Maalumu kwa wanaume wanandoa

Maalumu kwa wanaume wanandoa

We soma tu ujionee mwenyewe hivyo vituko wanavyoandika kaka zako. Extrovert naye naona hayuko nyuma.

Aliyewaroga hana huruma eti?

Extrovert huwa anaangalia upepo unakoenda,ni mjanja Sana.
 
Cariha would you suggest for a hybrid of thoughts in gender perspective, assuming uko married bcoz I don't know kukuhusu, what best marriage governing modalities would advocate for married couples
Marriage kwanza aina manual guidelines inategemea na nyie wawili mnataka iweje na muendeshe vipi, kuheshimiana iwe both parties huku mkielewa kinachowatofautisha ni hzo bilogical makeups the rest ur equal, love each other, na msikilizane basi
 
Kina nyenyere hao
huyo nyenyere sijui nyegere ni kinara wa mada za kuzalilisha wanawake sijui Nani aliwaambia sie hatuwezi Mambo yetu au atuhitaji raha, Mara bikra zetu huku wao Wala raha tu. Wanaume wetu ni janga
 
huyo nyenyere sijui nyegere ni kinara wa mada za kuzalilisha wanawake sijui Nani aliwaambia sie hatuwezi Mambo yetu au atuhitaji raha, Mara bikra zetu huku wao Wala raha tu. Wanaume wetu ni janga
Huyu huwa hachoki kabisa.
Ukimaliza kumuelekeza anaanza kukuuliza tena maswali ya mwanzo uliyokwisha muelekeza.
Yaani unaweza bishana naye mchana kutwa usiku kucha
 
Huyu huwa hachoki kabisa.
Ukimaliza kumuelekeza anaanza kukuuliza tena maswali ya mwanzo uliyokwisha muelekeza.
Yaani unaweza bishana naye mchana kutwa usiku kucha
Hahaaa jamani wanawake Mungu katuumbia umivilivu imagine kuwa na mwanaume anayefikiria hivo SI mda wote mtabishana bila ya kufikiria maendeleo. Mungu awasaidie wanawake wanaoishi na wanaume wenye Mambo ya hovyo.
 
Mimi niliona Sasa ban inakuja maana duh
Achana nao mama usije ukapigwa ban. Pia it will help you save your time and energy.

Hao huwa hawakubali kushindwa mbele ya wanawake. Labda dunia ibadili mzunguko.
 
Hivi ni kwamba mnashindwa kuelewa au mnajitoa ufahamu tu? Hakuna aliyesema tunataka wanawake waanze kuwatawala wanaume hebu muelewe kwanza hilo!

Tunachosema ni kuwa mwanaume anapomtawala mwanamke asitumie hiyo nafasi yake kumnyanyasa mwanamke mfano kumpiga au kumsaliti! Na pia isiwe kitu akifanya mwanaume ni sawa ila akifanya mwanamke ni kosa man is that too much to ask for?
Nani anakunyanyasa? wewe boss wako kazini anapokuamulia na kukuagiza au kutokubaliana na jambo lako anakuwa anakunyanyasa?
Haiwezi kuwa sawa kwa mwanamke maana kuna aliyeolewa na aliyeoa,kuna kiongozi na msaidizi na kuna mwenye kauli ya mwisho na ambae anategemea vetting ya usahihi wa kauli yake.The boss is always right kumbuka hilo
 
Hiyo siyo hoja yangu wala hakuna aliyesema anataka mashoga! Hoja yangu ni kuwa kama mtu kutumia kiungo chake cha chini kupata pesa mnatumia kama ndiyo kigezo cha udhaifu kwahiyo tuseme na wanaume nao ni dhaifu?

Pengine utasema wanaume siyo wote haya kwani aliyekuambia na wanawake ni wote nani? Mbona wapo wanawake wengi tu hapa duniani wanapambana na wanatusua bila kudanga na kwa hao nao mnasemaje!
kumbuka hii itakusaidia..no 50/50 kwenye ndoa hata huko walikoanzia hakuna hiyo kitu kwa sababu ni nature
 
Back
Top Bottom