Maamuzi ya atheists

Maamuzi ya atheists

Mwisho wa siku hizi dini ni imani ya mtu binafsi iliyotokana na asili au mazingira fulani.
Utakuwa mkristo au muislam au mshirikina au budha kulingana na mazingira uliyokulia au watu wako waliokulea au kukuzaa.
Ndiyo maana nikiona watu wanabishana kuhusu dini, au kujiona dini yako ni bora kuliko ya mwenzako, unakuwa huna akili ni mpumbavu hujui chochote kuhusu dini.
Waarabu wametuletea uislam ila ukienda uarabuni ukiona wanavyo chezea huo uislam na wanavyoichezea misikiti unaweza kuitukana dini yako, the same ukienda kwa wazungu ukiona wanavyo chezea huo ukristo na makanisa unaweza kujitukana mwenyew. Sisi tuna ziheshimu hizi dini ila walituletea wao wanaziona ni kama UTAMADUNI WAO AU LIFESTYLE YAO sio imani.
Ndiyo maana waarabu wanasema hakuna waislam mwenye rangi nyeusi 🤣 na wazungu wanasema hakuna mkristo kutoka Africa anayejua ukristo zaidi yao
 
Katoto kangu kana akili kuliko nyumbu wengi humu kwanini nisi kasikilize?
Mimi hako kabinti kako ulivyokaelezea kamenirovya rovu rovu

Naomba unitunzie nimeona niseme haya ili nisipate kibuhuti cha suduri
 
Mimi baba yangu ni mkristo
, binafsi nimekulia kwenye dini ya ukristo, hasa Lutheran na katoliki

Mama yangu ni msomali mwenye asili ya kipalestina , kabadili dini na kuwa Mkristo.

Binti yangu alipenda ajue dini zote, kwasababu mimi ni msomi na mchunguzi nilimweleza dini mbili kinaga ubaga bila kubagua bila kubagaa, ili achague ila akachauga uislamu , watu wa dini tiririkeni halafu mbaya zaidi mimi ni mkriso halali kabisa 😜
Alipenda ubwabwa, watoto wanapenda sana ubwabwa.
 
Mimi hako kabinti kako ulivyokaelezea kamenirovya rovu rovu

Naomba unitunzie nimeona niseme haya ili nisipate kibuhuti cha suduri
Wewe mpaka sasa hauna akili yangu , hivyo unakosa sifa hata yakumwona binti yangu yangu tu
 
Mwisho wa siku hizi dini ni imani ya mtu binafsi iliyotokana na asili au mazingira fulani.
Utakuwa mkristo au muislam au mshirikina au budha kulingana na mazingira uliyokulia au watu wako waliokulea au kukuzaa.
Ndiyo maana nikiona watu wanabishana kuhusu dini, au kujiona dini yako ni bora kuliko ya mwenzako, unakuwa huna akili ni mpumbavu hujui chochote kuhusu dini.
Waarabu wametuletea uislam ila ukienda uarabuni ukiona wanavyo chezea huo uislam na wanavyoichezea misikiti unaweza kuitukana dini yako, the same ukienda kwa wazungu ukiona wanavyo chezea huo ukristo na makanisa unaweza kujitukana mwenyew. Sisi tuna ziheshimu hizi dini ila walituletea wao wanaziona ni kama UTAMADUNI WAO AU LIFESTYLE YAO sio imani.
Ndiyo maana waarabu wanasema hakuna waislam mwenye rangi nyeusi 🤣 na wazungu wanasema hakuna mkristo kutoka Africa anayejua ukristo zaidi yao
Wanasema kuna true Muslim na Converted.

Wao ni asilimia mia Moja na ninyi ni mliosilimishwa(kushinikizwa)
 
Nimeuliza vitoto fulani nyumbani nyie ni wakristo au waislam? Maana naona mama yenu kaweka nyimbo za kikristo redioni wakati baba yenu aliweka quran, watoto walinijibu wao na mama yao ni wakristo ila baba yao ni muislam na wako kwenye jitihada za kumfanya baba yao naye awe mkristo
 
Mimi nilikua mkatoliki nikabadili kuwa muislamu kwa sababu ya ndoa..... ndani ya Moyo wangu naamini dini ya kweli ni kuwa na Moyo safi moyo wa upendo na kujitahidi kutenda yaliyo mema.

Kubeba biblia kubwa jumapili au kufunika mwili mzima wakati una roho mbaya, hapo hamna dini.

Naamini kanisa moja takatifu la mitume.
 
Back
Top Bottom