Ndiyo! Muite tu maana haikuwekei gundu!Kwa hiyo hata dada yangu nimuite mkuu?
You said it allHuku tunaitanaga Mkuu kama njia tu ya kuheshimiana na appreciation ya kila mmoja.
Pili,ile humjui huyu ni nani na wa umri gani inabidi tu umuite Mkuu kumpa heshima yake.
Ninjina ambalo linaweza kutumika kwa mdogo au mkubwa.
Tatu,huku ni kwa ma-Great thinkers na tunafanya mambo mazito hivyo kuitwa Mkuu ni cheo tu ya heshima.
Nadhani umenielewa kidogo mkuu!
Pili kuna uzi ulishaletwa huku zamani! Nikiuoata nutakutag uusome. Lakini moods wanaweza kuunganisha na wako!
NB; Mimi nimeelezea kwa muktadha wa humu ndani.
I have tried! Others may say more than I did.Y
You said it all
Ni heshima tu kiongozi.Naomba msaada magreat Thinker humu ndani....Hili neno linakuwa kasi ya ajabu hapa kwetu sehemu mbalimbali>Naomba mnisaidie nilitumie wapi,kwa watu aina gani na jinsia gani?
Mkuu...kwanini wewe usitusaidie neno lingine?Apa JF neno "mkuu" limekua likitumika kwa mda mrefu kama respect, vp wataalam wa lugha tupen neno lingine tutumie, ili tumelichoka
Kweli mkuu.....Mkuu...kwanini wewe usitusaidie neno lingine?