Author
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 1,709
- 8,007
Kwa mara kadhaa nimekuwa nikikutana na picha au michoro mbalimbali ambayo wakati fulani ni vigumu sana kuelewa maana yake. Karibu na wewe uweke picha ambayo unadhani mpaka leo imekusumbua sana kuielewa au haujaielewa.
Wadau tusaidiane kutafuta maana...Mimi nitashare kadhaa kuanza na hii hapa
Wadau tusaidiane kutafuta maana...Mimi nitashare kadhaa kuanza na hii hapa