Maandamano barabara ya Kawawa

Maandamano barabara ya Kawawa

Hayo maneno bila shaka yametoka kwenye Quran....vice versa yake soma Biblia.....(Nitamlaani atakaye kulaani na nitambariki atakaye Kubariki)

Kitabu chetu cha biblia hakina tofauti na gazeti la sani... lina hamasisha ngono...lakini ndio dini yetu mkuu haleluyaaaaaaaaaa
 
Shalommmm
 

Attachments

  • 1406302282582.jpg
    1406302282582.jpg
    30.6 KB · Views: 141
Wangekua na akili wangeandamana kupinga kitendo cha hamas kuwateka na hatimaye kuua wale watoto watatu wa kiisraeli hayo mauwaji yote yasingetokea. Ni majuha tu hao. Keep it up israel! Ur the eyes of God!
mbona hawaandamani makanisa yanapochomwa na maPadri kuuliwa?
 
Taifa teule! Huyo Mungu alieliteuwa ni kituko kwi, yani unyama ule anaowafanyia binadamu ni amri ya Mungu! Huyo Mungu lazima atakuwa hana akili.

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk

Mtume Muhamad aliua waisrael 900 kwa siku kwa kuwakata vichwa! Wao hawajafikia na siku ni 18 !! Huyu Allah huyu
 
Mtume Muhamad aliua waisrael 900 kwa siku kwa kuwakata vichwa! Wao hawajafikia na siku ni 18 !! Huyu Allah huyu
Nimesema hivi huyo Mungu anaebariki ushenzi huu lazima atakuwa anvuta bange.

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
 
mungu yupi tena? umesahau ndo walimpiga huyo mungu wako kama kibaka wa manzese na kumvalisha boxer?
Ni Warumi ndio walimuua Yesu na wala sio Wayahudi.. Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza..
 
Mimi nawachukia israel sababu walimtandika mungu wetu kama kibaka halafu naskia wakamla NDOGO kitu ntaa... waisrael wana laanaaa halafu badae wakamtundika mungu wetu mtini kama popo....

Ubora wa dini ni kile kitokacho kwa waamini wake, mti hujulikana kwa matunda yake, hivyo na wewe ni tunda la dini mbovu, malezi mabovu, familia mbovu, wewe hushindwi hata kumzini mwanao wa kumzaa, kwa jinsi unavyosomeka hapo
 
kwani wanapigana au wamevamiwa mi xjaelewa maana kama ni wanapigana wote kuna upande umelemewa kama wsnapigwa bila sababu hilo tatzohua siungi mkono vita yoyote ila napenda amani anaejua anieleweshe
 
Ubora wa dini ni kile kitokacho kwa waamini wake, mti hujulikana kwa matunda yake, hivyo na wewe ni tunda la dini mbovu, malezi mabovu, familia mbovu, wewe hushindwi hata kumzini mwanao wa kumzaa, kwa jinsi unavyosomeka hapo

Lakini Siwashindi wachungaji manake wao kutwa wanakugeuzeni nyuma
 
mungu yupi tena? umesahau ndo walimpiga huyo mungu wako kama kibaka wa manzese na kumvalisha boxer?

nguvu;
Unachangia ukiwa usingizini au? Israeli walimpiga mungu yupi huyo?? Mbona sikuelewi? Nimesoma vitabu viingi sana vya mambo ya dini ila sijakisoma kitabu chochote, narudia, chochote kisemacho kuwa Israeli waliwahi kumpiga mungu awaye yote.
Kuhusu hao Wapalestina; Uwe mkweli tu. Mashambulizi wameanza wao, wakijidai na mizinga na makombora yao wanayopewa bure. Waache wachapwe tuu (wapigwe tuu). Huenda wakajua kuwa uchokozi si mzuri.
Pia mbona hukemei hao maaskari (wanamgambo) wanaotumia ( Mashule/makazi) raia kama ngao ya kuwashambulia Israeli? Wanaporusha hayo maroketi kwenda huko Israeli, wanalenga kambi za jeshi au makazi ya raia wasio na hatia?? Jamani, siungi mkono vita yeyote lakini sintamtetea kichaa anayeanzisha vita. Wapigwe tuuu
 
Ham aliwazaa wote weusi wenywe nywele kipilipili yaani waafrika.Japhet alizaa wote wenywe sura ndefu walio na macho madogo yaani wazungu. Shem Aliwazaa wote walio wazuri Wa nyuso na nywele za kuvutia, yaani waarabu. Nuhu aliomba uzao Wa Ham Uwe na nywele fupi ili zisifunike masikio,na popote pale (mfano msikitini) weusi wakikutana na waarabu basi waarabu wawatawale weusi. Tabari 11:21
 
kama mtumwa mweusi akiomba chochote atanyimwa,na akiomba Rehema za kuingia peponi hatapewa. ~Bukhari:V4B52N137
 
sasa ata mkijifanya waislam , msikitini waarabu wanawachukulia ni vijakazi wao tu. ndo maana sheikh Wa kiarabu anaheshimiwa kuliko wa kibongo.
 
Machungu gani wakati kupigwa kwake tumepona. Tazama matasa wanapata watoto, vipofu wapata kuona, dhambi zinaoshwa, mapepo na vibwengo vinasepa bila ya kuaga, matumaini na amani vinatawala, na mbinguni tunakwenda
Chezea Yesu wa Mslabani wewe hawa hawajui ni lazima Yesu apigwe atemewe mate atukanwe na kila aina ya dhihaka kwaajili yetu yaani huo ndio ushindi wetu and we are so proud of it Oooh! Hallelujah!
 
ndo ivo, na haya hizi ndizo ziwafanya waarabu kuja afrika na kufanya utumwa, waliwaacha wakifa kwa kiu na maji,unaeza ona.
 
Back
Top Bottom