Tanganian
JF-Expert Member
- Jan 27, 2025
- 6,332
- 10,754
Bado hujajitambua , mambo ya asili ni zamani , kuna wachina ni wazanzibar wapo wazungu ni wachaga unajua hilo ? kwa mfano wewe umezaliwa Dar na kukulia Dar hata lugha yako ya kanyakyusa huijui , yaani wewe labda ni mtoto wa Sinza huko mpaka dili zako ni hapo , leo wakisemwa wanaume wa Dar basi wwe ni mmoja wako .Kwa hiyo mchaga aliyezaliwa mtwara, anakuwa mmakonde, mkinga aliye zaliwa Tanga ,anakuwa mpwani?
Kuzaliwa sio issue, ndio maana wabaniani wamezaliwa kariakoo lakini sio wazaramo, wakwele, wanyagatwa, wanyangalio, warufiji Wala wandengereko 😁😁😁.
Kwa hiyo pwani Bagamoyo sio?
Kisiju pwani sio?
Pemba mnazi na Buyuni sio?
Nyamisati na Nyanjati sio?
Kilwa?
Lindi sio?
Mikindani sio?
Huwezi kuwa mbeya, Shinyanga au Rukwa ukabaguliwa kisa unatokea ukanda wa pwani.
Ila utaitwa kichogo na mbara hata kama unatokea Mafia ukiemda kisiwa Unguja na Pemba.
Unaelewa msemo huu ''A mother tongue is not necessarily your mother's language'' ina maana hata lugha ya mama sio lazima iwe lugha yako ya kwanza kiasili. Mtu anatambulika kulingana na maeneo aliyokulia , ungezaliwa chinese na weusi wako huo mpaka sasa ungejua kichina kuliko kiswahili hata nyoka wangekuwa ni chakula chako .
Mimi ni mcoast ila naandika kabila kama msambaa , usambaani sijawahi kukaa wala sijui lugha zao , na wengi wanajijua mimi ni mtanga sio msambaa .