Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,483
- 1,364
Baada ya kuona 2015 inakaribia anatafuta umaarufu ili aendelee kushika ile nafasi yake ya kudumu ya kugombea urais
kweli tena viongozi wa cuf ndo hao hao kila kipindi cha uchaguzi kwani cuf hawana mtu mwingine