Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,399
- 40,295
ha ha ha jikubali bhana...We utakua mhaya kujisifia nn...alafu ukute una mbegu mbayaa
ha ha ha jikubali bhana...We utakua mhaya kujisifia nn...alafu ukute una mbegu mbayaa
Ni kweli kabisa.Kama ni mwanamke alie ajiriwa ni vyema mwanaume uwe msikivu kwa mwenzako pale anaposema mzae kwa mpango...koz wanawake wanapitia changamoto nyingi sana anapokua na watoto wengi huku pia kazi zinamsubiri, huwezi kumwambia mkeo akae nyumbani tu akuzalie kuna kesho unaeweza ukaondoka hapa duniani ukamuacha kwenye kipindi kigumu ...mwanaume muelewa ataelewa hili
Wanajf kuna jambo limenifanya niilete hii mada kwenu.
Kuna kaka alihitaji na alipendelea kuwa na watoto watatu, na walikubaliana na mkewe wawe na watoto watatu Mungu akiwajaalia.
Baada ya mkewe kujifungua mtoto wa pili akamwambia mumewe asingeweza kwenda leba tena(alijifungua kwa njia ya kawaida na hakukuwa na complications zozote).
Mume alihisi ni kwavile ametoka kujifungua ndio maana anasema hivyo, lakini baada ya miaka mi4 kupita bado msimamo wa mkewe ni uleule, amemwambia ikiwa ni lazima apate huyo mtoto wa tatu anamruhusu kwa roho safi tu akamtafute.
Naomba kuwauliza haswa wanandoa, maamuzi ya idadi ya watoto mnaohitaji kuwa nao huwa ni ya nani? And how if kila mmoja akawa na idadi yake ya watoto anaohitaji inayotofautiana na mwenzie?
Na wanawake utafanya nini ikiwa mumeo anahitaji idadi kubwa ya watoto tofauti na matakwa yako?
[/QUOTE
Niliwahi sikia yakuwa kipindi cha ujauzito mpaka kujifungua kina mama wanapitiaga mengi hivyo hatuwezijua kwann anagoma kuongeza huyo wa 3, na kibaya mtoa bandiko hajatwambia huyo Mrs anatoa sababu zipi ... Tungejua hizi sababu ingekuwa rahisi kushauri
🤣🤣🤣🤣🤣
Swali zuri.
ha ha ha jikubali bhana...
Mtuvumilie jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kumbe we unapenda sabbu ya sifa
Nlimuulize yule ni ngumu anaetaka tumsifie mke wake38+,3 children(1gl-10yrs,2b-5yrs-3b-0.6yrs);so experienced
Ilikuwa dhana za wazee wetu, walifyatua tu na ardhi ilikuwa na neema tele wakati huo.Ya wote wawili washauriane huku wakiangalia sana gharama za maisha na kipato chao. Ile dhana ya kila mtoto atakuja na riziki yake ni dhana ya jalalani kwani mtoto anapozaliwa haji na bulungutu lake.
ha ha ha ha tafuteni vifaa vikali muoe,msioe tu ili mradi ni ke....kuchagua kitu kizuri ni njia moja wapo ya kupata watoto wazuri pamoja nakushawishika zaidi katika kuongeza uzao.🤣🤣🤣🤣🤣
Unapotaka mke wako asifiwe ba watu unatupa mashaka na maturity yako
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Duuuh!!!
ha ha ha haNlimuulize yule ni ngumu anaetaka tumsifie mke wake
Unahisi ni kwanini mwanaume ndio anapaswa kupanga idadi aitakayo yeye?Mwanaume ndie anaepanga idadi ya watoto lakini pia sio mbaya kushauriana mana wote ni kitu kimoja ila kuna jambo moja la kifedha kama kipato chenu kina ruhusu sio mbaya unaweza kuzaa tu watoto wengi mana watoto wanaitaji matunzo na vingine vingi
Watoto wakiwa wazuri lazima uzidi kushawishika katika kuongeza uzaoIlikuwa dhana za wazee wetu, walifyatua tu na ardhi ilikuwa na neema tele wakati huo.
Kuna wanaume hawapo tayari kwa makubaliano, anachokitaka yeye ndio hicho hicho.
Apa kama vile umeweka mfumo dume haya mambo ni watu wawili sio mwanaume tu kumbuka we unatoa mbegu tuNi mwanamme ndio atapanga idadi ya watoto watakaopatikana, I mean there is no objection from the husband side if the wife need more and more kids. There will always be objections from the wife's side if a husband wants more and more kids, if you know what I mean!
You can't just tell me utazaa watoto watatu eti because unataka umaintain umbo lako, that's crap! Give me the acceptable reasons like health reasons.
I will get the number of kids I want with you, or without you! In my world, I make the money, i make the rule.......