Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,011
- 31,798
Tutajie unalo taka litumike badala ya mkuu ndo tuliangalie kama litafaa
Mimi si mtalam wa lugha mkuuMkuu...kwanini wewe usitusaidie neno lingine?
Tukisubiri lije tunaeza chukua mda sana, tangia niijue JF hili lipo tu na halibadilikiManeno kwenye lugha yanakuja yenyewe tu kulingana na wakati...na mambo mengine.
Mkuu tusaidie lingine ambalo litatumika kwa jinsia zote piasababu moja ya kutumika hill neno ni watu wengi hawajupikani ni jinsia gani
Mkuu tusaidie lingine ambalo litatumika kwa jinsia zote pia
Sawa mkuusubiri kamati ikae wataleta lingine mkuu
TCRA watatutafta kwa ilo nenoOfficially tuanze kutumia neno Bashite
Mkuu ni kifupi cha lile tundu kila mtu analoHapa JF neno "mkuu" limekua likitumika kwa muda mrefu kama respect, vipi wataalam wa lugha tupeni neno lingine tutumie, hili tumelichoka.
[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]Mkuu ni kifupi cha lile tundu kila mtu analo
Unasema kwa dhati mkuu?Nilipanga kuanzisha thread kuhusu jinsi neno mubashara linavyotumika sivyo hapa jf, post yako inanihimiza kufanya hivyo haraka!Nazani ni muda sasa tutumie neno MUBASHARA [emoji289] [emoji14] [emoji288]
Walete wadau wa ligha watusaidieMkuu inabidi ukaliwe kitako na wazoefu wa lugha. Umeleta mjadala mzito sana