Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
- Lakini maalimu Seif akumbuke hakuna uadui ktk siasa ila kuna propaganda aangalie Kenya vyama vilivyopingana lakini mwishoni vikaungana ili kutimiza malengo yao.NAomba tumuulize je SUK ambayo CUF Imeungana na CCM walikuwa marafiki?Si ndo hao walishirikiana na Yule jamaa Omari wa Mahita kuleta majambia feki eti wakisema ni ya CUF,wakajenga hoja kuwa ni cha kidini na kigaidi hadi kikaporomoka kiasi hiki?Iliposemekana CUF walishinda uchaguzi kukatokea matatizo makubwa sana hadi Tz ikazalisha wakimbizi kwa mara ya kwanza?Kama ndo hao hao CCM walianzisha yote hayo leo hii yupo pamoja nao ..ni lipi kubwa CDM walotenda ata wasikubalike ktk usirika?Na jee hayo wanayolalamikia ni kwa faida ya watu wote au ni chama pekee.Maalimu asiogope hawezi kupoteza ulaji alonao mbona?Kutoshiriki vikao ni haki yake kidemokrasia labda kama chama chake kitaamua vinginevyo.
Maalim seif ajue kuwa yeye ndio aliyeifikisha CUF mahali pa kulaaniwa na CDM..hakuna wa kuiondoa hiyo laana zaidi ya CDM....Hata wazenj wanajua na wanasubiri kwa hamu sana siku CUF itafanya wayafanyayo CDM....
CCM wenyewe huwa wanafurahi sana Mbowe au Dr. SLaa akitoa neno au kukubali chochote chao....."Tunaweza CDM waseme neno moja tuu na roho za CCM na wake zake ziweze pona."