Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,825
- 233,256
Bora nyenyere hivi umesoma comments za huyo choice variable
Hapana aise yule mwenyewe simuwezi labda cariha ndiyo anamuweza




Ngoja nisome
Bora nyenyere hivi umesoma comments za huyo choice variable
Hapana aise yule mwenyewe simuwezi labda cariha ndiyo anamuweza




We soma tu ujionee mwenyewe hivyo vituko wanavyoandika kaka zako. Extrovert naye naona hayuko nyuma.
Ngoja nisome
We soma tu ujionee mwenyewe hivyo vituko wanavyoandika kaka zako. Extrovert naye naona hayuko nyuma.













Marriage kwanza aina manual guidelines inategemea na nyie wawili mnataka iweje na muendeshe vipi, kuheshimiana iwe both parties huku mkielewa kinachowatofautisha ni hzo bilogical makeups the rest ur equal, love each other, na msikilizane basiCariha would you suggest for a hybrid of thoughts in gender perspective, assuming uko married bcoz I don't know kukuhusu, what best marriage governing modalities would advocate for married couples
Bora nyenyere hivi umesoma comments za huyo choice variable
Hapana aise yule mwenyewe simuwezi labda cariha ndiyo anamuweza


Kuna wanaume vichomi wamemeza maji ya bendera kuzalilisha tu wanawake
Aliyewaroga hana huruma eti?
Extrovert huwa anaangalia upepo unakoenda,ni mjanja Sana.



yeye daily kulaumu wanawake jamani Ina maana yeye ni malaika kwani huwa Hawa kwazi.Kina nyenyere hao![]()

huyo nyenyere sijui nyegere ni kinara wa mada za kuzalilisha wanawake sijui Nani aliwaambia sie hatuwezi Mambo yetu au atuhitaji raha, Mara bikra zetu huku wao Wala raha tu. Wanaume wetu ni janga
Aliyewaroga hana huruma eti?
Extrovert huwa anaangalia upepo unakoenda,ni mjanja Sana.







Kabisa yani. Mie nimeona bora niache tu nisije shikwa na hasira bila sababu bure.Kuna wanaume vichomi wamemeza maji ya bendera kuzalilisha tu wanawake
yeye daily kulaumu wanawake jamani Ina maana yeye ni malaika kwani huwa Hawa kwazi.




Huyu huwa hachoki kabisa.huyo nyenyere sijui nyegere ni kinara wa mada za kuzalilisha wanawake sijui Nani aliwaambia sie hatuwezi Mambo yetu au atuhitaji raha, Mara bikra zetu huku wao Wala raha tu. Wanaume wetu ni janga





Hahaaa jamani wanawake Mungu katuumbia umivilivu imagine kuwa na mwanaume anayefikiria hivo SI mda wote mtabishana bila ya kufikiria maendeleo. Mungu awasaidie wanawake wanaoishi na wanaume wenye Mambo ya hovyo.Huyu huwa hachoki kabisa.
Ukimaliza kumuelekeza anaanza kukuuliza tena maswali ya mwanzo uliyokwisha muelekeza.
Yaani unaweza bishana naye mchana kutwa usiku kucha![]()
Mimi niliona Sasa ban inakuja maana duhKabisa yani. Mie nimeona bora niache tu nisije shikwa na hasira bila sababu bure.
Huyu huwa hachoki kabisa.
Ukimaliza kumuelekeza anaanza kukuuliza tena maswali ya mwanzo uliyokwisha muelekeza.
Yaani unaweza bishana naye mchana kutwa usiku kucha![]()



haswaaaaAchana nao mama usije ukapigwa ban. Pia it will help you save your time and energy.Mimi niliona Sasa ban inakuja maana duh
Hongera mkuu, hiyo ndio kanuni ya ndoa imara.Umeongea vema sana mkuu.
Hizi ndio principles zangu ninazotumia.
Huwa ni mtu mstaarabu na mpole lakini kuna mpaka nimeuweka,akivuka hapo huwa nageuka na kuwa mbogo.
Ujue Bora lizarazu huwa anachokahaswaaaa




Ujue Bora lizarazu huwa anachoka
Huyu mkibishana ni kama mnaizunguka dunia..mnazunguka na kuzunguka hampati mwisho,mnarudi mlipoanzia.






yani kazi kweli kweliNani anakunyanyasa? wewe boss wako kazini anapokuamulia na kukuagiza au kutokubaliana na jambo lako anakuwa anakunyanyasa?Hivi ni kwamba mnashindwa kuelewa au mnajitoa ufahamu tu? Hakuna aliyesema tunataka wanawake waanze kuwatawala wanaume hebu muelewe kwanza hilo!
Tunachosema ni kuwa mwanaume anapomtawala mwanamke asitumie hiyo nafasi yake kumnyanyasa mwanamke mfano kumpiga au kumsaliti! Na pia isiwe kitu akifanya mwanaume ni sawa ila akifanya mwanamke ni kosa man is that too much to ask for?
kumbuka hii itakusaidia..no 50/50 kwenye ndoa hata huko walikoanzia hakuna hiyo kitu kwa sababu ni natureHiyo siyo hoja yangu wala hakuna aliyesema anataka mashoga! Hoja yangu ni kuwa kama mtu kutumia kiungo chake cha chini kupata pesa mnatumia kama ndiyo kigezo cha udhaifu kwahiyo tuseme na wanaume nao ni dhaifu?
Pengine utasema wanaume siyo wote haya kwani aliyekuambia na wanawake ni wote nani? Mbona wapo wanawake wengi tu hapa duniani wanapambana na wanatusua bila kudanga na kwa hao nao mnasemaje!