Maalim Seif ni tatizo CUF

Maalim Seif ni tatizo CUF

Ma ccm wanaruka juu na kujikanyaga yenyewe... nguvu ya wadai haki ni nguvu ya Mungu.... ubaladhuli wenu utashindwa...
 
Udini utawaangamiza enyi wendawazimu wa CCM.
 
Wafuasi Wa Lipumba fumbueni macho Lipumba ameshindwa kuwa Na wabunge ktk uongozi wake toka mwaka 1995 ana mbunge 1 Wa Lindi Na vita maalum 1 hafai ameshindwa kukifanya chama kikubalike
 
Ni bora tubaki tu na ccm tujue hakuna upinzani.

Viongozi wote wa upinzani tuliowaamini wameshanunuliwa.
 
Jamani tuna kazi kubwa mbele yetu na kuusimamia ukawa na kumtambulisha lowassa nchi nzima kama walivyofanya CCM, tusiendelee kumjadili mtu kama lipumba anatupotezea muda bure,Hana ushawishi Mkubwa kisiasa, ndo maana hata wanacuf hawajajali kukaa pembeni ila peshen ya CCM
 
Some times naona kama hawa viongozi hutumia nguvu za giza kutawala. Inakuwaje miaka yote wafuasi wa CUF was ili one wala kumjadili? ???
 
Ndio amekuwa mtoaji wa maamuzi ndani ya Cuf kwa kuingilia madaraka ya mwenyekiti hili ndilo lililomuondoa Prof Lipumba katika uenyekiti, ameua cuf bara kwa maslahi Zanzibar, ruzuku ya chama yote kwa 80% imepelekwa zanzibar. Prof Lipumba alikuwa anataka kujua maslahi ya cuf ndani ya ukawa kuhusu ruzuku itokanayo na kura za urais. Lipumba ana Mengi moyoni hajayasema tuvute muda.

tupe ufanunuzi kwanini alimpigia kampeni jk 2010 a kapewa bilions kadhaa akawadanganya wengine kwamba tumuunge jk tutapewa mahakama ya kadhi, huyu ni msaliti au gheresha
 
Ellson acha umbea haukupendezi umelipwa ngapi Na CCM ? Mambo ya CUF waachie wenyewe mbona nyie mchakato Wa Dodoma sie hat use I Makamu Wa Rais Na Waziri Mkuu mmewakata eti hawana Maadili ya Chama in kweli au kutaka kumweka rais wa familia?
 
Ni rahisi kumng'oa Mrema Tlp au Cheyo UDP kuliko kumng'oa Seif Cuf.
 
Wenzenu wamepiga bilioni kumi wala hawanashida hata kidogo mbowe na malim sefu wanafanyabiashara kwenye siasa.
 
Ni rahisi kumng'oa Mrema Tlp au Cheyo UDP kuliko kumng'oa Seif Cuf.
Cuf ni mali ya seif hata akifanya madudu kiasi gani hakuna wa kumnyoshea kidole ni kama alivyo mbowe kwa chadema vile ni vyama vyao mwingine unatakiwa kufuata wanachotaka.
 
East African Eagle kumbuka hata Hitler na Iddi Amini walikuwa na wafuasi lakini mwisho wa siku walishindwa.... nafsi yako lazima inakusuta kwa uwongo wako na kujipendekeza... mtu yeyote anae itetea ccm kama wewe ni lazima awe illiterate, au ananufaika na mfumo wao au analipwa.... am sure uko ndani ya moja ya makundi hayo.. ila kumbuka huwatendei haki waTz na Mungu atakulipa....
 
Lipumba kapewa nafasi ya kugombea tangia 1995 kachemka,ata sasa alitaka yeye ndiye awe mgombea !!alivyopitishwa EL kama yule mwingine akasusa.SS Ahamad si tatizo ata kidogo

Kwanı Lowasa amejaribu mara ngapi ndani ya chama chake!
 
Huu Sio Muda Wa Kulumbana Wapishe Uchaguzi Mkuu Upite Kisha Ndo Waje Na Huo Mjadala Vinginevyo Tutawaona Ni Wasaliti Wakubwa.
 
Wameenda extra-mile ya udini ,hizo ndo siasa za Tanzania
 
Ndio amekuwa mtoaji wa maamuzi ndani ya Cuf kwa kuingilia madaraka ya mwenyekiti hili ndilo lililomuondoa Prof Lipumba katika uenyekiti, ameua cuf bara kwa maslahi Zanzibar, ruzuku ya chama yote kwa 80% imepelekwa zanzibar. Prof Lipumba alikuwa anataka kujua maslahi ya cuf ndani ya ukawa kuhusu ruzuku itokanayo na kura za urais. Lipumba ana Mengi moyoni hajayasema tuvute muda.

Wewe muandishi ndio tatizo huna sources ya habari yako
 
CUF bara imeuliwa na Lipumba. Badala ya kujenga chama lipumba alikwenda mapumzikoni tangu 2010 had leo ndio anazinduka.
CUF BARA haina haki ya kula ruzuku ya CUF ZANZIBAR.n wizi kula usichokifanyia kaz.#GO LIPUMBA GO#
 
Back
Top Bottom