Hili neno umelitoa kwenye hazina bora ya ubongo wako.Ni lazima wahanga wa suala hili wawaburuze mahakama kuu Spika na AG wakajibu kwanini wanawapora wapigakura kwenye majimbo husika haki yao ya kikatiba ya kuwakilishwa.
Hukumu ni sehemu ya common sense, Rutashubanyuma yupo sahihiUna hoja but you have a missed a point kwa kutoa conclusion.
Hoja yako umeinyima haki ya kudadavuliwa na wajuvi wa sheria na katiba kwa hoja yoyote inayokinzana na conclusion yako inaweza kuzua malumbano yasiyokuwa na tija.
BTW una nafasi ya kuirekebisha kwa kufanya editing ambayo itaifanya iwe hoja chokonozi badala ya hoja inayohukumu.
Haki ya wabunge kuhudhuria vikao na kuwawakilisha wananchi wa majimbo yao ni ya kikatiba na kanuni feki za Bunge zinazolipa Bunge mamlaka ya kuwasimamisha wabunge kutekeleza majukumu yao ya kikatiba zinakiuka katiba ambayo wabunge hawa waliapa kuilinda na kuitetea Katiba husika!
Bunge halipo juu ya katiba na ndiyo maana wabunge wote huapa kabla ya kuanza shughuli za Bunge ya kuwa wataitii katiba ambayo hakuna mahali ndani ya katiba hiyo wamepewa mamlaka ya kuwasimamisha wabunge na kuwapora wananchi wanaowawakilisha haki yao ya kikatiba ya uwakilishi.
Tusipokuwa waangalifu itafikia wakati Bunge linamsimamisha Mbunge kwa miaka mitano na kuwapora wananchi wa jimbo husika haki yao ya kikatiba ya kuwakilishwa kwa kipindi chote cha uwakilishi.
Adhabu za kikanuni za Bunge hazina mamlaka ya kupora wananchi haki zao za kikatiba kama kuwakilishwa.
Kama Mbunge kavunja kanuni Bunge linaweza kumpa faini ili aathirike Mbunge mwenyewe bila kuathiri haki ya kuwakilishwa ya wananchi wa jimbo lake.
Spika Job Ndugai kuwaadhibu askari walioheshimu haki za binadamu pia linatia aibu si kwake tu bali kwa Bunge zima na taifa kwa ujumla.
Haki ya wabunge kuhudhuria vikao na kuwawakilisha wananchi wa majimbo yao ni ya kikatiba na kanuni feki za Bunge zinazolipa Bunge mamlaka ya kuwasimamisha wabunge kutekeleza majukumu yao ya kikatiba zinakiuka katiba ambayo wabunge hawa waliapa kuilinda na kuitetea Katiba husika!
Bunge halipo juu ya katiba na ndiyo maana wabunge wote huapa kabla ya kuanza shughuli za Bunge ya kuwa wataitii katiba ambayo hakuna mahali ndani ya katiba hiyo wamepewa mamlaka ya kuwasimamisha wabunge na kuwapora wananchi wanaowawakilisha haki yao ya kikatiba ya uwakilishi.
Tusipokuwa waangalifu itafikia wakati Bunge linamsimamisha Mbunge kwa miaka mitano na kuwapora wananchi wa jimbo husika haki yao ya kikatiba ya kuwakilishwa kwa kipindi chote cha uwakilishi.
Adhabu za kikanuni za Bunge hazina mamlaka ya kupora wananchi haki zao za kikatiba kama kuwakilishwa.
Kama Mbunge kavunja kanuni Bunge linaweza kumpa faini ili aathirike Mbunge mwenyewe bila kuathiri haki ya kuwakilishwa ya wananchi wa jimbo lake.
Spika Job Ndugai kuwaadhibu askari walioheshimu haki za binadamu pia linatia aibu si kwake tu bali kwa Bunge zima na taifa kwa ujumla.
View attachment 520010View attachment 520011View attachment 520012
kanye urudi kitandani ulale mambo ya sheria na katiba yaache hujui kitu.
Kipengele cha kanuni za Bunge kilichovunja katiba ni kile kinachoipa Bunge mamlaka ya kuwasimamisha wabunge kuhudhuria vikao vya BungeTuwekee kipengele mahsusi cha katiba kilichovunjwa
Mwenzetu ambaye hunyi kitandani na kulalia kinyesi chako hebu nielemishe nipate shule ya nguvu hivi ni maeneo yapi ys sheria na kikatiba siyajui.kanye urudi kitandani ulale mambo ya sheria na katiba yaache hujui kitu.
Ninaafiki hoja. TLS kama kweli wako makini kama tambo zao zinavyotujuza basi waanze na hiliKwa hili Raisi wa TLS Mhe. Lissu chama chenu kisipoonyesha njia basi acheni zile mbembwe zingine baada ya hapa.
Hatutetei maovu lakini haki kwa wote ionekane imetendeka. Yaliyowakuwa Mnyika,Mdee na Bulaya ni defense yao ndiyo imegeuzwa kuwa Kosa.
Pili haki ya wapiga kura kuporwa haiko sawa Kikatiba. Kanuni ya Bunge iko kinyume na Katiba ya Nchi .
Adhabu kama kuwanyima Posho na marupurupu mengine ndiyo sahihi na si kuwakilisha waliowapeleka Bungeni.
Unapokuwa na wabunge kama Lusinde ambao kazi yao ni mipasho na vijembe unatarajia nini?Issue kubwa hapo ni kwamba CCM inajaribu kumficha KAlemani kwenye MAOVU ya mikataba na miswada mibovu kwa maana ndiyo sababu ya kuwepo kwake.
Kama kweli CCM wangekuwa wazalendo wasingepigia makelele makombo wakati wageni wanachukua chakula chote,halafu tunakuwa kama mazuzu kupigia makofi RAIS anayetaka tujadili makombo ya madini.Aibu kwa TAIFA masikini kama letu kupigia makofi ati RAIS ana uchungu sana kuona tunanyimwa asilimia kubw akwenye makombo ya chakula.Upumbavu wa hali ya juu kabisa wa hili bunge letu
Wako humu ndani ccm mercenaries ambao kazi yao ni kubeza ukweliNenda ukapigie makofi Makombo kule bungeni.Badala ya kuhoji haki za msingi za madini yetu MINARA/MICHE ya dhahabu uanpiga kelele kwenye makombo aibu jingalao,toka huko hatuhitaji makombo watanzania,madini mali yetu tunatakiwa tupigie kelele MICHE ya dhahabu.
Ndo hapo!Unamzungumzia mtukanaji mkuu Lusinde?
Unapokuwa na wabunge kama Lusinde ambao kazi yao ni mipasho na vijembe unatarajia nini?
Kwa kuongozwa na katiba na sheria zipi? Kuhoji mikataba na sheria fedhuli siyo ulevi wa bangi bali ni uzalendoKuwafungia wabunge watumiaji madawa ya kulevya si kosa, sema tu aliwaonea huruma maana ilibidi awahukumu wanyongwe ili kuwa fundisho kwa wabunge wengine. Madawa ya kulevya si peremende.
Hakuna mahali katiba imetaja neno KANUNI, pili sheria au kanuni yoyote inayopingana na Katiba ni batili.Bahati nzuri katiba inatambua kwamba kuna kanuni na sheria nyingine ndio maana huwa inasema "BILA KUATHIRI KANUNI NA SHERIA ZINGINE ZA NCHI" Kwa maana hiyo hakuna katiba iliyokiukwa.
Hili neno umelitoa kwenye hazina bora ya ubongo wako.
Asante mtanzania.
Huko mahakamani waombe sasa waruhusiwe kuingia bungeni kuzikabili hoja zinazowahusu jimboni kwao moja kwa moja.