kwamwewe
JF-Expert Member
- Jul 15, 2010
- 1,801
- 541
Kwamwewe relax.Inaonekana umepanic.Jambo la msingi nikujadili nakueleweka sentensi yako haieleweki inyooshe ueleweke.Tunakuwekeni mjini then mnataka tuvunje muungano. Embu tuambie sasa kama mnakula kwasababu ya njaa si mtakufa tukiacha kuwalisha?Maana yake ni kwamba bei haitakuwa hii ya sasa mtakuwa mnaimport ambayo huku bara tunaongeza kitu tunaita trade balance kwenu?
WANAOTULETEA NDIO MWISHO HUTULETEA SEMBE HILI TUSIFE NJAA https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/230825-askofu-mwingine-adakwa-na-unga.html