Mienendo yako na matendo yako itabakia
hatua za kujiua ua n nguvu inayotoka nje na kuanza kuharbu ndan pole pole mwshowe utimza adhma yakoKwa mara kadhaa nimekuwa nikikutana na picha au michoro mbalimbali ambayo wakati fulani ni vigumu sana kuelewa maana yake. Karibu na wewe uweke picha ambayo unadhani mpaka leo imekusumbua sana kuielewa au haujaielewa.
Wadau tusaidiane kutafuta maana...Mimi nitashare kadhaa kuanza na hii hapa View attachment 2030550
Maoni yangu:Hii ina maana gani?View attachment 2030552
Hapa ni kwamba hali ya dunia iko vibaya mno na inaelekea kuisha.
Kila moja anaweza kuwa ameielewa moja tofauti na mwenzake...Sio kwamba wote tunatafakari picha moja...wewe umeielewa hiyo ya sayari kuna wengine wamezielewa nyingine....na wengine watazielewa nyingine watusaidie maana.Sasa mjumbe kwa hali hii si tutabasti vichwa maana hatujatafakari hii unabandika nyingine
Hapo nimeipenda hiyo ya akina sayari wanamshuhudia mjumbe mwenzao akiwa taabani kitandani nao wasijue wanamsaidia vipi (na ndiyo niliyoielewa pekee)