bukerebe alex
Member
- May 5, 2016
- 62
- 80
Habari Wana JF
Nilidhani ubaba ni kitu cha kawaida asee nilivyokuwa namuona mzee wangu akipambania familia yake pindi nakua nilidhani anatuhujumu. Ila nimegundua alikuwa nasi kuanza anaamka mpaka analala. I am proud to have him..
One day miaka fulani hivi baada ya mama kututoka mzee alinunua dagaa kisado na akasaga debe mwanzoni mwa mwezi hapo tupo wawili mie na dogo langu. Basi bana baada ya kununua vile vyakula nikamaindi kinoma hadi nikamfata personally kumblame, kwanini anatupa constant food mwezi mzima. Akaniambia ujue we pia utakuwa baba one day utajua namaanisha nini.
After 5 years today naona he was very very correctly. Baada ya mie pia kuwa na familia na kuipambania ili wale kila siku. Nilimkumbusha one day alinicheka Sana akasema hayo ndio maisha ya mwanaume aliye na familia..
Uzi huu nauanzisha ili tulio wababa woote tupeane experience namna ya kuhandle familia.
Karibuni Sana wadau so that we can share our beloved father's experience
Nilidhani ubaba ni kitu cha kawaida asee nilivyokuwa namuona mzee wangu akipambania familia yake pindi nakua nilidhani anatuhujumu. Ila nimegundua alikuwa nasi kuanza anaamka mpaka analala. I am proud to have him..
One day miaka fulani hivi baada ya mama kututoka mzee alinunua dagaa kisado na akasaga debe mwanzoni mwa mwezi hapo tupo wawili mie na dogo langu. Basi bana baada ya kununua vile vyakula nikamaindi kinoma hadi nikamfata personally kumblame, kwanini anatupa constant food mwezi mzima. Akaniambia ujue we pia utakuwa baba one day utajua namaanisha nini.
After 5 years today naona he was very very correctly. Baada ya mie pia kuwa na familia na kuipambania ili wale kila siku. Nilimkumbusha one day alinicheka Sana akasema hayo ndio maisha ya mwanaume aliye na familia..
Uzi huu nauanzisha ili tulio wababa woote tupeane experience namna ya kuhandle familia.
Karibuni Sana wadau so that we can share our beloved father's experience