Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
niko hapa zanzibar hakika harakati za wazanzibar serikali ya tz isijaribu kuzizuia maana iko siku zitalipuka kila nyumba niiangalia kama siyo mlangoni basi ni ukutani ina vipeperushi vinasema hivi..walipindua wazanzibar tujitawali, kudai uhuru wa zanzibar siyo dhambi,tunataka muungano wa mkataba...vipeperushi ni vingi zaidi ya nane na kilakimjakinaujumwake na nikisikiliza mazungumzo yao ni juu yamuungano hawautaki kbisa..nitavia-upload baadae