Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 62,709
- 105,316
Japo wasioamini mungu hukubali tu kuitwa atheists (wasioamini mungu) ila kiuhalisia ni ujinga tu wa binadamu ndio ulipelekea kuwepo hili jina au hii lebo.
Jiulize kwa nini hakuna watu wenye lebo maalumu au wanaitwa wakataa/ wasioamini uchawi, wasioami spiderman, wasioamini uwepo wa sungura wanaoongea, wasioamini uwepo wa aliens, wasioamini uwepo wa paka wa bluu n.k ila wasioamini mungu wamepewa jina/ label maalumu kabisa wanaitwa "atheists".
Jiulize kwa nini hakuna watu wenye lebo maalumu au wanaitwa wakataa/ wasioamini uchawi, wasioami spiderman, wasioamini uwepo wa sungura wanaoongea, wasioamini uwepo wa aliens, wasioamini uwepo wa paka wa bluu n.k ila wasioamini mungu wamepewa jina/ label maalumu kabisa wanaitwa "atheists".