Maamuzi ya atheists

Maamuzi ya atheists

Sijawahi kuona mwafrika mweusi tii wa namtumbo, buza, nangurukuru, ilongero, machame, buhigwe, kiabakari eti ni budha, shinto, mhindu ila naona wakristo na waislam. Ina maana waafrika hawaamini dini hizo?
 
Mimi nilikua mkatoliki nikabadili kuwa muislamu kwa sababu ya ndoa..... ndani ya Moyo wangu naamini dini ya kweli ni kuwa na Moyo safi moyo wa upendo na kujitahidi kutenda yaliyo mema.

Kubeba biblia kubwa jumapili au kufunika mwili mzima wakati una roho mbaya, hapo hamna dini.

Naamini kanisa moja takatifu la mitume.
😀😀😀mwanamke hana dini we binti, tukiwaoa lazima mfuate kile mwanaume anachoamini
 
Sisi na nani, hivi umwambie msambaa wa korogwe atakuelewa?

Acha kujilisha upepo.
Kama ndugu zenu nenda ukamiliki ardhi na upate tiba sawa na mzanzibari.
Jitu likiwa jinga
Sisi hatuna makabila wala sala,mu hatujui
 
Wasomi hawapo km wewe eti mm msomi we ni zezeta na hujitambui

mtu msomi hawezi kusema duniani Kuna dini mbili, duniani Kuna dini zaidi ya milion moja


tatizowe ni lijinga na hujitambui
 
Sijawahi kuona mwafrika mweusi tii wa namtumbo, buza, nangurukuru, ilongero, machame, buhigwe, kiabakari eti ni budha, shinto, mhindu ila naona wakristo na waislam. Ina maana waafrika hawaamini dini hizo?

Nipo mkuu,Mimi ni mfuasi wa Sidharta Gautama ( Buddha),niliamua hivyo kwasababu dini hii hufanana kabisa miiko yake na zile za mababu zetu wa kiafrika.
 
Sisi hatuna makabila wala sala,mu hatujui
Mimi ni mtu Kutoka pwani na tuna Makabila.

Ninyi mnaojilisha upepo ndio huwa mnasema hamna Makabila.
Kama hakuna Makabila kule Uarabuni basi sawa ila pashtuns sio kabila.
 
Mimi ni mtu Kutoka pwani na tuna Makabila.

Ninyi mnaojilisha upepo ndio huwa mnasema hamna Makabila.
Kama hakuna Makabila kule Uarabuni basi sawa ila pashtuns sio kabila.
pwani ipi , unajua mkoa wa Tanga tu una pwani na upande wa kaskazini ? wanaotokea kuanzia muheza sio watu wa pwani hata lafudhi ni tofauti , unalijua hilo ? Mkoa wa Tanga sehemu kama korogwe kuendelea wako tofauti na Tanga mjini ,wao ni northerners sio wacoasts unajua hilo ?

Mimi ni mcoast kwa vile nimezaliwa Tanga mjini , na kukulia hapo . Watu wa bara wanapotutukana basi wanatukana wa pwani wa Tanga mpaka zanzibar , ina maana sisi na wazanzibar ni victims wa ubaguzi wa bara . sijawahi kuona mzenji akitutkana sisi , umeelewa . wabara wakiamua kutukana watu wa pwani basi hutkana wote kama kitu kimoja , kwa hiyo maumivu yetu ya wacoast tunayapata pamaja ..Ndugu zangu ni wazanzibar, na wacoasta wala sio wabara .. Tuna muingilian sana wala hamna shida.
 
Mimi baba yangu ni mkristo
, binafsi nimekulia kwenye dini ya ukristo, hasa Lutheran na katoliki

Mama yangu ni msomali mwenye asili ya kipalestina , kabadili dini na kuwa Mkristo.

Binti yangu alipenda ajue dini zote, kwasababu mimi ni msomi na mchunguzi nilimweleza dini mbili kinaga ubaga bila kubagua bila kubagaa, ili achague ila akachauga uislamu , watu wa dini tiririkeni halafu mbaya zaidi mimi ni mkriso halali kabisa 😜
Asili ni ujasiri
Muafrika hatengenezi chochote
Kila Kitu anamtegemea mzungu
Hadi Mungu na Shetani ameletewa kutoka uzunguni na uarabuni.
 
pwani ipi , unajua mkoa wa Tanga tu una pwani na upande wa kaskazini ? wanaotokea kuanzia muheza sio watu wa pwani hata lafudhi ni tofauti , unalijua hilo ? Mkoa wa Tanga sehemu kama korogwe kuendelea wako tofauti na Tanga mjini ,wao ni northerners sio wacoasts unajua hilo ?

Mimi ni mcoast kwa vile nimezaliwa Tanga mjini , na kukulia hapo . Watu wa bara wanapotutukana basi wanatukana wa pwani wa Tanga mpaka zanzibar , ina maana sisi na wazanzibar ni victims wa ubaguzi wa bara . sijawahi kuona mzenji akitutkana sisi , umeelewa . wabara wakiamua kutukana watu wa pwani basi hutkana wote kama kitu kimoja , kwa hiyo maumivu yetu ya wacoast tunayapata pamaja ..Ndugu zangu ni wazanzibar, na wacoasta wala sio wabara .. Tuna muingilian sana wala hamna shida.
Kwa hiyo mchaga aliyezaliwa mtwara, anakuwa mmakonde, mkinga aliye zaliwa Tanga ,anakuwa mpwani?

Kuzaliwa sio issue, ndio maana wabaniani wamezaliwa kariakoo lakini sio wazaramo, wakwele, wanyagatwa, wanyangalio, warufiji Wala wandengereko 😁😁😁.

Kwa hiyo pwani Bagamoyo sio?
Kisiju pwani sio?
Pemba mnazi na Buyuni sio?
Nyamisati na Nyanjati sio?
Kilwa?
Lindi sio?
Mikindani sio?

Huwezi kuwa mbeya, Shinyanga au Rukwa ukabaguliwa kisa unatokea ukanda wa pwani.
Ila utaitwa kichogo na mbara hata kama unatokea Mafia ukiemda kisiwa Unguja na Pemba.
 
Mkuu kwa mtazamo wangu umekosea, imani huendelezwa kizazi hata kizazi, imani hurithishwa kizazi kimoja mpaka kingine, na hakuna binadamu anaishi bila kuamini chochote, hivyo ulipaswa kumueleza imani yako watoto wanaamini kupitia imani za wazazi wao, ni mtazamo wangu tu lakini
 
Back
Top Bottom