Maalim Seif Hamad apinga CUF kuungana na CHADEMA

Mko wapi nyie macdm leo kujeni hapa kumjibu maalim nyie au leo nuku 4 hakuna uko bavicha, nilijua tuu na nikasema UKIONA BABA ANAMPENDA MTT WA KAMBO UJUE ANAMPENDA MAMA YAKO shame chadema hamna sera kaendeleeni kuvuta bangi zenu chooni muwape raha wake zenu
 
Mko wapi nyie macdm leo kujeni hapa kumjibu maalim nyie au leo nuku 4 hakuna uko bavicha, nilijua tuu na nikasema UKIONA BABA ANAMPENDA MTT WA KAMBO UJUE ANAMPENDA MAMA YAKO shame chadema hamna sera kaendeleeni kuvuta bangi zenu chooni muwape raha wake zenu

Hata mkeo pia raha tutampa!
 
Msimamo mzuri ndugu yangu Maalim Seif mpenda madaraka sema umeongea point za msingi chadema walikuwa hawapendi cuf na wanasema cuf ni chama cha zanzibar kwahiyo sio chama cha tanzania cuf imefunga ndoa na ccm matusi mingi sana leo mnataka support ya cuf?huyu Maalim Seif I used to like him before lakini nilikuja kugundua kama anapenda madaraka tu sio kama yupo kwa maslahi ya wazanzibar iwezekani miaka yote yeye tu ndie anataka kugombea Urais kama hakuna watu wengine tafakari

Wakati umefika sasa Maalim Seif awekwe pembeni watu waendelee na program, sio mpizani wa kweli ni mpenda madaraka tu.
 
Wakati umefika sasa Maalim
Seif awekwe pembeni watu waendelee na program, sio mpizani wa kweli ni
mpenda madaraka tu.

Mkuu, hilo siamini. kwangu namuona Maalim seif ni mzalendo na mpenda amani hasa alivyoamua kuridhiana na Karume. yale yalikuwa maamuzi magumu sana japo wengi walibeza. pia amedhihirisha kuwa yeye si mnafiki
 
Mko wapi nyie macdm leo
kujeni hapa kumjibu maalim nyie au leo nuku 4 hakuna uko bavicha,
nilijua tuu na nikasema UKIONA BABA ANAMPENDA MTT WA KAMBO UJUE
ANAMPENDA MAMA YAKO shame chadema hamna sera kaendeleeni kuvuta bangi
zenu chooni muwape raha wake zenu

Mkuu, hawawezi kutia timu humu maana wanajua kuwa wameumbuka. chezea Maalim wewe!
 
Siwezi kushangaa kusikia Maal Seif kutoa kauli kama hiyo.Matatiro huko ulipo sipo.

Mkuu, naona wewe unafurahia sana chama kinachohonga honga hovyo viongozi wa vyama vingine. hujui kama wanawatumia tu kama mipira ya kiume
 
Mimi nilisema kama mkiungana basi ni viwiliwili tu na sio dhati kwakuwa kazi ya chadema ililuwa kuwatukana viongozi wengine wa upinzani.
 
Suala la Katiba sio la kichama sana ni la Kitaifa zaidi.
Tusiweke uchama mbele tukasahau utaifa wetu.Vyama vya kisiasa vitakuwepo na kupita bali Watanzania tutabaki na nchi yao.
Maalim naye kuhusu Muungano alikuwa na yake,Serikali tatu ndio suluhisho pekee lilobakia ambalo litawaepusha na migogoro isiyoisha ya muungano wa serikali mbili.
Wapinzani kwenye hili wanapaswa kuonyesha ukomavu wa hali ya juu na kuweka kando tofauti zao na kutetea wa-Tanzania ambao wanawategemea kwenye upatikani wa katiba mpya itakayo ipekeka Tanzania katika ukurasa mpya wa mabadiliko chanya
 
Mkuu, hilo siamini. kwangu namuona Maalim seif ni mzalendo na mpenda amani hasa alivyoamua kuridhiana na Karume. yale yalikuwa maamuzi magumu sana japo wengi walibeza. pia amedhihirisha kuwa yeye si mnafiki
teh teh, mkuu hana uzalendo wowote bali maslahi binafsi yanamsumbua, ni posho na marupurupu anayopata toka smz!
 
Mkuu, naona wewe unafurahia sana chama kinachohonga honga hovyo viongozi wa vyama vingine. hujui kama wanawatumia tu kama mipira ya kiume
afadhali chama kinachohonga viongozi kuliko kinachohonga wapiga kura tena kwa kanga,pilau, nyama na hata wali wakati wa uchaguzi mkuu!
 
Maalim haitakii mema nchi yetu hasa tanganyika, kina lipumba wawe makini na huyu mtu, yeye muda wote anawazia zanzibar tu basi! Pia maalim amejisahau na viposho avipavyo smz basi!
 
I support you Mkuu. Ila nadhani uroho wa madaraka ni kasumba ya wanasiasa wengi wa kiafrika. Mwone hata mwenyekiti wake alivyong'ang'ania nafasi ya mwenyekiti

CUF Zanzibar na CUF Bara ni vyama viwili tofauti, Zanzibar kinaunda serikali, Bara Cuf ni chama cha Upinzani, msimamo wa Cuf Bara ni msimamo wa Cuf chama cha Upinzani.. Na wa Cuf zanzibar ni msimamo wa Cuf Chama tawala... lazima vikizane, Sasa huu ndo wakati wa Cuf kuamua kufa kabisa Bara au kujiokoa kwa kuunga mkono hoja ya Chadema..
 
Habari zingine zikitungwa zinaelekea ila ukizisoma utaziona lengo lake ,habari za uhakika kutoka chanzo kinachoaminika maalim hajasema hayo,
 
Let Zanzibar Go.
Wa Tanganyika hatuhitah Maono ya Mtu mnafiki kama Maalim Seif
 
Back
Top Bottom