Malaika Gabrieli
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 3,518
- 6,578
Dini ya kikristo na uislamu chimbuko lake ni uyahudi.
Mama yako mvaa vimini ,unamuonaje..sipendi shobo na wanuka midomo wa bara .Ndio maana watu wakimpopoa mawe yule mvaa ushungi unajawa na povu kwa sababu ni kobasi mwenzako
Swali zuriUlimpa mwanao sababu kwanini haufati hizi dini ?
Bado ana akili za kitoto tu, hawezi kuchambua mambo ya dini na uongo wake mwingi. Watoto walitakiwa wafundishwe Sayansi tu, mambo ya dini yawekwe mbali nao.Katoto kangu kana akili kuliko nyumbu wengi humu kwanini nisi kasikilize?
Na ndio Maana kuna uhuru wa kuabudu.For sure mimi nimesoma Qur an za kiswahili then nikasoma ya kiarabu , kuhusu dini mimi nimechagua kuishi kama Muislamu
. Kiufupi ,maisha ya kiislamu nayapenda zaidi yake kwa sababu ni ule usawa
Mbaga Jr ana mabinti wazur sema wako wanaogelea ogelea tu huko. Dah.Nimejizaa , kwa binti yangu tuanze nani ana binti yake anamzidi uzuri humu , kwa sababu kuhusu pesa kashawafukia
Duh! Ana miaka mingapi?Nimejizaa , kwa binti yangu tuanze nani ana binti yake anamzidi uzuri humu , kwa sababu kuhusu pesa kashawafukia
Hadithi yako inatufundisha nini tajiriMimi baba yangu ni mkristo
, binafsi nimekulia kwenye dini ya ukristo, hasa Lutheran na katoliki
Mama yangu ni msomali mwenye asili ya kipalestina , kabadili dini na kuwa Mkristo.
Binti yangu alipenda ajue dini zote, kwasababu mimi ni msomi na mchunguzi nilimweleza dini mbili kinaga ubaga bila kubagua bila kubagaa, ili achague ila akachauga uislamu , watu wa dini tiririkeni halafu mbaya zaidi mimi ni mkriso halali kabisa 😜
Eti miwili, ila watu🤦🏽♀️Duh! Ana miaka mingapi?
Atakuwa anazidi hapoEti miwili, ila watu🤦🏽♀️
HapanaAtakuwa anazidi hapo
Hakuna siku ya hukumu, siku ya hukumu ni siku za maisha yako hapa dunianiUpo sahihi, wengi wanaamini dini zao ni sahihi sababu kubwa ni kurithi kwa wazazi wao na kupata mafunzo toka utoto.
Siku ya hukumu kila mmoja atajitetea kivyake.
Yeah ,dunia ni kubwa so shika njia yako basi ...Na ndio Maana kuna uhuru wa kuabudu.
Kuna dini kubwa 7 na zote wamesoma vitabu vyao na wakayapenda na wakaona kuna usawa na wakachagua kuishi kwa dini hizo.
By the end of the day.
Mm nina amini hakuna aliyekosea wala kupatia. Ni mtindo tu wa maisha tumechagua. Nothing more.