natetea..ndio maana nimekuuliza natetea yepi..huenda umenifananisha.
Nilichosema ni kuwa mdau ametoa hoja zake kuhusu maandamano ya watu wasoridhishwa na utawala ..na wewe ukarukia kuanza kuleta mambo ambayo ni out of context..
That's why I told you hujui unachokitetea na bado pia hujui unachokiongea.
Haya endelea sido i'm not here kufanya hizi cheap arguments
Kwaheriii