Maalim Seif ni tatizo CUF

Maalim Seif ni tatizo CUF

Kweli Seif ni tatizo kwani amekua akishinda siku zote lakini amekua mlaini sana kuwatuliza cuf kukubali wizi wa ccm. Hakika ni kweli kama sio seif tungekuwa tumeshaindosha ccm madarakani kwani tusungekubali suluhu ya Mzee Moyo kukubali kuibiwa
 
3.Watu wa lile kundi lililopigwa marufuku la Uamsho ambao pia wako ndani ya CUF wanasema kitendo Cha LOWASA kuwa mgombea uraisi wa Muungano na Duni haji kuwa mgombea mwenza ni sawa na kuweka BIBLIA juu ya QURAN wakati Qurani ndio inatakiwa ikae juu ya Biblia kwamba ilitakiwa Duni haji ndiye awe mgombea Uraisi na Lowassa awe mgombea mwenza wakasema kitendo alichofanya Seif si sahihi kwani angeongea kuwa Lowasa awe mgombea mwenza lowasa angekataa? Wanakilaani kitendo cha Seif kumkubalia mgalatia lowasa awe mgombea uraisii na kumtosa mwislamu mwenzie Ibrahimu Lipumba
 
Sijui una umri gani au unafahamu chochote, kuhusiana na mambo ya kisiasa, ngoja nikujulishe jambo moja dogo sana Maalim seif ni mwanasiasa pekee katika nchi hii ambae ana mtaji wa kudumu wa kiaiasa usio filisika, nao ni watu! Wanaongezeka kila kukicha, na baadhi yao wapo tayari kwa lolote lile hata kama gharama itakua uhai wao,sithani kama kuna kiongozi utakae mfananisha nchi hii,wacha ushabiki.

Umesahau kumwambia anao mtaji wa watu since 1980s na unaongezeka kila kukicha uwa SS Hamad hachuji ata kidogo.
 
Seif ni mwinyi. Yaani ni dikteta na mbinafsi

Wana CUF hili tumelikubali kwa roho nyeupe na tumeridhika mno kuongozwa na dikteta na mbinafsi Maalim Seif Sharrif Hamad na mungu ampe maisha marefu na afya tele ili azidi kutuongoza.

Kama hili linakukera basi kanunue sumu ya panya unywe ili haya usiyaone tena.
 
Watu wengine tunaijua sana historia ya CUF (tangu KAMAHURU na CCW), Maalim Seif, Prof. Lipumba na UKAWA. Suala la madai ya ruzuku ndani ya CUF linaweza kuwa insignificant kwa sababu sheria na. 5 ya vyama vya siasa (1992) inatamka wazi kuwa determinant ya ruzuku za vyama ni proportion ya kura za wabunge na idadi/vichwa vya wabunge wa chama husika ndani ya Bunge, siyo kura za urais. CUF bara ina wabunge wawili wanaobaki wote wanatoka Pemba na mmoja Unguja. Kwa hiyo ruzuku nyingi ikipelekwa Zanzibar ni kwa sababu/rationality ya wingi wa viti vya wabunge kutoka Pemba/Zanzibar. Prof. Lipumba yeye anapenda kugombea urais tu; mikakati yake ya kujenga chama bara imekuwa si sahihi. Siamini kuwa kwa kiwango cha Profesa, Bwn. Lipumba alikuwa hajui anafanya nini! Maalim Seif yuko sahihi pia.
Aidha suala la mgawanyo wa ruzuku ndani na baina ya vyama washirika wa UKAWA lilikwishajadiliwa na kikundi cha watalaam washauri wa UKAWA na kufanyiwa maamuzi na Summit ya UKAWA. Hivyo ruzuku isingekuwa suala hata kusababisha Mh. Lipumba ajiuzulu kwa kisingizio hicho (kama unavyotaka kuaminisha umma). Si muda mrefu kila kitu kitakuwa hadharani na watanzania watapata fursa ya kujua sababu halisi za Prof. Lipumba kujiuzulu uenyekiti CUF.
Tusubiri kidogo

Mkuu,
Hivi Watz tutayumbishwa na vijimambo mpaka lini?? Issue hapa si Lipumba kuondoka CUF, issue ni kwa nini kama yeye ni mzalendo kweli aondoke kipindi hiki kigumu namna hii. Tulitakiwa tuondoe u-mimi kwanza tuuweke u-taifa letu mbele.
Angesubirisha speed yake kidogo kwanza, uchaguzi upite. Nia yetu ni moja tu; Tuing'oe ccm madarakani. Mengine kama nani awe nani, nani apewe ruzuku gani hayo ni baadaye.
Kama hili moja tu hakuliona, sidhani hata kama atakuja na sababu kuubwa kiasi gani tutamsikiliza tena. Kachelewa huyo, treni ya Safari ya Mabadiliko nje ya ccm ishapita hiyo
 
Kundi la wanachama wanaojiita kamati ya SAIDIA CUF ISIFE wamekutana jana vikao kwenye eneo la Mbagala Dar es salaam.Kupanga mikakati ya kumtimua Seif Sharif Hamad CUF.Walikuwa na wawakilishi kutoka bara na visiwani baadhi ya mambo wanayosimamia kutaka seif hammad aondoke ni haya

UPANDE WA BARA:

1.Kuionea CUF bara kwa sababu ya ruzuku.Hela nyingi za ruzuku zimekuwa zikienda Zanzibar kutumika kuimarisha CUF Zanzibar na bara wakinyimwa na kulaumiwa kuwa CUF haikui Tanzania bara wakati hawawezeshwi kifedha kama wenzao wa Zanzibar.

2.Kitendo Lipumba kufanyiwa fitna na Seif hadi kusababisha aachie ngazi CUF baada ya kuchoshwa na vitimbwi vya Seif

UPANDE WA ZANZIBAR:
1.Wanachama wenye misimamo mikali wa CUF Zanzibar wanasema wao na akina Seif na DUNI HAJI walikula yamini kuwa wao ni wazanzibar na lengo ni kuwa na Nchi ya Zanzibar na kuupiga vita muungano uliopo na kutokubali kuwa sehemu yake kwa namna yeyote ile.Kitendo cha DUNI haji kwenda kuwa mgombea mwenza katika muungano ambao hawautaki ni usaliti wa hali ya juu mno hivyo wanataka SEIF aondoke na usaliti wake

2.Wanachama wa kawaida wa CUF walikuwa wanamwona Duni ndiye ambaye ni tishio kwa Seif Sharif Hamad na ndiye ambaye anaonekana kuwa ana uwezo wa kuwa katibu mkuu wa CUF.Na seif alikuwa kila wakati anawaza hata kuongea kuwa Duni haji atamshughulikia siku moja.Na ulipokuja huo mwanya akaamua kumtosa kumtupa bara kwa CHADEMA ili aondoe tishio ndani ya CUF.Na mikakati yake imefanikiwa bila Duni haji kujua kuwa kategewa ili aondoke kwenye siasa za CUF ili SEIF Sharif Hamad aishi kwa raha ndani ya CUF.Wanachama wa kawaida wanataka Seif SHARIFF Hamad aondoke Duni wao arudi CUF haraka .

Katika uchaguzi wa 2010, kete ya mwisho ya kumpa JK ushindi ilichezwa na Prof. Lipumba kwa kuwalaghai waislamu kuwa Dr. Slaa ni Padri hivyo Waislamu wamchague muislamu mwenzao. Lipumba akiwa katika msikiti wa Idrissa Kariakoo alikiri hivyo. Naona Kete hii inajaribishwa tena, kuwaghilibu Waislamu tena na kuwakosanisha na UKAWA. Ndugu zangu Waislamu, adui yetu mkubwa ni CCM. Msidanganyike. Simameni na UKAWA katika zamu kwa kuwa hakuna ukombozi wenu CCM ikiendelea kuwepo madarakani, na UKAWA ndo njia mujarab wa kuiondoa madarakani na inshallah kuwaletea ukombozi!

 
Maalim seif yuko imara sana.kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake lakini haimanishi mawazo ya kufikirika ni mawazo sahihi
 
Maalim sefu hongera tupo nawe daima kamwe huyumbishwi
 
Amedhalilisha uptof wake na hata siye alotufumdisha tumedhalilika sana
 
Maalim seif yuko imara sana.kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake lakini haimanishi mawazo ya kufikirika ni mawazo sahihi

Kweli maalim seif ni mkongwe wa siasa na anajua nini anafanya kwenye siasa
 
Katika uchaguzi wa 2010, kete ya mwisho ya kumpa JK ushindi ilichezwa na Prof. Lipumba kwa kuwalaghai waislamu kuwa Dr. Slaa ni Padri hivyo Waislamu wamchague muislamu mwenzao. Lipumba akiwa katika msikiti wa Idrissa Kariakoo alikiri hivyo. Naona Kete hii inajaribishwa tena, kuwaghilibu Waislamu tena na kuwakosanisha na UKAWA. Ndugu zangu Waislamu, adui yetu mkubwa ni CCM. Msidanganyike. Simameni na UKAWA katika zamu kwa kuwa hakuna ukombozi wenu CCM ikiendelea kuwepo madarakani, na UKAWA ndo njia mujarab wa kuiondoa madarakani na inshallah kuwaletea ukombozi!


Inshaahlaaaaaa
 
Ni vyama vya makabila yote ya jamhuri ya muungano wa Tanzania,lkn act ni chama cha waha.
Una uhakika au unabahatisha tu! Hicho tunachoambiwa ni cha wachaga mbona hukisemi au una gubu na Zitto?
 
Una uhakika au unabahatisha tu! Hicho tunachoambiwa ni cha wachaga mbona hukisemi au una gubu na Zitto?

Hizo ni nyimbo mlizofundishwa na ccm,hazina tena nafasi mkuu,cdm sasa hivi ina mchanganyiko wa makabira na dini toka jmt
 
kama lipumba amejiuzulu kwa sababu ya ruzuku basi hafai kuwa kiongozi na ni msaliti wa watanzaNIA wapenda mabadiliko ,kiterndo cha kujitoa katikati ya mchakatoni kusaliti ukawa,kwa sababu hizo sababu alizozitoa ni dhaifu na zingeweza kujadiliwa kwenye vikao usika,inaonyesha atakuwa amechukua mzigo ili kusaliti ukawa.
 
Una uhakika au unabahatisha tu! Hicho tunachoambiwa ni cha wachaga mbona hukisemi au una gubu na Zitto?

Inabidi ujue kuwa mimi siwezi kuwa na gubu na dogo zzk,kwani ni mtu mdogo sana,cdm ni taasisi kubwa sana huwezi kulinganisha na zzk anayezomewa kila anapoenda kufanya mikutano
 
Back
Top Bottom