Maalim Seif: Muungano lazima ujadiliwe

Mh! Anatikisa kiberiti ili tusijue yuko upande gani ila janja yake wajanja zaidi yake washaijua nampa pole sana maana mwisho wake kisiasa inaonekana
 
Wanaangaika sana Raisi analalamika na wananchi wanalalamika sasa sijui nani wa kumsaidia mwenzake
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom