Maana ya hizi selection kwenye Jamiiforums.

Wick

JF-Expert Member
Dec 19, 2012
8,313
12,123
Heri ya mei mosi!
Leo nilikuwa nataka kumquote mtu flani kwenye comment yake, lakini nilishazoea kubonyeza sehemu ya Reply lakini nikajikuta nimebonyeza sehemu ya Quote ukatokea ujumbe huu;
MESSAGE ADDED TO MULTI-QUOTE (-quote)
IMG_20180501_105153_716.jpg

IMG_20180501_105242_709.jpg

Lakini hakuna kilichotokea nikarudia pabonyeza tena, pakaleta ujumbe huu;

MESSAGE REMOVED FROM MULTI-QUOTE (+quote)
IMG_20180501_105214_342.jpg

IMG_20180501_105312_021.jpg

Ikabidi nibonyeze Reply na nikaweza quote comment ya jamaa na kumjibu vizuri tu!.
Kwa nilivyoelewa ujumbe wa -quote ina maana nilimlimit asiweze kuwa quoted na mtu mwingine na ujumbe wa +quote niliruhusu na wengine waiquote comment yake.

Hebu watabe wa hii JF mnielekeze ninacho amini ndio hicho au nini maana ya hizo jumbe!.
 
mkuu assume uzi una comments 10 tofauti, halafu wewe unataka kuzi quote comments mbili kwa wakati mmoja basi uta quote ya kwanza kisha utaenda ku quote ya pili halafu ndio utareply. inamaana comment yako itakuwa inajibu comments mbili kwa mpigo.

kilichotokea kwako ulikuwa unamreply mtu halafu hujaclick send then ukaja sehemu nyengine uka quote tena hivyo sasa imekuwa multi quote.

mfano angalia hapa

hii ni quote ya comment ya kwanza inaelezea kuhusu xxxxxxxxxxxxxx

hii ni quote ya comment ya pili inaelezea kuhusu yyyyyyyyyyyyyyy

hii ni quote ya comment ya tatu inaelezea kuhusu zzzzzzzzzzzzz

hapo nime simulate jinsi multi quote inavyokuwa.
 
mkuu assume uzi una comments 10 tofauti, halafu wewe unataka kuzi quote comments mbili kwa wakati mmoja basi uta quote ya kwanza kisha utaenda ku quote ya pili halafu ndio utareply. inamaana comment yako itakuwa inajibu comments mbili kwa mpigo.

kilichotokea kwako ulikuwa unamreply mtu halafu hujaclick send then ukaja sehemu nyengine uka quote tena hivyo sasa imekuwa multi quote.

mfano angalia hapa
Hili jambo lilikua linaniumiza kichwa sana lakini hatimae leo nimepata ufuimbuzi






hapo nime simulate jinsi multi quote inavyokuwa.

Katika hili Chief umenipa Taa ya kutumia JF kama mzawa sasa maana nilikua nipo kama nmejiunga last year Bwnaaa:)
 
mkuu assume uzi una comments 10 tofauti, halafu wewe unataka kuzi quote comments mbili kwa wakati mmoja basi uta quote ya kwanza kisha utaenda ku quote ya pili halafu ndio utareply. inamaana comment yako itakuwa inajibu comments mbili kwa mpigo.

kilichotokea kwako ulikuwa unamreply mtu halafu hujaclick send then ukaja sehemu nyengine uka quote tena hivyo sasa imekuwa multi quote.

mfano angalia hapa







hapo nime simulate jinsi multi quote inavyokuwa.

Katika hili Chief umenipa Taa ya kutumia JF kama mzawa sasa maana nilikua nipo kama nmejiunga last year Bwnaaa:)
Kama hujaelewa basi dah
.
 
kilichotokea kwako ulikuwa unamreply mtu halafu hujaclick send then ukaja sehemu nyengine uka quote tena hivyo sasa imekuwa multi quote.
hapo nime simulate jinsi multi quote inavyokuwa.
Nashukuru chief kunifumbua matumizi yake.
 
mkuu assume uzi una comments 10 tofauti, halafu wewe unataka kuzi quote comments mbili kwa wakati mmoja basi uta quote ya kwanza kisha utaenda ku quote ya pili halafu ndio utareply. inamaana comment yako itakuwa inajibu comments mbili kwa mpigo.

kilichotokea kwako ulikuwa unamreply mtu halafu hujaclick send then ukaja sehemu nyengine uka quote tena hivyo sasa imekuwa multi quote.

mfano angalia hapa







hapo nime simulate jinsi multi quote inavyokuwa.
Katika hili Chief umenipa Taa ya kutumia JF kama mzawa sasa maana nilikua nipo kama nmejiunga last year Bwnaaa:)
Kumbe
 
Hapa nadhani somo limeeleweka kama yupo ambae hajaelewa Tuition Fee itaanza kutolewa:)
 
Back
Top Bottom