Maana Halisi ya neno 'Mkuu' ni ipi?

Maana Halisi ya neno 'Mkuu' ni ipi?

Mkuu wewe sio mkuu tuache wakuu tuendelee na ukuu wetu.
 
Tulikuwa na boss wetu fulani alikuwa mkuda na mpenda misifa watu hatupumuhi tukaamua kuwa tunamwiita MKUU anafurahi sana kumbe sisi tulimaanisha MKUUNDU!!So watu wote wanamwiita mkuu mkuu mkuu
Alivotambua hiyo kejeli muziki wake ulikuwa mwingine
So please bro ukiitwa mkuu tafakari sana km ni original mkuu au fake ya inyaa
 
M
wanajamii. forum wanapenda kutumia neno mkuu sijui ndo formula ya kuishi humu au....
... maana kila mtu ni mkuu.. hata mimi ninayeandika ninaitwa mkuu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mkuu kwan hoja yako ya msingi ni ipi? cjakuelewa mkuu
 
Hlo Jna Ambalo Unalopachikwa Na Wana Jamii Forum Baada Ya Kupost Thread .

Kwahyo N Xawa Na Mondi Anavyoitwa Simba Au Kiba Anavyoitwa King
 
Kwani wewe hili neno mkuu unalitafakali vipi? [emoji115][emoji115][emoji115][emoji4][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji192]
 
Jamani hili neno "MKUU" huwa linanifurahisha sana 😂😂😂😂😂😂 linapotumiwa na wana jf, mara kwa mara watu wakitoa comment au kuandika uzi lazima atupie neno mkuu, kwa kweli nilkitaka kujua hili neno nani kalianzisha wakuu. lakini pia linatakiwa tuliweke katika utaratibu wa kidiscipline kama tunavotumia shikamoo na salamu nyingine. neno mkuu ni neno tamu sana
 
[IMG alt="anti-negative energy"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/547/547110.jpg?1568969993[/IMG]

anti-negative energy
Member


Joined Apr 13, 2019

rep.png
52
point.png
9
Nilikuwa naangalia tarehe yako ya kujiunga na JF "Mkuu"
 
Jamani hili neno "MKUU" huwa linanifurahisha sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] linapotumiwa na wana jf, mara kwa mara watu wakitoa comment au kuandika uzi lazima atupie neno mkuu, kwa kweli nilkitaka kujua hili neno nani kalianzisha wakuu. lakini pia linatakiwa tuliweke katika utaratibu wa kidiscipline kama tunavotumia shikamoo na salamu nyingine. neno mkuu ni neno tamu sana
Mkuu humu hatufamiani kwahiyo hatuwezi kuchukuliana poa. Lazima heshima itamalaki mkuu.
 
Back
Top Bottom