Maandamano Iran katika picha!!

Mwandishi wa habari wa Channel 13 wa Israeli Moriah Asraf:

"Tahadhari kubwa usiku wa leo nchini Israeli kufuatia picha kutoka Iran na vitisho kutoka kwa Rais Trump".

##

Israeli inachukua vitisho kwa uzito na imefungwa na kubeba mizigo 100 na iko tayari kujitetea/kushambulia inapohitajika. Ikiwa Utawala wa Kiislamu utafanya uamuzi wa kushambulia - nina uhakika tutajua vizuri kabla halijatokea na kujizuia.
Usiku mchana unashabikia mashoga wenzako wa kiyahudi . Labda biblia yako ya Queen James Version ndivyo ilivyoandika .
safari hii mtanyooshwa tu Ayatollah lazima afe au akimbie nchi Wananchi hawataki!!!
 
Pahlavi Mwana Mfalme: “Jamhuri ya Kiislamu inakabiliwa na uhaba mkubwa wa mamluki wa kukabiliana na mamilioni ya watu mitaani." Waliagiza magaidi kutoka Iraq wameshindwa wameanza tena watu kutoka nchi Jirani nao lazima tu washindwe.

Wananchi wa Iran msivunjike mioto dunia nzima iko upande wenu Hakka mtashinda!!!!
 

Attachments

  • 9020905546286456776.mp4
    3.6 MB
Hii ndiyo itakuwa Bendera mpya ya Taifa la Iran!!!!!
 

Attachments

  • IMG_4774.jpeg
    238.8 KB · Views: 4
Hulali unashabikia mashoga, angalia wanaanza kujinyia surualini

Your browser is not able to display this video.
 
Scenario hiyo hiyo ya Ayatolah ihamishie hapa nyumbani Tz kwa samuya, je kama kweli anapendwa na kukubalika kwann wananchi wakubali kuandamana?!.
Whether wananchi wawe wamelipwa au kushawishiwa maana yake bado kuna tatizo kubwa!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…