una maanisha atatoa siri kwamba amepewa mkwanja ili kuyumbisha ukawa au?Upo sahihi kabisa siku akisema yote watu watajua ukweli upo wapi.
una maanisha atatoa siri kwamba amepewa mkwanja ili kuyumbisha ukawa au?Upo sahihi kabisa siku akisema yote watu watajua ukweli upo wapi.
teh teh teh..kwani wewe ni nyumbu au ni uamsho!!..(usikasirike lakini nauliza tu kwa roho safi)mbinu za ccm zinafeli kabla hazijaanza. Hii nayo chali.
Mwacheni prof...aendelee na mambo yake.....
Ndio amekuwa mtoaji wa maamuzi ndani ya Cuf kwa kuingilia madaraka ya mwenyekiti hili ndilo lililomuondoa Prof Lipumba katika uenyekiti, ameua cuf bara kwa maslahi Zanzibar, ruzuku ya chama yote kwa 80% imepelekwa zanzibar. Prof Lipumba alikuwa anataka kujua maslahi ya cuf ndani ya ukawa kuhusu ruzuku itokanayo na kura za urais. Lipumba ana Mengi moyoni hajayasema tuvute muda.
Basalehe kagembeya udiwani?kutwa kin ukuu mpaka lini?gombeya us change na ushekhe 'naona a spends siyasa