Kachangamtoto
Member
- Dec 4, 2012
- 82
- 28
Clouds fm ndo walilipa sana promo, tupe maana halisiUnasema kwa dhati mkuu?Nilipanga kuanzisha thread kuhusu jinsi neno mubashara linavyotumika sivyo hapa jf, post yako inanihimiza kufanya hivyo haraka!
Clouds fm ndo walilipa sana promo, tupe maana halisiUnasema kwa dhati mkuu?Nilipanga kuanzisha thread kuhusu jinsi neno mubashara linavyotumika sivyo hapa jf, post yako inanihimiza kufanya hivyo haraka!
Usishangae mkuu,ni kawaida yetu kuitana hivyo.Menyewe nimeingia hum naona kila mtu mkuu jamani
Mkolomije sio zuri,,, litafanya adi vyeti vyetu halali vya ndoa viwe fekiKwa nini tusijiite mkolomije?? Neno mkuu nishalichokA.. Mee niite mkolomije
😂😂😂Mkuundugu yako