Sisi ndugu zetu ni zenji sio nyieKama jibu ni ndio
Ukivuka na kufika kisiwani unguja au pemba
Utaitwa mbara na kichogo
Haijalishi imetoka ukanda wa pwani, Tanga, Pwani, Lindi au Mtwara.
Sisi na nani, hivi umwambie msambaa wa korogwe atakuelewa?Sisi ndugu zetu ni zenji sio nyie
Ulimueleza lakini kuwa yeye muafrika akifa hapati nafasi ya kuwa bikra kati ya mabikra72 yeye atakuwa mjakazi peponNilimweleza kila kitu kuhusu ukristo na ulislamu
😀😀😀mwanamke hana dini we binti, tukiwaoa lazima mfuate kile mwanaume anachoaminiMimi nilikua mkatoliki nikabadili kuwa muislamu kwa sababu ya ndoa..... ndani ya Moyo wangu naamini dini ya kweli ni kuwa na Moyo safi moyo wa upendo na kujitahidi kutenda yaliyo mema.
Kubeba biblia kubwa jumapili au kufunika mwili mzima wakati una roho mbaya, hapo hamna dini.
Naamini kanisa moja takatifu la mitume.
Sisi hatuna makabila wala sala,mu hatujuiSisi na nani, hivi umwambie msambaa wa korogwe atakuelewa?
Acha kujilisha upepo.
Kama ndugu zenu nenda ukamiliki ardhi na upate tiba sawa na mzanzibari.
Jitu likiwa jinga
Bro.....😀😀😀mwanamke hana dini we binti, tukiwaoa lazima mfuate kile mwanaume anachoamini
Hizi ni chenga za Messi mkuu!!Wasomi hawapo km wewe eti mm msomi we ni zezeta na hujitambui
mtu msomi hawezi kusema duniani Kuna dini mbili, duniani Kuna dini zaidi ya milion moja
tatizowe ni lijinga na hujitambui
Sijawahi kuona mwafrika mweusi tii wa namtumbo, buza, nangurukuru, ilongero, machame, buhigwe, kiabakari eti ni budha, shinto, mhindu ila naona wakristo na waislam. Ina maana waafrika hawaamini dini hizo?
Unaposema Kila kitu unamaana ipi?Nilimweleza kila kitu kuhusu ukristo na ulislamu
Labda abadhan yeye akiwa muislam atakuwa mtu special so anapigania kutambulika dini yake mpyaHizi ni chenga za Messi mkuu!!
Mimi ni mtu Kutoka pwani na tuna Makabila.Sisi hatuna makabila wala sala,mu hatujui
pwani ipi , unajua mkoa wa Tanga tu una pwani na upande wa kaskazini ? wanaotokea kuanzia muheza sio watu wa pwani hata lafudhi ni tofauti , unalijua hilo ? Mkoa wa Tanga sehemu kama korogwe kuendelea wako tofauti na Tanga mjini ,wao ni northerners sio wacoasts unajua hilo ?Mimi ni mtu Kutoka pwani na tuna Makabila.
Ninyi mnaojilisha upepo ndio huwa mnasema hamna Makabila.
Kama hakuna Makabila kule Uarabuni basi sawa ila pashtuns sio kabila.
Asili ni ujasiriMimi baba yangu ni mkristo
, binafsi nimekulia kwenye dini ya ukristo, hasa Lutheran na katoliki
Mama yangu ni msomali mwenye asili ya kipalestina , kabadili dini na kuwa Mkristo.
Binti yangu alipenda ajue dini zote, kwasababu mimi ni msomi na mchunguzi nilimweleza dini mbili kinaga ubaga bila kubagua bila kubagaa, ili achague ila akachauga uislamu , watu wa dini tiririkeni halafu mbaya zaidi mimi ni mkriso halali kabisa 😜
Kwa hiyo mchaga aliyezaliwa mtwara, anakuwa mmakonde, mkinga aliye zaliwa Tanga ,anakuwa mpwani?pwani ipi , unajua mkoa wa Tanga tu una pwani na upande wa kaskazini ? wanaotokea kuanzia muheza sio watu wa pwani hata lafudhi ni tofauti , unalijua hilo ? Mkoa wa Tanga sehemu kama korogwe kuendelea wako tofauti na Tanga mjini ,wao ni northerners sio wacoasts unajua hilo ?
Mimi ni mcoast kwa vile nimezaliwa Tanga mjini , na kukulia hapo . Watu wa bara wanapotutukana basi wanatukana wa pwani wa Tanga mpaka zanzibar , ina maana sisi na wazanzibar ni victims wa ubaguzi wa bara . sijawahi kuona mzenji akitutkana sisi , umeelewa . wabara wakiamua kutukana watu wa pwani basi hutkana wote kama kitu kimoja , kwa hiyo maumivu yetu ya wacoast tunayapata pamaja ..Ndugu zangu ni wazanzibar, na wacoasta wala sio wabara .. Tuna muingilian sana wala hamna shida.