OK mkuu ntatafuta councel kwenye kamusi.










Hapana mkuu nimeshangaa tu taaluma yako utashindwaje kuspell kaneno kadogo kama hako,Asante kwa ufafanuzi nimekuelewa sasa.Mkuu unanifurahisha Sana, si useme unachotaka kusema, mbona typo za kawaida ktk formal communication......AMF ni counsel si councel.......
Nimekuuliza kitu gani nisichokijua nimekiongea pale?maana yake unitajie hicho kitu.Kwani we unajua kila kitu?
Mkuu si unajua mmb ya text-predict kwenye simu + haraka huku unatoa huduma kwa wananchi? Nashukuru Kama umeelewa.Hapana mkuu nimeshangaa tu taaluma yako utashindwaje kuspell kaneno kadogo kama hako,Asante kwa ufafanuzi nimekuelewa sasa.
Nikimaliza kuvuta bhangi ntaweka Anne.
Hivi ulishweka picha kule?
Ukirudi uje unijibu swali lanngu.Mamaa embu wanunulie watoto hapo maandazi wanywe chai kwanza, nasi tumtumikie muhindi maana nimeiba muda wake sana.




Acha kusingizia haraka.Mkuu si unajua mmb ya text-predict kwenye simu + haraka huku unatoa huduma kwa wananchi? Nashukuru Kama umeelewa.
Ukubali kama ulikoseaUnapenda ligi wewe, kwahy ungependa nifanyeje sasa?
Unaanza kuniuliza maana za maneno Tena?Si nimesema typo? Unaelewa maana ya neno TYPO Madam?
Najua unatania mkuu.Jokes kuvuta kuanzia jana mpaka Sasa hivi chakula ntatafuta saa ngapi.
.Hiyo siyo hoja yangu wala hakuna aliyesema anataka mashoga! Hoja yangu ni kuwa kama mtu kutumia kiungo chake cha chini kupata pesa mnatumia kama ndiyo kigezo cha udhaifu kwahiyo tuseme na wanaume nao ni dhaifu?Hao ndo ambao nyie mnawataka ili mpangiane hiyo 50/50 maana wameshindwa kusimamia uanaume
Hivi ni kwamba mnashindwa kuelewa au mnajitoa ufahamu tu? Hakuna aliyesema tunataka wanawake waanze kuwatawala wanaume hebu muelewe kwanza hilo!kwanza hakuna anaelazimishwa kuolewa kama ndoa ni mateso alafu uhalisia wake mateso hayapo ila ni utaratibu wa boss na mfanyakazi..
Mwambie mwaka wako wa 11 huu ndani ya ndoa![]()



eehh asinichukulie poa aise